Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
38Kwani wewe unavaa namba ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
38Kwani wewe unavaa namba ngapi?
Yaani watu watiane kwa starehe zao wewe ukajinyonge🙄🙄🙄Ilibakia kidogo kujinyonga nilipochapiwa pisi kali yangu na wahuni wa mjini wenye hela, baada ya pale, nikalizwa tena mara mbili, f@c love
😂 haina madhara kwangu labda kama ni kukopeshanaHalf american si nimekuambia..,never trust him
🤣🤣Haya nimetoaHapo kwenye dharau n uongo bhana, japokuwa sijui n kipi kinafanywa niachwe na kila demu
Unazingua Ujue 😂🤣usimzingatie
😂😂😂 unayaweza na unajitahidiEm ngoja nije PM ili mambo yasiwe mengi kwa wananchi 😂
Jikaze usilieasante sana
Usilie mkuu 😂Sio wote n waongo mkuu, hii ishu ya kulia miaka miwili na nusu ni kweli kabisa yn hapa tuu huyu mrembo To yeye amenitonesha kidonda Mpaka Nimeanza kumkumbuka lishangazi langu atafanya nilie Tena 😭
🤣🤣🤣 kuna watu hata km hutaki kucheka utacheka aisee!!Yaani watu watiane kwa starehe zao wewe ukajinyonge🙄🙄🙄
🤣🤣maji utaita mmaUnazingua Ujue 😂
Yule semaji la mihemo? Mods washapita nao?Nyuzi za leo za watu kuvurugwa 🤣🤣🤣
Kuna mwenzio mmoja katoka kufutiwa uzi wake muda sio mrefu alikuwa anatoa ushauri kwa wanaume wenzie..!!
I can't wait for a video call from you my love 😍 let's do it honey🙏 Leo nitampigia video call najua atashtuka sana’a, huu uzi umenipa nguvu. Nimejiona mkosaji sababu na yy hakutegemea ingekuwa hivo na tungefika mbali.!
🤣🤣🤣 alidhani ya kinamods hazihemi?🤓Yule semaji la mihemo? Mods washapita nao?
😳makubwa🙄I can't wait for a video call from you my love 😍 let's do it honey
😂😂😂 mapema sana mods washamuachia manyoya mzee wa mihemo.!! Ila nimecheka sana’a mana ndio nilikuwa nimefika nashangaa shwaaah.!! 🤣Yule semaji la mihemo? Mods washapita nao?
Kwahy umeamua kuniua au siyo 😂🤣🤣maji utaita mma
Ila watu wafukunyuku sana, inakuaje mtu anajua adi utamu usiomhusu ?😂🤣🤣🤣 alidhani ya kinamods hazihemi?🤓
Bff huogopi? Yaani kujinyonga kabisaaa🤣🤣🤣 kuna watu hata km hutaki kucheka utacheka aisee!!
Anakwambia zinabana ikiwa inahema 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 alidhani ya kinamods hazihemi?🤓
Inakeraga hiyo unafungua uzi ili usome mara shwaaa umefutwa.😂😂😂 mapema sana mods washamuachia manyoya mzee wa mihemo.!! Ila nimecheka sana’a mana ndio nilikuwa nimefika nashangaa shwaaah.!! 🤣