Uliwahi kuona nini WhatsApp status?

Uliwahi kuona nini WhatsApp status?

kuna demu alikuw anaweka status za vijembe,kwa siku anaweka zaid ya picha 10 na vijembe juu,siku moja nikamwambia akajibu ameshazoea kama naona inshu nifute namba tu.kweli nilifanya ivo


baada ya week mbili alinitafuta kama masiara nikauliza nan akajitambulisha tu fresh.akanambia hivi kingkongtz we sumesomea course ya afya.kuna nafasi zimetoka kambini nitumie copy nimpelekee mkuu maana tunaelewana sana.

nilichukulia kawaida ,niliamua kumtumia.asa nikaosave tena namba yake,kama kawaida yake vijembe sana nikaamua kumute status zake.



baada ya usaili kupita huwez amin nilipata kaz ,kwenye usail tulikuw weng wao walihitaji 9 tuu.na matokeo yangu ata sio mazuri kivile ila demu alisababisha.


adi leo namheshimu na ujinga wake anaopostig namuita dada kanizid miaka 4

HAPO NDO HUWA NASHINDWA KUELEWA DUNIA IPOJE.tuishi tu peace na kila mtu ,tusichukulie serious sana

Mkuu umemaliza kila kitu.
 
Maza hajui hata status n nn yeye kajibonyezea tu kitu kikaenda status hakuona kabisa kama ni video chafu sjajua ilikuaje mpk hakuona mm kaja kunirudishia sm hajaongea chochote. Kilichofuata niliidelete sema kuna wenye gb watsap hawa mpk masaa 24 daah nlijiskia vby sana nlijitaidi kuwajibu watu wazima walioniuliza hao wengne nikaachana nao ilikaa kama nusu SAA hv
Situation ka hii ishawai nikuta,Nilikuwa namfowadia mtu porn nkasahau nkaituma on my status,Japo niliifuta haraka lakini Siku nzima niliishiwa amani kabisa,Ilifikia hatua nkahisi wabaya wangu wenye WhatsApp gb wanaweza kunirepot TCRA nishitakiwe kwa makosa ya mtandao.
 
kuna demu alikuw anaweka status za vijembe,kwa siku anaweka zaid ya picha 10 na vijembe juu,siku moja nikamwambia akajibu ameshazoea kama naona inshu nifute namba tu.kweli nilifanya ivo


baada ya week mbili alinitafuta kama masiara nikauliza nan akajitambulisha tu fresh.akanambia hivi kingkongtz we sumesomea course ya afya.kuna nafasi zimetoka kambini nitumie copy nimpelekee mkuu maana tunaelewana sana.

nilichukulia kawaida ,niliamua kumtumia.asa nikaosave tena namba yake,kama kawaida yake vijembe sana nikaamua kumute status zake.



baada ya usaili kupita huwez amin nilipata kaz ,kwenye usail tulikuw weng wao walihitaji 9 tuu.na matokeo yangu ata sio mazuri kivile ila demu alisababisha.


adi leo namheshimu na ujinga wake anaopostig namuita dada kanizid miaka 4

HAPO NDO HUWA NASHINDWA KUELEWA DUNIA IPOJE.tuishi tu peace na kila mtu ,tusichukulie serious sana
Ndo hivo mzee kila MTU amezoea nn cha kufanya na cha kupost
 
Hawa wanafanya kusudi bwanaHii niliiona kuna mchizi mmoja alinitumia tena uyo dada alopost shoga ake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] akamuuliza anasema alikua anatania sio yakewatu wa hivi wananishangazaga [emoji23] bado hapo siku ya birthday hajaanza kupost
Huyo sio kusudi asingepotea watsap baada ya.kugundua kajianika kwenye status
 
Hawa wanafanya kusudi bwanaHii niliiona kuna mchizi mmoja alinitumia tena uyo dada alopost shoga ake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] akamuuliza anasema alikua anatania sio yakewatu wa hivi wananishangazaga [emoji23] bado hapo siku ya birthday hajaanza kupost
Kwenye birthday unakuta ana repost wote waliomu wish na kupost tena
 
Kuna hio moja kali kuna manzi alipost papa na tgo kwenye status huku akisema #hubby mknd umeanza kuzoea # wajuba wakascreenshot faster
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna mtu alipost ujinga masaa mabaya around kumi kasoro, within the second akafuta ila nikawa nishascreen shot, baada ya wiki nikamtumia inbox hakuamini maana kwake ilisoma 0 viewers.

Kupitia status unaweza kujuwa akili ya mtu katika kufikiri na kufanya maamuzi, baadhi pia wamekuwa wakionesha udhaifu wao wa kihisia hasa wanapo kabiliana na changamoto.
 
Kuna mtu alipost ujinga masaa mabaya around kumi kasoro, within the second akafuta ila nikawa nishascreen shot, baada ya wiki nikamtumia inbox hakuamini maana kwake ilisoma 0 viewers.

Kupitia status unaweza kujuwa akili ya mtu katika kufikiri na kufanya maamuzi, baadhi pia wamekuwa wakionesha udhaifu wao wa kihisia hasa wanapo kabiliana na changamoto.
Alipost nini ...tuambie na sisi
 
Back
Top Bottom