Ulitumia njia ipi kumwacha ex wako?

Kaka sipo hivo kabisa yaan,nilikuwa namuheshim mno, nimemsaidia mengi, sijui kuringa wala kuonyesha zarau mim ni mpole ukiniona utafikir no mlokole aliyeshika dini, mim sio muongeaji, unaweza nikera na nikacheka,
Ngoja nikuulize umeshawahi kumsikia mtu akielezea hivi ''mimi ni mkorofi nina gubu na sina heshima''?
 
Uko kunywa mkojo ni kweli? Nataman nimsahau wangu nashindwa

With time utamsahau. Acha kunywa uchafu eti kisa umsahau mtu. Mkojo ni uchafu ndo maana mwili unautoa. Sasa kwa nn unywe uchafu kwa ajili ya binadamu mwenzio. Muombe Mungu akuondolee maumivu ya moyo ili uweze kumsahau huyo mtu.
 
nenda huko tu maana hapa regency hatuhudumii wagonjwa wa aiana yako tafadhali...
...ndio maana injinia wa Kipare alikuacha kumbe hapo regacy unaugulia kichaa DUUH.Alafu unasema mpole yaani nimekuchokonoa kidogo umejibu.
 
Kufanikiwa kwenye nini haswa??
 
Sijui kuacha hayo ndio mafunzo niliyopewa na Babu yangu, ila nishaachwa Mara kibaooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…