kajunjumele
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,470
- 1,352
..Yes Mimi mnyama kama wewe,..Ila ninamkia kwa Mbele,..bali wewe ni mnyama au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..Yes Mimi mnyama kama wewe,..Ila ninamkia kwa Mbele,..bali wewe ni mnyama au
huyo hapo pichan sio ? mim binadam na aina ya wanyama walioko kweye picha yako ya avatar sipatani nao kabisa....😀😀😀..Yes Mimi mnyama kama wewe,..Ila ninamkia kwa Mbele,..
..Hata kama wewe ni binadamu,..Ilimladi uwe na mkia kwa nyuma tu baasi.Mimi Niko Tayarihuyo hapo pichan sio ? mim binadam na aina ya wanyama walioko kweye picha yako ya avatar sipatani nao kabisa....😀😀😀
..Hata kama wewe ni binadamu,..Ilimladi uwe na mkia kwa nyuma tu baasi.Mimi Niko Tayari
...Mirembe nimesomea huko,..mpaka ninakaphD..Ukinirudisha utakua umenionea labda ukitaka nipate uprofessor.inahitajika upelekwe mirembe maana hapa Regency hatutakuweza kabisa
...Mirembe nimesomea huko,..mpaka ninakaphD..Ukinirudisha utakua umenionea labda ukitaka nipate uprofessor.
Kwa hiyo mzee hata nikimgegeda huyo mpenzi/mke/chumba/demu wako humuachi utasubiri hadi yeye akuache?Napenda kuachwa zaid kuliko kuacha,,maana muachaji hufeli zaid kuliko alieachwa
Njia uliyotumia kati ya wanawake 1000 ni mmoja tu au wawili watakao ikubali (sijui jinsia yako)Salutiii....MMU....!!!!!! Niingie janvin mojakwamoja ..binafsi mm ex wangu. Nilimtext. Nikamfahamisha. ...enhe wadau karibun tujuzane..... Je wewe ulitumia njia ipi???
Mkojo ni dawa ya kusahau?Niligundua ananicheat..... Nikamwambia tuachane, kikaniumaaa nikanywa mkojo nikamsahau
Wengi hufanikiwa kwa njia hii, njia ya matamko haina mafanikio mazurime nilianza kupunguza mawasialiano na yeye kidogo kidogo hadi saiv ishapita wiki ya 3 hatujawasiliana..sijamtamkia kwamba tuachane
Niliacha na sijafeli, usiache kwa hianaNapenda kuachwa zaid kuliko kuacha,,maana muachaji hufeli zaid kuliko alieachwa
Ukisoma vizur utanielewa,,kuachwa ni bora kuliko kuacha....kuvunjika kwa mahusiano yyte yale duniani yanatokana na wote wawili kushindwa kuwajibikiana,,so lawama huwa za upande mmoja hua hazisaidii sana maana hakuna mtu mwenye mahusiano na yy mwenyewe,lazima kutakua na kutowajibikiana kwa aina fulan inayosababisha kuachana,so kwa kati ya muachaji na muachwaji anaekuja kufanikiwa zaid ni yule alieachwa,,kwa % kubwa yy ndio mhanga zaid ya alie acha maana muachaji hua anajiandaa kuliko muachwaji.Kwa hiyo mzee hata nikimgegeda huyo mpenzi/mke/chumba/demu wako humuachi utasubiri hadi yeye akuache?
Yalinikuta ya kuacha kwa matamko najuta mpaka keshoBandu Ncheche naona unakaribia kuvaa viatu vya Joseverest KWENYE HII THREAD ...KILA NIKIANGALIA COMMENT NI YAKO ..INAONEKANA IMEKUVUTIA
Yalinikuta ya kuacha kwa matamko najuta mpaka kesho
Mkuu nikuache tu, maana hata hiyo ya kusema anaekuja kufanikiwa ni aliyeachwa sijui umeipata wapi, sijui ni mafanikio ya nini hayo yanayotegemea kuachwa au kuacha.. kila la kheri mkuu.Ukisoma vizur utanielewa,,kuachwa ni bora kuliko kuacha....kuvunjika kwa mahusiano yyte yale duniani yanatokana na wote wawili kushindwa kuwajibikiana,,so lawama huwa za upande mmoja hua hazisaidii sana maana hakuna mtu mwenye mahusiano na yy mwenyewe,lazima kutakua na kutowajibikiana kwa aina fulan inayosababisha kuachana,so kwa kati ya muachaji na muachwaji anaekuja kufanikiwa zaid ni yule alieachwa,,kwa % kubwa yy ndio mhanga zaid ya alie acha maana muachaji hua anajiandaa kuliko muachwaji.
Bila kusita huyo atakuwa mzaramo,au kabila lolote kanda ya pwani au mnyakyusa hao ndo wana sifa ya ktoomba samahan anapokosea yaani huwa wanaforce waonekane wao ndo sahihi yaani dah mungu aniepushe naoMimi wangu alinipenda sanaa nilimpenda sanaa niliitwa majina yote mazuri lakini siku zilivyosonga akaona sina mademu nikawa committed na alivyo mbali taratiibu akaanza jibinua nikaanza kubinya nje yale mapenzi yaliyokuwepo nikaanza pungua simu alikuwa anapiga hata mara 5-6 kwa siku na nikitoka kazini hata masaa mawili huisha tunaongea tatizo akikosea hajui neno samahani hivyo nilichomfanya simu asipopiga simtafuti nimepunguza mawasiliano 95% kwa siku tunaongea mara moja au mbili na hata sekunde 30 hazifiki....miezi miwili iliyopita nime upgrade job ndo anapagawa akawa mpole ataomba msamaha lakini hakuna mapenzi tunasogeza siku tu nakuogopa marafiki & dada zake maana walinikubali nilivyomjali lakini demu anamatusi,haambiliki lakini ukimwambia tuachane anasema haji kupata mwanaume wakumpenda km mm lakini mwisho wa mwezi akija ndo basi mawasiliano ni F
Nilikula kona kimya kimya....Salutiii....MMU....!!!!!! Niingie janvin mojakwamoja ..binafsi mm ex wangu. Nilimtext. Nikamfahamisha. ...enhe wadau karibun tujuzane..... Je wewe ulitumia njia ipi???