Kumbe tunapoona washikaji wanatusua sana Bar wanachafua meza kumbe kesho yake huwa wanaamka na homa.😅😅😅Dah mi nakumbuka kuna mwanangu alinialika kigamboni tupate bia mbili tatu nikatimba asee apo ni camp joint,nikakuta kimewaka yuko na jamaa zake kama nane wanamalizia malizia bia zao namimi nkapiga kama mbili hivi nilizozikuta tukahamia the Giant asee ile siku nikijikuta natumia laki tatu ila kuendana nao make jamaa yangu alikua ananitambulisha kama mtu mkubwa fulani hivi bas namimi sikuwaangusha ila nilipata homa kwa hasara ile.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hiyo kazi mkeo anaiweza,kuliko kushikwa na hao machangu.Kwa hiyo mume wa mtu hastahili raha?
Muone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],una roho ngumuHapo Zamani Nalikua na Utaratibu Nikikutana na Mwanamke amevaa hayo Majuba yenu nakomaa nae hata iwe kavaa kininja nalikua Nacheza Bahati Nasibu, Na kwa Bahati Iliyo njema sijawahi Kukutana na mbaya [emoji3][emoji3]
Na panadol wanakunywa kutuliza maumivu[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe tunapoona washikaji wanatusua sana Bar wanachafua meza kumbe kesho yake huwa wanaamka na homa.[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwenye ATM ukatoa 1.5m. ATM ya bank gani hiyo?Mimi ilikuwa sio kuleta heshima ila ilikuwa sifa.iko hivi nilienda dodoma kwenye harusi ya sista nilikaa meza moja na pisi kali 2 ukafika muda wa kuchangia bibi harusi kulikuwa na phase mbili,phase ya kwanza ilikuwa kikapu kinapita kwenye kila meza yoyote anaweka alichonacho'muda ule nilikuwa nipo tungi balaa kutaka kuonyesha sifa mfukoni nilikuwa na laki 8 nikawa naweka narusha rusha elfu 10 kwenye kapu mpaka laki 8 yote ikaisha.
Baadae wale wadada wakaniambia weee kaka pesa zote umetoa wapi mbona umechangia hela nyingi hivyo!! Nikawaambia kawaida kisha nikawapotezea.
Ikaja phase 2 kwenda kumtunza bibi harusi pale mbele ili kuonesha sifa nikaenda ATM nikatoa mil 1.5 pisi kali moja ikanishauri sana nisiende kuchangia tena pesa nilizotoa awali zinatosha.
Baada ya harusi kuisha asubuhi nikajikuta nipo room yenye muonekano kama hostel kumbe yule sista nilivyozima alinikokota mpaka chuoni kwao alikuwa ni mwanafunzi wa udaktari md5 akanikabidhi pesa yangu 1.5mil alizitunza coz nilikuwa tungi sana..kifupi huyo dada ndio mke wangu hivi sasa..sifa zilinisaidia kupata mke bora aliyekuwa yupo sealed
dakika 90 hazijaisha 250K imeisha.... Punguzeni chai madogoMimi miaka kama 10 iliyopita nilitumwa dawa za 250,000/= za famasi, duka wamefunga nikawaambia home dawa hadi kesho wakasema hela nikae nayo hadi kesho, jioni saa moja nimeenda Bar ya kibosi kuangalia mpira Wa arsenal,Ghafla nakuta warembo wawili wabishi watoto wa mjini na jezi zao za the Gunners,tunafahamiana nikasema usinitanie,zikaanza gambe pombe na Ng'ombe,kabla dakika 90 hela imeisha..hah hata hela ya bodaboda sina,,nikatembea ki Bob marley..nikazima simu siku mbili ili home wasinisumbue...tangu hapo sijwahi kutumwa dawa...
Safi sana. This was worth it2015 iliwahi kunitokea kwenye msiba wa babu.
Babu yetu alikua na wake watatu hivyo kufanya wajukuu tuwe wengi sana kwa haraka haraka si chini ya 60.sasa ujinga wetu ni tunashirikiana kipindi cha misiba tu.
Pia tunamatabaka ya urafiki,wale ambao wapo fresh kiuchumi ndio marafiki,na wale wa kawaida ivo ivo hata kutembeleaba
Sasa mimi na dogo langu mmoja hivi(mtoto wa mana mdogo kwa bibi mwingine) tupo kivyetu tu,sio uchumi wala kielimu yani tunajijua wenyewe na ndio angalau tumeishi kule bush kwa babu hivyo kutufanya tuwe maarufu kuliko wengini huko kwa upande wa wanaume.
