Uliwahi ku-date na mtu wa aina hii?

Uliwahi ku-date na mtu wa aina hii?

Muwe mnaenda kupata ushauri nasaha inaonekana hata njia za kupata ukimwi huzijui yani kuvaa condom then ikipasuka basi unapata ukimwi are you you!!! Seriouslly au kuvaa condom vibaya nako kuna leta magonjwa au labda ulikuwa unakimbia UTI na kama ni ukimwi haumbukizwi ivo mzee
 
Hayo sio mahusiano. Ni vita. Mnapeana maneno kama mko kwenye kambania ya kwanza
 
Muwe mnaenda kupata ushauri nasaha inaonekana hata njia za kupata ukimwi huzijui yani kuvaa condom then ikipasuka basi unapata ukimwi are you you!!! Seriouslly au kuvaa condom vibaya nako kuna leta magonjwa au labda ulikuwa unakimbia UTI na kama ni ukimwi haumbukizwi ivo mzee
Hamna kitu huyo!
 
Hadi uvinza ungeenda,.
Sifanyagi hii michezo walahi
Bado niko mshamba kinoma haswa ikiwa mbususu husika najua sikuwahi izindua mimi yani Kuna mijamaa mingime ilishagaweka halafu namimi niende uvinza.. can you imagine that..😂😂
Wenye fani zao hilo nimewaachia.
 
Muwe mnaenda kupata ushauri nasaha inaonekana hata njia za kupata ukimwi huzijui yani kuvaa condom then ikipasuka basi unapata ukimwi are you you!!! Seriouslly au kuvaa condom vibaya nako kuna leta magonjwa au labda ulikuwa unakimbia UTI na kama ni ukimwi haumbukizwi ivo mzee
Unapohisi unajua na kuanza kunielimisha mimi. Kimsingi hunijui iwe kitaaluma wala uzoefu.
 
Kamuona hajielewi paseee
Haiwezi kuwa rahisi kiasi hicho.
Unaweza kuona wewe ni hodari sana wa kunishauri, lakini nakukumbusha Ukimwi upo.
Usijipe moyo, na magonjwa mengine yapo
 
Hata kama tutatumia kinga lakini ni vema tujue afya zetu kwa sababu kuna emergencies za kinga kupasuka, kinga kuvaliwa vibaya bila kujua au wakati wa kutoa kinga bahati mbaya ukawa contaminated.
Kama UKIMWI ungekuwa unaambukiza kirahisi hivyo wengi wangeisha.
 
Back
Top Bottom