Uliwahi ku-date na mtu wa aina hii?

Uliwahi ku-date na mtu wa aina hii?

Ni ujinga ujinga tu.. unaweza jifanya unakimbia ukimwi ambao ungeupata bado ungeweza kuishi miaka 20 mbele. Lakin ukapata corona au ajali ukafa ndani ya siku moja tu
 
All in all, tiana na mtu pale unapoona umejiridhisha kiakili kwa lolote utakalokutana nalo.
 
Kwa ufupi sana, niliwahi kudate na mwanamke flani miaka ya nyuma mkoa flani sitautaja.

Tukapotezana kwa maana ya kuonana, ila mawasiliano yalikuwepo kwa simu. Juzi kati amekuja mjini kwa biashara zake, kaniahidi tutaonana kweli kafika tukaonana ilikuwa jioni sana.

Tukapata msosi tukaelekea location, sasa katika mazungumzo nikamwambia siwezi kufanya chochote kwa sababu ni muda kidogo hatujaonana.

Hata kama tutatumia kinga lakini ni vema tujue afya zetu kwa sababu kuna emergencies za kinga kupasuka, kinga kuvaliwa vibaya bila kujua au wakati wa kutoa kinga bahati mbaya ukawa contaminated.

Hapo ndio nilitonesha kidonda kilichoanza kupona, mjumbe kanikatalia katukatu hawezi kupima, niliona kama utani vile alivyokuwa akinikomalia kuonana namimi nikajisemea atalegeza tu, mpaka inafika 2 usiku kakaza, nikamwambia sili mzigo bila kipimo basi tumelala hadi asubuhi sijamgusa hakuamini kama fisi anaweza kulala na mbuzi buchani.

Asubuhi ya leo nimemwambia business iishe, huwezi kuamini ameunga mkono hoja.

Moral of the story: Uhai ni muhimu sana usibweteke na starehe ya sekunde moja

We ni mfano wa kuigwa. Hiyo ndio maana ya busara. Busara lazima itawale maamuzi vinginevyo starehe ya dakika kadhaa inaweza kuleta majuto ya kudumu!!
 
Mkuu, ungeingia majaribuni, ungeanza safari ya kitubio.
Yaelekea alikuwa na nia mbaya na wewe.
Nikutakie maisha mema!
 
ila tuache masihara kupimwa na mtu inahitaji moyo nyie, yani yaktoka positive ushajulikana yani
 
Uache tabia ya kusreen shot meseji private na kuzileta humu,ni utoto uliokubuhu ukikuwa uache.
 
hahaha yaani ww jamaa unaakili kama za TFF Kuhairisha mechi ,nyie ndo wanaume mnaoshindwa kuvaa kondom huwa mnanisikitisha sana .
 
hahaha yaani ww jamaa unaakili kama za TFF Kuhairisha mechi ,nyie ndo wanaume mnaoshindwa kuvaa kondom huwa mnanisikitisha sana .
Hata nikivaa condom huyo mwanamke lazima apime HIV hataki alale mbele wala sina dhiki ya mapenzi[emoji23][emoji23]
 
Hata nikivaa condom huyo mwanamke lazima apime HIV hataki alale mbele wala sina dhiki ya mapenzi[emoji23][emoji23]
hahahahahaaha ww mzeee unampima unamuambia sasa tuko salama unachana condom mnaanza mambo shezi sana ww
 
hahahahahaaha ww mzeee unampima unamuambia sasa tuko salama unachana condom mnaanza mambo shezi sana ww
Si afadhali iwe ivo kuliko wanaoingia na condom alaf bahati mbaya imeachia utamu kunoga anaendelea[emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu umefanya vyema sana kuisikiliza sauti ya ndani yako(moyo wako). Binafsi moyo ukishasita tu hasa kwenye mbususu huwa nausikilza, kuna kipind sista mmoja alihamia jirani na napoishi baada ya mda akaja mdogo wake yupo vizuri idara nazopenda(big ass, chuchu konzi na guu la bia). Huyu manzi nilitokea kuwa na mazoea nae siku ya siku akaniambia anataka anitunuku kwa kweli roho ilisita sana nikasema ngoja nivute mda, hazikupita wiki 2 dada yake akamfukuza ana mimba na mwanaume kaikataa kwahyo alikua anataka nimgonge ili nibebe lile jukumu.
 
Kwa ufupi sana, niliwahi kudate na mwanamke flani miaka ya nyuma mkoa flani sitautaja.

Tukapotezana kwa maana ya kuonana, ila mawasiliano yalikuwepo kwa simu. Juzi kati amekuja mjini kwa biashara zake, kaniahidi tutaonana kweli kafika tukaonana ilikuwa jioni sana.

Tukapata msosi tukaelekea location, sasa katika mazungumzo nikamwambia siwezi kufanya chochote kwa sababu ni muda kidogo hatujaonana.

Hata kama tutatumia kinga lakini ni vema tujue afya zetu kwa sababu kuna emergencies za kinga kupasuka, kinga kuvaliwa vibaya bila kujua au wakati wa kutoa kinga bahati mbaya ukawa contaminated.

Hapo ndio nilitonesha kidonda kilichoanza kupona, mjumbe kanikatalia katukatu hawezi kupima, niliona kama utani vile alivyokuwa akinikomalia kuonana namimi nikajisemea atalegeza tu, mpaka inafika 2 usiku kakaza, nikamwambia sili mzigo bila kipimo basi tumelala hadi asubuhi sijamgusa hakuamini kama fisi anaweza kulala na mbuzi buchani.

Asubuhi ya leo nimemwambia business iishe, huwezi kuamini ameunga mkono hoja.

Moral of the story: Uhai ni muhimu sana usibweteke na starehe ya sekunde moja

Man uko makini sana. usikubali kuuza uhai wako in cheap way kiasi hiko.
always protection
 
Back
Top Bottom