Ujinga ukanzia kwenye kunyonyoa kuku na kusaidia kazi msibani,ndugu zetu wanajifanya wa mjini et hata kunyonyoa kuku hawawezi,wanachofanya ni kutusifia tu mimi na hyo dogo et tunanyonyoa kuku vizuri.
Tukawa tunajiuliza na dogo je kunyonyoa kuku kuna utalamu gani,tukaona hapa ni ujinga,wao ni kufata vitu dukani na gari basi.tena kuna mgari fulan hivi mbovu ikifika time ya kuni,dogo anambiwa aliendeshe yeye.
Tukagundua kuwa hawa wanatuchukulia poa,tena enzi hizo hata hatuna ajira ila harakati zetu tunakula na kuvaa fresh bila kusumbua mtu na totozi tunahudumia.
Siku tunamaliza msiba ndio yalinikuta mazito.wakati wa kikao
Kuna dada yetu mtoto wake alikua anasomeshwa na babu,na sisita huyu aliishi pale baada ya kufeli life huko zambia,yani kifupi alikua ni mtu anaehitaji msaada na bila hivyo dogo asingefanya pepa.
Kutokana na matabaka yetu watu wakawa wazito kukunjua nafsi kumchangia dada hata ada dogo amalize shule mana alikua form four na pesa iliyobakia ni 1M tu.
Ili kuweka heshima nikanyosha mkono baada ya kuona ukimya,nikasema hili jambo si la mjadala kwakua huyu alikua anasomeshwa na babu,na babu kafariki na tumekuja kumzika,hatuwezi kuwa tumemsindikiza kwa aman kama vitu alivyoanzisha vinaishia pabaya na madume yote haya tupo,dada zetu wapo.
Nikatoa laki2 pale pale ,nikasema mimi naanzia,na wengine muendelee,
Wakashtuka hao,basi mchango ukaendelea pale na kunae mwamba huyo akasema hizo pesa mpen dada yeye atamsomesha.
Badae wakanza kuulizia siku hizi nipo wapi na nafanya nn,mara ooh chuo ulimaliza basi najibu kimwamba fulani.
Ila badae nilijuta sana mana pale pesa yangu ilikua 70k tu,zingine zilikua za boss wake dogo alimuagiza mchele tunaporudui dar.na hiyo 70 ilikua ya nauli ya kurudi dar.ilibidi tuombe mchele kwa ndugu na kudandia fuso wakati wa kurudi dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mbona hujatupa mkasa wako? Tengeneza hata chai ya tangawiziNa panadol wanakunywa kutuliza maumivu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]2015 iliwahi kunitokea kwenye msiba wa babu.
Babu yetu alikua na wake watatu hivyo kufanya wajukuu tuwe wengi sana kwa haraka haraka si chini ya 60.sasa ujinga wetu ni tunashirikiana kipindi cha misiba tu.
Pia tunamatabaka ya urafiki,wale ambao wapo fresh kiuchumi ndio marafiki,na wale wa kawaida ivo ivo hata kutembeleaba
Sasa mimi na dogo langu mmoja hivi(mtoto wa mana mdogo kwa bibi mwingine) tupo kivyetu tu,sio uchumi wala kielimu yani tunajijua wenyewe na ndio angalau tumeishi kule bush kwa babu hivyo kutufanya tuwe maarufu kuliko wengini huko kwa upande wa wanaume.
Ujinga ukanzia kwenye kunyonyoa kuku na kusaidia kazi msibani,ndugu zetu wanajifanya wa mjini et hata kunyonyoa kuku hawawezi,wanachofanya ni kutusifia tu mimi na hyo dogo et tunanyonyoa kuku vizuri.
Tukawa tunajiuliza na dogo je kunyonyoa kuku kuna utalamu gani,tukaona hapa ni ujinga,wao ni kufata vitu dukani na gari basi.tena kuna mgari fulan hivi mbovu ikifika time ya kuni,dogo anambiwa aliendeshe yeye.
Tukagundua kuwa hawa wanatuchukulia poa,tena enzi hizo hata hatuna ajira ila harakati zetu tunakula na kuvaa fresh bila kusumbua mtu na totozi tunahudumia.
