taiter
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 324
- 870
Hongera sana Mkuu, mm nina ndugu wa kiume yeye akija anataka awe ndo baba mwenye nyumba yaani ni kero tu hajui namba ya kuishi na watu, uzuri makazi aliyoyazoea nakaribia kuhama huko ninapoamia hata pajua kabisa.hata mimi nilikuwa naishi kwa blaza wangu from another mother baada ya kumaliza.chuo .asubuhi nadamka
1. Nasafisha gari lake ndani njee.
2.namwagilia maua na usafi mdogomdogo pale home.
3.natumwa fulani.kununua mazagazaga
4. sebureni naenda kukaa nikiitwa tu.
5. nawapiga Twitt watoto wa brather .
6.watoto wakiumwa namsaidia shemeji kuwapeleka hospitali na shuleni.
7.chaa ajaabi lila.mwisho.wa.mwezi.bother alikuwa.ananikunjia.kitu.kama laki.tatu hivi kibindoni.ila.sharti.shemeji.asijue.chochote .kuhusu kunipa.hela nikaishi siku napata kazi niliondoka kwa.majomzi sanaa.licha.ya blaza KUNIPA.nyumba ya kwani.nilimgomea nikaenda.kuanza.maisha.ya.single.room uswahilini