Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Zinadaiwa benki itakuwa mimi lol[emoji23] [emoji23] [emoji23]Alafu wewe ujue ninakudai!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinadaiwa benki itakuwa mimi lol[emoji23] [emoji23] [emoji23]Alafu wewe ujue ninakudai!!!
Nilipe basi.Zinadaiwa benki itakuwa mimi lol[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha ha ha..... So huwa unakumbushia eeh?Sijawahi kuacha.
Sikumbushii hata!! Kumuacha mtu alafu iwe lawama, bora utengeneze mazingira akuache yeye, unakuwa na amani.Ha ha ha ha..... So huwa unakumbushia eeh?
Makinikia yangu yamezuiwa na kuta za moyo wako, nasubiri smelter nichenjulie ndani kwa ndani kisha ndo nikulipe,[emoji12] [emoji12]Nilipe basi.
Ha ha ha ha! Ishanitokea hiyo, nikawa namtegea tu yeye ndio aamue mwenyewe atangaze ushindi.Sikumbishii hata!! Kumuacha mtu alafu iwe lawama, bora utengeneze mazingira akuache yeye, unakuwa na amani.
Nami nina shida my kaka, hebu fanya fasta.Tumewahi kuachana for good!
Tulijadiliana tukakubaliana kiroho safi kila mtu ashike hamsini zake.
Mpaka Leo tumebaki marafiki Hakuna aliye na Deni kwa mwenzie, ana wake na Mimi nna wangu but akipata shida huniambia na Kama kipo Nampa.
Maisha yanasonga wazo La kukumbushia halipo kabisaaa Kati yetu.
We leta viswahili tu[emoji57] [emoji57]Makinikia yangu yamezuiwa na kuta za moyo wako, nasubiri smelter nichenjulie ndani kwa ndani kisha ndo nikulipe,[emoji12] [emoji12]
Hahahaaaa! Tabia mbaya hiyo.Ha ha ha ha! Ishanitokea hiyo, nikawa namtegea tu yeye ndio aamue mwenyewe atangaze ushindi.
Yaani siku alivyosema tu "nimewaza nimeona bora tu nikuache ili niendelee na maisha yangu" nikasema asante Mama. Yaani nikatoka ndukii mbayaaa!
Ungeongezeamo na kinyesi kidogo usingemuwaza tenaNiligundua ananicheat..... Nikamwambia tuachane, kikaniumaaa nikanywa mkojo nikamsahau
kunduva na mkafanikiwa kurudi huko zamani?Unapoamua kumuacha mtu jaribu kuwepo na sababu ya msingi ambayo inakufanya umuachae wengi wao baadae wanajuta kurudi anatamani lakini ndio unakuta haiwezekani
Nakumbuka kuna ex wangu mmoja alianza kunipotezea, simu nikipiga haipokelew, msg hajib na akipokea sio uchangamfu km zaman mtu mzima nikajiongeza na mimi nikakaa kimya ikapita miezi saba siku ya siku ananipigia simu kwa vilio juu anahitaji tuwe kama zamani.
Tunaongelea mahusiano.. Heb ukishasoma usilazimishe kuelewa hapo hapo,kaa then tafakar kwa kina nilichoandika maana hata darasana ukishapewa lecture unakaa baadae ndio unaelewa zaid. Lakin ukisoma baada ya kusoma unarud pale pale duuuh unanipa (????). Hapa tunaongelea mahusiano then unaulizwa kufanikiwa kwenye nn haswa? Duh.. Eid njemaKufanikiwa kwenye nini haswa??
Hahaha huwezi kuwa gaidi kiasi hicho[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nlimwambia nmechoka
Na mambo yako
Mlango ulioingilia ndo wa
Kutokea
Mkuuu huyu dem tumeshera 95%Mimi wangu alinipenda sanaa nilimpenda sanaa niliitwa majina yote mazuri lakini siku zilivyosonga akaona sina mademu nikawa committed na alivyo mbali taratiibu akaanza jibinua nikaanza kubinya nje yale mapenzi yaliyokuwepo nikaanza pungua simu alikuwa anapiga hata mara 5-6 kwa siku na nikitoka kazini hata masaa mawili huisha tunaongea tatizo akikosea hajui neno samahani hivyo nilichomfanya simu asipopiga simtafuti nimepunguza mawasiliano 95% kwa siku tunaongea mara moja au mbili na hata sekunde 30 hazifiki....miezi miwili iliyopita nime upgrade job ndo anapagawa akawa mpole ataomba msamaha lakini hakuna mapenzi tunasogeza siku tu nakuogopa marafiki & dada zake maana walinikubali nilivyomjali lakini demu anamatusi,haambiliki lakini ukimwambia tuachane anasema haji kupata mwanaume wakumpenda km mm lakini mwisho wa mwezi akija ndo basi mawasiliano ni F
me nilianza kupunguza mawasialiano na yeye kidogo kidogo hadi saiv ishapita wiki ya 3 hatujawasiliana..sijamtamkia kwamba tuachane
mkojo unafanyaje