Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
- Thread starter
- #61
We ram yako ndogo sana hata siwezi kufanya argument nawewe.Ndio maana demu kamkataa...
Demu alonikataa aje location? Sijui unaongelea nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ram yako ndogo sana hata siwezi kufanya argument nawewe.Ndio maana demu kamkataa...
Wewe sio wa kwanza kujipa moyo, siku unaudaka ndio utajua hujui.Kama UKIMWI ungekuwa unaambukiza kirahisi hivyo wengi wangeisha.
Madaktari, wanasaikolojia na majasiri wa JF wanaona mi mzembe.We ni mfano wa kuigwa. Hiyo ndio maana ya busara. Busara lazima itawale maamuzi vinginevyo starehe ya dakika kadhaa inaweza kuleta majuto ya kudumu!!
Yupo hapa ghetto kwang mkuu ataondok jumatatu acha mm niendelee kujipigia mwenyewKwa ufupi sana, niliwahi kudate na mwanamke flani miaka ya nyuma mkoa flani sitautaja.
Tukapotezana kwa maana ya kuonana, ila mawasiliano yalikuwepo kwa simu. Juzi kati amekuja mjini kwa biashara zake, kaniahidi tutaonana kweli kafika tukaonana ilikuwa jioni sana.
Tukapata msosi tukaelekea location, sasa katika mazungumzo nikamwambia siwezi kufanya chochote kwa sababu ni muda kidogo hatujaonana.
Hata kama tutatumia kinga lakini ni vema tujue afya zetu kwa sababu kuna emergencies za kinga kupasuka, kinga kuvaliwa vibaya bila kujua au wakati wa kutoa kinga bahati mbaya ukawa contaminated.
Hapo ndio nilitonesha kidonda kilichoanza kupona, mjumbe kanikatalia katukatu hawezi kupima, niliona kama utani vile alivyokuwa akinikomalia kuonana namimi nikajisemea atalegeza tu, mpaka inafika 2 usiku kakaza, nikamwambia sili mzigo bila kipimo basi tumelala hadi asubuhi sijamgusa hakuamini kama fisi anaweza kulala na mbuzi buchani.
Asubuhi ya leo nimemwambia business iishe, huwezi kuamini ameunga mkono hoja.
Moral of the story: Uhai ni muhimu sana usibweteke na starehe ya sekunde moja
HayaWe ram yako ndogo sana hata siwezi kufanya argument nawewe.
Demu alonikataa aje location? Sijui unaongelea nini
Funny.Wewe sio wa kwanza kujipa moyo, siku unaudaka ndio utajua hujui.
Aliye engineer Ukimwi pia hakuwa mzembe ivo unavyofikiria
Piga vituYupo hapa ghetto kwang mkuu ataondok jumatatu acha mm niendelee kujipigia mwenyew
Atakuwa suzy, akina stela wastaarabu sana.Anaitwa Stela au Suzy?
Hongera mkuu, ni ushujaa sana huo na tumebaki wachache wanaoweza kuwa strong kiasi hicho, siyo unakuwa cheap cheap tu, japo watakwambia unashida ila jua umefanya maamuzi sahihi sana
Umeona eenhh?!!!.Sema jamaa anajali afya yake.Sema watu mnafanya maisha yaonekane magumu sana..!
Dah!!!, Maisha yetu wanadamu fumbo kubwa Sana,tuombe tu Uzima Mungu atujalie.Pia kuomba kifo chema muda mfupi kabla ya kifo tujipatanishe naye.Fullstop.Mengine mbwembwe tu.Ubovu wa maisha unaweza kimbia zinaa kesho ukaenda na ajali..[emoji51][emoji51]
Maisha hayana formular haya.
Kuna shida hapo.Kabila lake = Mrangi
Biashara zake = kahama
Mbagala ni kwa Dada yake
[emoji1787][emoji1787]
Lakini yeye kukataa kupima haimaanishi anaumwa.
Sio tu kufanya mapenzi ila siwezi kuanzisha mahusiano kabla hatujatua afya zetu.Unaweza kufanya mapenzi na mtu aliyekataa kupima?
Umenena jambo la busara sana. [emoji120][emoji120][emoji120]Bila shaka baada ya kuachana na wewe yupo kwenye relationship na mtu mwingine.
Kama mtu yupo kwenye relationship hata kama umejitunza ni ngumu kuamini kwamba na partner wako anajitunza. Kitendo cha kuwa kwenye mahusiano basi uhakika na afya yako ni mdogo sana.
Halafu atakuwa amewaza, akipima ikitokea majibu yakiwa mabaya, bado hamta-sex na bado utakuwa unaijua siri yake. Na itamuumiza sana ,akaona basi bora aache, na nyie sio wapenzi tena.
Lakini yeye kukataa kupima haimaanishi anaumwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi uvinza ungeenda,.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo sio mahusiano. Ni vita. Mnapeana maneno kama mko kwenye kambania ya kwanza