Ulitumia njia gani kuishi kwa mtu bila kukuchoka?

Ulitumia njia gani kuishi kwa mtu bila kukuchoka?

hata mimi nilikuwa naishi kwa blaza wangu from another mother baada ya kumaliza.chuo .asubuhi nadamka
1. Nasafisha gari lake ndani njee.
2.namwagilia maua na usafi mdogomdogo pale home.
3.natumwa fulani.kununua mazagazaga
4. sebureni naenda kukaa nikiitwa tu.
5. nawapiga Twitt watoto wa brather .
6.watoto wakiumwa namsaidia shemeji kuwapeleka hospitali na shuleni.
7.chaa ajaabi lila.mwisho.wa.mwezi.bother alikuwa.ananikunjia.kitu.kama laki.tatu hivi kibindoni.ila.sharti.shemeji.asijue.chochote .kuhusu kunipa.hela nikaishi siku napata kazi niliondoka kwa.majomzi sanaa.licha.ya blaza KUNIPA.nyumba ya kwani.nilimgomea nikaenda.kuanza.maisha.ya.single.room uswahilini
Hongera sana Mkuu, mm nina ndugu wa kiume yeye akija anataka awe ndo baba mwenye nyumba yaani ni kero tu hajui namba ya kuishi na watu, uzuri makazi aliyoyazoea nakaribia kuhama huko ninapoamia hata pajua kabisa.
 
Nilieshi nae masaa mawili nikaaga kuondka alilia sana [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hongera sana Mkuu, mm nina ndugu wa kiume yeye akija anataka awe ndo baba mwenye nyumba yaani ni kero tu hajui namba ya kuishi na watu, uzuri makazi aliyoyazoea nakaribia kuhama huko ninapoamia hata pajua kabisa.
Una mme?
 
Nyie vijana hivyo ndivyo inapaswa kuishi kwa ndug jamaa au rafiki... Ukijifanya unataka kuishi kama mtoto wa mwenye nyumba maisha yatakushinda ndani ya wiki moja... Maisha ya kuamka na kulala muda unaotaka au kutegea kazi za nyumban, hizi tabia fanya kwenu...
Ukisikia mtu anakuambia alivyokua anaishi kwa ndug au jamaa zake alikuwa ananyanyaswa na kuteswa, tambua alikuwa ni mpumbavu na mvivu asiye msaada...
Yani umeongea. Kweli kabisa ukijaitambua ukajua we nani pale,nn ufanye nm usifanye,kujiongeza kwa.kazi za nyumbani,kufagia kupalilia, msafi penda wanafamilia,usitake haki sawa kama upo kwenu jitambue huwezi kuwa sawa na kichanga cha pale hata kama unandevu za chuma bado utakuwa mgeni tu,kam unajishughulisha unakipato hata km ni kidogo hakikisha unarudi na chochote hata kam ni pipi ya mtt ni jambo kubwa sana hilo,Kan n mtu mzima uistake ufanyiwe kam mkeo anavokufanyia jiongeze fua nguo zako,tandika miranda chako fanya usafi chumba chako,kama huli au hirudi toa taarifa mapema,kama mazingira unayofanyia shughuli zako yanarihusu kurudi na chochote kam mkaa,kuku ndizi nk rudi navyo home..hii ilinisaidia sana nmeishi kwa watu muda mrefu kuliko kwetu na nlipendwa baadhi ya familia nlizokaa ukienda unakuja picha yangu sebuleni kwao kama mwanafamilia
 
Cha ajabu mtu wa dizaini hii ukijaribu tu kumwambia....tayari unaitwa una roho mbaya, ubinadamu kazi sana
Mwambie afany kazi za nyumbani na kwao hakukuzwa hivyo..Utatangazwa na kusema vibaya km katoka mkoani huko ukirudi likizo utakutana na jina la mtesaji,anatawaliwa na mwanamke,binafsi sipendi mgeni mvivu na ukute hakuna msaidizi wa kazi kazi zote nifanye mm na yeye pia awe mzigo kwangu hapana staki lawama ..
 
hata mimi nilikuwa naishi kwa blaza wangu from another mother baada ya kumaliza.chuo .asubuhi nadamka
1. Nasafisha gari lake ndani njee.
2.namwagilia maua na usafi mdogomdogo pale home.
3.natumwa fulani.kununua mazagazaga
4. sebureni naenda kukaa nikiitwa tu.
5. nawapiga Twitt watoto wa brather .
6.watoto wakiumwa namsaidia shemeji kuwapeleka hospitali na shuleni.
7.chaa ajaabi lila.mwisho.wa.mwezi.bother alikuwa.ananikunjia.kitu.kama laki.tatu hivi kibindoni.ila.sharti.shemeji.asijue.chochote .kuhusu kunipa.hela nikaishi siku napata kazi niliondoka kwa.majomzi sanaa.licha.ya blaza KUNIPA.nyumba ya kwani.nilimgomea nikaenda.kuanza.maisha.ya.single.room uswahilini
KAka yako mtu sana, anamjua mkewe vizuri hivo hakutaka msaada wa kifedha anaokupa umkwaze mkewe.
 
Mwambie afany kazi za nyumbani na kwao hakukuzwa hivyo..Utatangazwa na kusema vibaya km katoka mkoani huko ukirudi likizo utakutana na jina la mtesaji,anatawaliwa na mwanamke,binafsi sipendi mgeni mvivu na ukute hakuna msaidizi wa kazi kazi zote nifanye mm na yeye pia awe mzigo kwangu hapana staki lawama ..
Kwakifupi tu kukaa kaa na ndugu ni lawama sana na kukerana kwingi, kila mtu akae kwake......
Bado wageni wakila wali maharage ni lawama sana jamani mi mbona hela ya kula nyama na samaki daily sina
 
Kwakifupi tu kukaa kaa na ndugu ni lawama sana na kukerana kwingi, kila mtu akae kwake......
Bado wageni wakila wali maharage ni lawama sana jamani mi mbona hela ya kula nyama na samaki daily sina
Unapata wageni watatu mmoja hali nyama ,mwingine hali maharage dagaa wala samaki,mwingine hapendi mboga za majani najiuliza kwao wanakulaga nn wakifika mjini wabagua hivo mwisho wa siku mzigo la lawama huwa limerudi kwa mwanamke anabania hela hawali vizuri km wanauhakika ndugu yao kaacha kodi ya Meza au wanalishwa na pesa ya kikoba ya mwanamke,ndugu ni lawama aisee
 
Cha ajabu mtu wa dizaini hii ukijaribu tu kumwambia....tayari unaitwa una roho mbaya, ubinadamu kazi sana
Unachosema ni sahihi yaani nina ndugu wa hivi nahisi mpaka yeye ameshajua kuwa ni kero kwangu, akija hakuna anachoongeza zaidi ya kero, hakuna anachojua zaidi ya kula tu akimaliza anaoga anaenda kuzurura mjini
 
Lazima uwe na maisha ya kitofauti. Jitengeneze uonekane we n muhimu na n msaada katika familia hiyo
Jitume katila kazi zao hasa zile zilizo ndan ya uwezo wako.
Fanya yale ya kuwafanya wafurahi na si kukureka
Kuwa mtu wa kutamaniwa kuonekana wakati wote
 
Ishi maisha yako Acha kuishi maisha ili kuridhisha watu wengne.
Maisha yako unaishi kama unajimudu sasa unaishije maisha yako wakati umejipeleka kuomba msaada kwenye maisha ya watu wengine. Uwepo wako pale ushawabadilishia mfumo wao wa maisha so na wa kwako lazima uadjust mwende sawa.
 
Back
Top Bottom