cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We Jamaaa Nomaaaaa Mwanaume msimamo Aisee Co unakua cheap kama bei ya Ivory
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We Jamaaa Nomaaaaa Mwanaume msimamo Aisee Co unakua cheap kama bei ya Ivory
Wanaume wengi wa JF hii ndio yao, ila kutwa kuwasema wanaume wenye silka ya kike, sasa sijui wao na hao wanao wasema wana tofauti gan lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uache tabia ya kusreen shot meseji private na kuzileta humu,ni utoto uliokubuhu ukikuwa uache.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume wengi wa JF hii ndio yao, ila kutwa kuwasema wanaume wenye silka ya kike, sasa sijui wao na hao wanao wasema wana tofauti gan lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi mbna umefurahi sana?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimefrahi unavyo lalamika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vipi mbna umefurahi sana?
Sio tu kufanya mapenzi ila siwezi kuanzisha mahusiano kabla hatujatua afya zetu.
Nimelalama nn tena jaman?Nimefrahi unavyo lalamika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nah, mimi naamini mtu anahitaji muda kukubaliana na akili yake ili kufanya hivo. Kwahiyo kama mtu hatokuwa tayari wakati huo mimi naelewa, na nitampa muda wa kujiandaa kufanya hivo.Good, kwa hiyo unakubaliana na swala la kwamba mtu anayeogopa kupima ni wa kuogopwa pia, regardless of whether anao au hana.
Nilimpa nauli kiroho safi, tukapanda kiusafiri nikamfikisha sehemu ya kupandia usafiri wa umma mi nikaendelea na mambo yangu mjiniKwahiyo Baada ya kuamka asubuhi ulimpa hela hata ya nauli?! Alafu inaoneoana wewe ni Ni Mwananchi, unasimamia misimamo yako Hongera,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna kitu umekosea.......ungepiga PUNYETO in front of her........angekuelewa vema.....
Amna nilimuacha akalala ukutani kama kawaida yao.Sipati picha hapo sasa ww ndio ulikuwa upande wa ukutani mkuu au
Nah, mimi naamini mtu anahitaji muda kukubaliana na akili yake ili kufanya hivo. Kwahiyo kama mtu hatokuwa tayari wakati huo mimi naelewa, na nitampa muda wa kujiandaa kufanya hivo.
Kwa mimi sitamwogopa mtu wa hivo, nitampa muda akiwa tayari ataniambia.
Hayuko tayari wala hahitaji muda. Hayo yote nilimwambia akasema hata iweje hawezi kuja kupima afyaNah, mimi naamini mtu anahitaji muda kukubaliana na akili yake ili kufanya hivo. Kwahiyo kama mtu hatokuwa tayari wakati huo mimi naelewa, na nitampa muda wa kujiandaa kufanya hivo.
Kwa mimi sitamwogopa mtu wa hivo, nitampa muda akiwa tayari ataniambia.