Mike dee
Senior Member
- Oct 18, 2016
- 104
- 91
Pole SanaBora wako hata alikupanda kichwani,labda upole Wang ulizid na akawa ameshafaidi laptop na Kabati LA nguo na vitu vingine akaona ajisepeshe,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole SanaBora wako hata alikupanda kichwani,labda upole Wang ulizid na akawa ameshafaidi laptop na Kabati LA nguo na vitu vingine akaona ajisepeshe,
Ngoja nikuulize umeshawahi kumsikia mtu akielezea hivi ''mimi ni mkorofi nina gubu na sina heshima''?Kaka sipo hivo kabisa yaan,nilikuwa namuheshim mno, nimemsaidia mengi, sijui kuringa wala kuonyesha zarau mim ni mpole ukiniona utafikir no mlokole aliyeshika dini, mim sio muongeaji, unaweza nikera na nikacheka,
Aisee Kumbe mkojo unasaidia kusahauNiligundua ananicheat..... Nikamwambia tuachane, kikaniumaaa nikanywa mkojo nikamsahau
Ha ha ha.mkuu nimecheka kwa sautiMwambia tu umeamua kuchenjulia makinikia yako kwny smelter mpya
Kumbe mkojo unasahaulishaNiligundua ananicheat..... Nikamwambia tuachane, kikaniumaaa nikanywa mkojo nikamsahau
NdioNdio nimewah kuwasikia sana ,tena wengine wanasema wakifika wanazira bila sababu, na matusi juu,Ngoja nikuulize umeshawahi kumsikia mtu akielezea hivi ''mimi ni mkorofi nina gubu na sina heshima''?
Uko kunywa mkojo ni kweli? Nataman nimsahau wangu nashindwaNiligundua ananicheat..... Nikamwambia tuachane, kikaniumaaa nikanywa mkojo nikamsahau
Uko kunywa mkojo ni kweli? Nataman nimsahau wangu nashindwa
...ndio maana injinia wa Kipare alikuacha kumbe hapo regacy unaugulia kichaa DUUH.Alafu unasema mpole yaani nimekuchokonoa kidogo umejibu.nenda huko tu maana hapa regency hatuhudumii wagonjwa wa aiana yako tafadhali...
Watu wanaacha kesho harusi wewe unasema mahari ohooo!Sasa Mimi nilishatoa na mahari nifanyeje kumuacha?
Asante kwa Swali zuri bro,..Ngoja nikuulize umeshawahi kumsikia mtu akielezea hivi ''mimi ni mkorofi nina gubu na sina heshima''?
Kufanikiwa kwenye nini haswa??Ukisoma vizur utanielewa,,kuachwa ni bora kuliko kuacha....kuvunjika kwa mahusiano yyte yale duniani yanatokana na wote wawili kushindwa kuwajibikiana,,so lawama huwa za upande mmoja hua hazisaidii sana maana hakuna mtu mwenye mahusiano na yy mwenyewe,lazima kutakua na kutowajibikiana kwa aina fulan inayosababisha kuachana,so kwa kati ya muachaji na muachwaji anaekuja kufanikiwa zaid ni yule alieachwa,,kwa % kubwa yy ndio mhanga zaid ya alie acha maana muachaji hua anajiandaa kuliko muachwaji.
MhmhmhmhmhMkulima akichoka anaacha jembe lake shambani, akienda kula nyumbani na akapata nguvu anarudi kuchukua jembe lake anaendeleza kazi
Kwani unaacha nini na nani kwa mfano?[emoji23] [emoji23]Sijawahi kuacha.
Mkojo Dawa bwana waganga huutumia kuwawekea walevi kwenye dawa ili waache pombe hasa mkojo ulewa wa asubuhi ...hivyo hata kumsahau mtu kumbe rahisi tuu ..Kumbe mkojo unasahaulisha
Alafu wewe ujue ninakudai!!!Kwani unaacha nini na nani kwa mfano?[emoji23] [emoji23]