Uliwahi ku-date na mtu wa aina hii?

Uliwahi ku-date na mtu wa aina hii?

Kama UKIMWI ungekuwa unaambukiza kirahisi hivyo wengi wangeisha.
Wewe sio wa kwanza kujipa moyo, siku unaudaka ndio utajua hujui.
Aliye engineer Ukimwi pia hakuwa mzembe ivo unavyofikiria
 
We ni mfano wa kuigwa. Hiyo ndio maana ya busara. Busara lazima itawale maamuzi vinginevyo starehe ya dakika kadhaa inaweza kuleta majuto ya kudumu!!
Madaktari, wanasaikolojia na majasiri wa JF wanaona mi mzembe.
Hizi fake ID zinatusaidia sana ujue ingetokea tukajuana sijui ingekuwaje.

Anyway uhai ni muhimu kuliko vyote, siwezi kupata maambukizi kizembe kwa kisingizio cha ujasiri.

Experience inaonyesha ujasiri unaweza kukugharimu maisha kama hutakuwa na kiasi
 
  • Thanks
Reactions: Mu7
Kwa ufupi sana, niliwahi kudate na mwanamke flani miaka ya nyuma mkoa flani sitautaja.

Tukapotezana kwa maana ya kuonana, ila mawasiliano yalikuwepo kwa simu. Juzi kati amekuja mjini kwa biashara zake, kaniahidi tutaonana kweli kafika tukaonana ilikuwa jioni sana.

Tukapata msosi tukaelekea location, sasa katika mazungumzo nikamwambia siwezi kufanya chochote kwa sababu ni muda kidogo hatujaonana.

Hata kama tutatumia kinga lakini ni vema tujue afya zetu kwa sababu kuna emergencies za kinga kupasuka, kinga kuvaliwa vibaya bila kujua au wakati wa kutoa kinga bahati mbaya ukawa contaminated.

Hapo ndio nilitonesha kidonda kilichoanza kupona, mjumbe kanikatalia katukatu hawezi kupima, niliona kama utani vile alivyokuwa akinikomalia kuonana namimi nikajisemea atalegeza tu, mpaka inafika 2 usiku kakaza, nikamwambia sili mzigo bila kipimo basi tumelala hadi asubuhi sijamgusa hakuamini kama fisi anaweza kulala na mbuzi buchani.

Asubuhi ya leo nimemwambia business iishe, huwezi kuamini ameunga mkono hoja.

Moral of the story: Uhai ni muhimu sana usibweteke na starehe ya sekunde moja

Yupo hapa ghetto kwang mkuu ataondok jumatatu acha mm niendelee kujipigia mwenyew
 
Kwahiyo Baada ya kuamka asubuhi ulimpa hela hata ya nauli?! Alafu inaoneoana wewe ni Ni Mwananchi, unasimamia misimamo yako Hongera,
 
kuna kitu umekosea.......ungepiga PUNYETO in front of her........angekuelewa vema.....
 
Ubovu wa maisha unaweza kimbia zinaa kesho ukaenda na ajali..[emoji51][emoji51]
Maisha hayana formular haya.
Dah!!!, Maisha yetu wanadamu fumbo kubwa Sana,tuombe tu Uzima Mungu atujalie.Pia kuomba kifo chema muda mfupi kabla ya kifo tujipatanishe naye.Fullstop.Mengine mbwembwe tu.
 
Bila shaka baada ya kuachana na wewe yupo kwenye relationship na mtu mwingine.
Kama mtu yupo kwenye relationship hata kama umejitunza ni ngumu kuamini kwamba na partner wako anajitunza. Kitendo cha kuwa kwenye mahusiano basi uhakika na afya yako ni mdogo sana.

Halafu atakuwa amewaza, akipima ikitokea majibu yakiwa mabaya, bado hamta-sex na bado utakuwa unaijua siri yake. Na itamuumiza sana ,akaona basi bora aache, na nyie sio wapenzi tena.

Lakini yeye kukataa kupima haimaanishi anaumwa.
Umenena jambo la busara sana. [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom