Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Kwa ufupi sana, niliwahi kudate na mwanamke flani miaka ya nyuma mkoa flani sitautaja.
Tukapotezana kwa maana ya kuonana, ila mawasiliano yalikuwepo kwa simu. Juzi kati amekuja mjini kwa biashara zake, kaniahidi tutaonana kweli kafika tukaonana ilikuwa jioni sana.
Tukapata msosi tukaelekea location, sasa katika mazungumzo nikamwambia siwezi kufanya chochote kwa sababu ni muda kidogo hatujaonana.
Hata kama tutatumia kinga lakini ni vema tujue afya zetu kwa sababu kuna emergencies za kinga kupasuka, kinga kuvaliwa vibaya bila kujua au wakati wa kutoa kinga bahati mbaya ukawa contaminated.
Hapo ndio nilitonesha kidonda kilichoanza kupona, mjumbe kanikatalia katukatu hawezi kupima, niliona kama utani vile alivyokuwa akinikomalia kuonana namimi nikajisemea atalegeza tu, mpaka inafika 2 usiku kakaza, nikamwambia sili mzigo bila kipimo basi tumelala hadi asubuhi sijamgusa hakuamini kama fisi anaweza kulala na mbuzi buchani.
Asubuhi ya leo nimemwambia business iishe, huwezi kuamini ameunga mkono hoja.
Moral of the story: Uhai ni muhimu sana usibweteke na starehe ya sekunde moja
Tukapotezana kwa maana ya kuonana, ila mawasiliano yalikuwepo kwa simu. Juzi kati amekuja mjini kwa biashara zake, kaniahidi tutaonana kweli kafika tukaonana ilikuwa jioni sana.
Tukapata msosi tukaelekea location, sasa katika mazungumzo nikamwambia siwezi kufanya chochote kwa sababu ni muda kidogo hatujaonana.
Hata kama tutatumia kinga lakini ni vema tujue afya zetu kwa sababu kuna emergencies za kinga kupasuka, kinga kuvaliwa vibaya bila kujua au wakati wa kutoa kinga bahati mbaya ukawa contaminated.
Hapo ndio nilitonesha kidonda kilichoanza kupona, mjumbe kanikatalia katukatu hawezi kupima, niliona kama utani vile alivyokuwa akinikomalia kuonana namimi nikajisemea atalegeza tu, mpaka inafika 2 usiku kakaza, nikamwambia sili mzigo bila kipimo basi tumelala hadi asubuhi sijamgusa hakuamini kama fisi anaweza kulala na mbuzi buchani.
Asubuhi ya leo nimemwambia business iishe, huwezi kuamini ameunga mkono hoja.
Moral of the story: Uhai ni muhimu sana usibweteke na starehe ya sekunde moja