Ulitumia njia ipi kumwacha ex wako?

Ulitumia njia ipi kumwacha ex wako?

Tumewahi kuachana for good!

Tulijadiliana tukakubaliana kiroho safi kila mtu ashike hamsini zake.


Mpaka Leo tumebaki marafiki Hakuna aliye na Deni kwa mwenzie, ana wake na Mimi nna wangu but akipata shida huniambia na Kama kipo Nampa.

Maisha yanasonga wazo La kukumbushia halipo kabisaaa Kati yetu.
 
Sikumbishii hata!! Kumuacha mtu alafu iwe lawama, bora utengeneze mazingira akuache yeye, unakuwa na amani.
Ha ha ha ha! Ishanitokea hiyo, nikawa namtegea tu yeye ndio aamue mwenyewe atangaze ushindi.

Yaani siku alivyosema tu "nimewaza nimeona bora tu nikuache ili niendelee na maisha yangu" nikasema asante Mama. Yaani nikatoka ndukii mbayaaa!
 
Tumewahi kuachana for good!

Tulijadiliana tukakubaliana kiroho safi kila mtu ashike hamsini zake.


Mpaka Leo tumebaki marafiki Hakuna aliye na Deni kwa mwenzie, ana wake na Mimi nna wangu but akipata shida huniambia na Kama kipo Nampa.

Maisha yanasonga wazo La kukumbushia halipo kabisaaa Kati yetu.
Nami nina shida my kaka, hebu fanya fasta.
 
Makinikia yangu yamezuiwa na kuta za moyo wako, nasubiri smelter nichenjulie ndani kwa ndani kisha ndo nikulipe,[emoji12] [emoji12]
We leta viswahili tu[emoji57] [emoji57]
 
Ha ha ha ha! Ishanitokea hiyo, nikawa namtegea tu yeye ndio aamue mwenyewe atangaze ushindi.

Yaani siku alivyosema tu "nimewaza nimeona bora tu nikuache ili niendelee na maisha yangu" nikasema asante Mama. Yaani nikatoka ndukii mbayaaa!
Hahahaaaa! Tabia mbaya hiyo.
 
Unapoamua kumuacha mtu jaribu kuwepo na sababu ya msingi ambayo inakufanya umuachae wengi wao baadae wanajuta kurudi anatamani lakini ndio unakuta haiwezekani

Nakumbuka kuna ex wangu mmoja alianza kunipotezea, simu nikipiga haipokelew, msg hajib na akipokea sio uchangamfu km zaman mtu mzima nikajiongeza na mimi nikakaa kimya ikapita miezi saba siku ya siku ananipigia simu kwa vilio juu anahitaji tuwe kama zamani.
kunduva na mkafanikiwa kurudi huko zamani?
 
Nlimwambia nmechoka
Na mambo yako
Mlango ulioingilia ndo wa
Kutokea
 
Kufanikiwa kwenye nini haswa??
Tunaongelea mahusiano.. Heb ukishasoma usilazimishe kuelewa hapo hapo,kaa then tafakar kwa kina nilichoandika maana hata darasana ukishapewa lecture unakaa baadae ndio unaelewa zaid. Lakin ukisoma baada ya kusoma unarud pale pale duuuh unanipa (????). Hapa tunaongelea mahusiano then unaulizwa kufanikiwa kwenye nn haswa? Duh.. Eid njema
 
Mimi wangu alinipenda sanaa nilimpenda sanaa niliitwa majina yote mazuri lakini siku zilivyosonga akaona sina mademu nikawa committed na alivyo mbali taratiibu akaanza jibinua nikaanza kubinya nje yale mapenzi yaliyokuwepo nikaanza pungua simu alikuwa anapiga hata mara 5-6 kwa siku na nikitoka kazini hata masaa mawili huisha tunaongea tatizo akikosea hajui neno samahani hivyo nilichomfanya simu asipopiga simtafuti nimepunguza mawasiliano 95% kwa siku tunaongea mara moja au mbili na hata sekunde 30 hazifiki....miezi miwili iliyopita nime upgrade job ndo anapagawa akawa mpole ataomba msamaha lakini hakuna mapenzi tunasogeza siku tu nakuogopa marafiki & dada zake maana walinikubali nilivyomjali lakini demu anamatusi,haambiliki lakini ukimwambia tuachane anasema haji kupata mwanaume wakumpenda km mm lakini mwisho wa mwezi akija ndo basi mawasiliano ni F
Mkuuu huyu dem tumeshera 95%
Kama huyo dem co ndugu na
Aliekua ex wang

Maana tabia hapo znafanana kabsaaa
 
Back
Top Bottom