Siku tunamaliza msiba ndio yalinikuta mazito.wakati wa kikao
Kuna dada yetu mtoto wake alikua anasomeshwa na babu,na sisita huyu aliishi pale baada ya kufeli life huko zambia,yani kifupi alikua ni mtu anaehitaji msaada na bila hivyo dogo asingefanya pepa.
Kutokana na matabaka yetu watu wakawa wazito kukunjua nafsi kumchangia dada hata ada dogo amalize shule mana alikua form four na pesa iliyobakia ni 1M tu.
Ili kuweka heshima nikanyosha mkono baada ya kuona ukimya,nikasema hili jambo si la mjadala kwakua huyu alikua anasomeshwa na babu,na babu kafariki na tumekuja kumzika,hatuwezi kuwa tumemsindikiza kwa aman kama vitu alivyoanzisha vinaishia pabaya na madume yote haya tupo,dada zetu wapo.
Nikatoa laki2 pale pale ,nikasema mimi naanzia,na wengine muendelee,
Wakashtuka hao,basi mchango ukaendelea pale na kunae mwamba huyo akasema hizo pesa mpen dada yeye atamsomesha.
Badae wakanza kuulizia siku hizi nipo wapi na nafanya nn,mara ooh chuo ulimaliza basi najibu kimwamba fulani.
Ila badae nilijuta sana mana pale pesa yangu ilikua 70k tu,zingine zilikua za boss wake dogo alimuagiza mchele tunaporudui dar.na hiyo 70 ilikua ya nauli ya kurudi dar.ilibidi tuombe mchele kwa ndugu na kudandia fuso wakati wa kurudi dar
Sent using Jamii Forums mobile app
CRDB unatoa mpaka mil.2 Kwa ATM.....Kwenye ATM ukatoa 1.5m. ATM ya bank gani hiyo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii ni JF kaka ....Kwenye ATM ukatoa 1.5m. ATM ya bank gani hiyo?
Yeye kasema 1.5m. Ndio nataka kuijua hiyo bankCRDB unatoa mpaka mil.2 Kwa ATM.....
Umeshaacha chief?Niliwahi kuwa mwalimu wa lesoni 2008-2009, 2015
Kweli ninyi wote ni wifeHii bwana ni Kwa hisani ya wife.
Wife hakupenda dharau toka Kwa mdada mwenzake,ilikuwa 2017 nilikuwa nimepanga kwenda shopping na wife akasema ananisindikiza na kuhakikisha napata viwalo freshi,na kama nilijua nilimpa hela akae nazo yeye Mimi kazi yangu ni kujaribu na kuchukua,ilikuwa bajeti kama 300,000.
Sasa wakati tunatoka Duka moja na kuingia lingine,yeye akawahi kutangulia Duka lingine kabla yangu,sasa kwakuwa alikuwa amevaa hijabu basi Yule sista duu WA shop akamchukulia poa kumbe hajui wife alikuwa duu hasa enzi zake Ila nilimbadilisha na kuwa mwanamke anayejistiri.
Wife akaniambia kuna mdada anamchukulia poa ngoja amuonyeshe Ila binafsi sikubariki wazo la wife lkn nikasema ngoja niwazoom nione itakuwaje,pale pamba ilikuwa bei kuanzia 15,000 mpaka 20,000.
Nikachagua kama pamba 4 ambazo nilizipenda wife akasema ongeza moja tulipe 100,000 chap basi kwakuwa nilijua wife anataka point tatu muhimu nikaona nisimwangushe,kweli ikapatikana ya tano wife akatoa 100,000 chap,mpaka hapo wife aliondoa dharau za Yule sista duu
Ni hayo Tu!
Kiukweli wewe hauna uwezo huoChai kwa nini? Yaani unaona kutoa mil 15 ni chai? Kwani haiwezekani? Ndio nyienyie tunawasema kudharau watu
Mkasa upo hapo juu nilirudisha korosho baada ya kujua ni buku tisa zinauzwa,nilijua ni buku[emoji16]Wewe mbona hujatupa mkasa wako? Tengeneza hata chai ya tangawizi
Hizi saloon ukiendekeza mabinti mmmJana nimeingia salon moja kali sana, ikabidi niulize bei ya kunyoa nikaambiwa 7,000/-. Nilitaka kukimbia ila nilipoangalia zile pisi mle ndani ikabidi nivimbe Nika nikanyoa nikalipa 7000 nikabakiwa na 3000/- siku ikaisha.
Wakati mwingine ni bora kunyamaza tu kwa vile huwezi kujua kila kitu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii ni JF kaka ....