38Kwani wewe unavaa namba ngapi?
Yaani watu watiane kwa starehe zao wewe ukajinyongeπππIlibakia kidogo kujinyonga nilipochapiwa pisi kali yangu na wahuni wa mjini wenye hela, baada ya pale, nikalizwa tena mara mbili, f@c love
π haina madhara kwangu labda kama ni kukopeshanaHalf american si nimekuambia..,never trust him
π€£π€£Haya nimetoaHapo kwenye dharau n uongo bhana, japokuwa sijui n kipi kinafanywa niachwe na kila demu
Unazingua Ujue ππ€£usimzingatie
πππ unayaweza na unajitahidiEm ngoja nije PM ili mambo yasiwe mengi kwa wananchi π
Jikaze usilieasante sana
Usilie mkuu πSio wote n waongo mkuu, hii ishu ya kulia miaka miwili na nusu ni kweli kabisa yn hapa tuu huyu mrembo To yeye amenitonesha kidonda Mpaka Nimeanza kumkumbuka lishangazi langu atafanya nilie Tena π
π€£π€£π€£ kuna watu hata km hutaki kucheka utacheka aisee!!Yaani watu watiane kwa starehe zao wewe ukajinyongeπππ
π€£π€£maji utaita mmaUnazingua Ujue π
Yule semaji la mihemo? Mods washapita nao?Nyuzi za leo za watu kuvurugwa π€£π€£π€£
Kuna mwenzio mmoja katoka kufutiwa uzi wake muda sio mrefu alikuwa anatoa ushauri kwa wanaume wenzie..!!
I can't wait for a video call from you my love π let's do it honeyπ Leo nitampigia video call najua atashtuka sanaβa, huu uzi umenipa nguvu. Nimejiona mkosaji sababu na yy hakutegemea ingekuwa hivo na tungefika mbali.!
π€£π€£π€£ alidhani ya kinamods hazihemi?π€Yule semaji la mihemo? Mods washapita nao?
π³makubwaπI can't wait for a video call from you my love π let's do it honey
πππ mapema sana mods washamuachia manyoya mzee wa mihemo.!! Ila nimecheka sanaβa mana ndio nilikuwa nimefika nashangaa shwaaah.!! π€£Yule semaji la mihemo? Mods washapita nao?
Kwahy umeamua kuniua au siyo ππ€£π€£maji utaita mma
Ila watu wafukunyuku sana, inakuaje mtu anajua adi utamu usiomhusu ?ππ€£π€£π€£ alidhani ya kinamods hazihemi?π€
Bff huogopi? Yaani kujinyonga kabisaaaπ€£π€£π€£ kuna watu hata km hutaki kucheka utacheka aisee!!
Anakwambia zinabana ikiwa inahema π€£π€£π€£π€£π€£π€£ alidhani ya kinamods hazihemi?π€
Inakeraga hiyo unafungua uzi ili usome mara shwaaa umefutwa.πππ mapema sana mods washamuachia manyoya mzee wa mihemo.!! Ila nimecheka sanaβa mana ndio nilikuwa nimefika nashangaa shwaaah.!! π€£