Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Kuna pisi moja nilionana nayo kiwanja kimoja usiku mida ikawa imeenda sana tukapeana number nikawa naitafuta mara moja moja.

Ijumaa ikanitafuta mapema kuwa usiku tuonane, mida ilivyowadia ikawa wote tumefika mahali tulipokuwa tumeahidiana. Akawa amekuja na rafiki zake wawili na mimi pia niliongozana na mshikaji wangu tunayefanya wote kazi naye alikuwa anakutana na jamaa zake hapo. Sasa bata likaanza pasipo kuwekeana limit.

Mida imefika watoto washachangamka wanataka tusepe kiwanja kingine. Nikamuita mhudumu ili anipe bill, mhudumu akaniletea receipt ya efd machine inasoma 498,000/= basi nikajipindua Atm chaap nikachanja nikarudi nikalipia.

Watoto wakasuggest kiwanja kingine tukachoma ndani ya mchuma washkaji wawili mademu watatu, tukiwa njiani wakasema huko tunapoenda show ni ya kwao sisi tumemaliza show yetu. Sasa huko ndiyo nikajua nipo na aina gani ya pisi huko watoto wa kike walichoma hela mpaka tukawa tunasema na mwanangu hawa mademu wanataka roho zetu nini? Baada ya hapo wakasema tuwapeleke maskani yao kuwafikisha bado tulikuwa tunaona ni ndoto apartment wanayokaa si mchezo. Show ikaendelea tena maghetoni kwao the rest is history.

Kwa kifupi wale watoto walikuwa wapo njema kuliko mimi.
Aisee, kumbeeee
 
Nlinunua mkungu wa ndizi kwenye harambee baada ya kuona madem pale chapo nmenyoosha mkono wananiangalia kwa macho ya wewe shusha huo mkono uwezi panda hapo nikapandishana na wazee wale wa benki nikaishia laki mbili nilijua wangepanda zaidi ili niachie pale
Watu si wakauchuna laki mbili yangu ikanitoka nililia hadi kamasi
Nkaenda kuuza kwa mama ntilie kwa arubaini alfu
 
Hakuna chai sema acc yako ndo iko hovyo.
Premier wote hutoa zaidi ya 5mil atm kwa mikupuo 7 hadi 12

Kuna ATM zinatoa 600,000
Nyingine 400,000
Kwanini anasema chai? Si ni setting tu? Zinaweza zikabadilishwa muda wowote na siku yeyote na zikatake effect immediately au? ATM nyingi za Tz ndani zina cassettes 4 na kila cassettes inaweza ikaweka noti za zozote zile elfu 2000 mpaka 2500 so atm moja ikiwa loaded na hela kubwa kuliko zote tz ambayo ni 10000 inakuwa na 80M, kuna sababu nyingi za kutofautisha viwango vya watu kutoa pesa, tukiweka kila mtu aweze kutoa kiwango chochote haya ma ATM watu watakuwa wanayaukung'utisha fedha tutakuwa na kazi ngumu sana ya kuyajaza fedha every now and then sasa hii huwa ni kazi ngumu especially kwa offsite atms, ATM ndio biashara ya pili kuiingizia bank faida so lazima tutengeneze mazingira ya kupata yale makato, ndio mana kuna kutoa kwa mafungu... ATM za sehemu ambazo zina population kubwa kama mbagala huwa mabos hawataki zizime kabisa sababu wateja ni wengi zile ukikosea zinaweza zikakufukuzisha kazi.. 😂😂😂. OVA.
 
nimewahi fanya hivyo mwakajuzi mkoa fulani. hivi aisee niliteseka sana maana pesa ilikata sasa inabid niingie madeni kuwapigia watu kuwakopa pesa lakini heshima ili wepo ..Hadi boss wa ile hotel alibeba namba yangu ,alijua ninampango sana kumbe mim msajiri tu laini za watu.[emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Sisi wanywa maji bar huwa tunadharaulika Sana. Last year November nilikuwa Kasulu same story like yours lakini Mimi siku wanunulia wao nilienda na watoto wangu niliwanunulia kuku kila mmoja na kuku wake. Ingawa ziliwashinda maana kuku za Kiswahili nyama zao ngumu Sana na watoto wenyewe walikuwa wanakula ki sister duu.

Kesho Yake ndio ikawa mechi ya yanga na club Africain. Walinipokea Kwa heshima licha ya kuwa nilinunua maji Tu.

Maeneoo ya Kwa ndituye pale Kasulu mjini.
Hahahahaha Mimi nilikua pale Mubashara
 
Dah nakumbuku ilikuwa kibondo hiyo nipo na wanangu kama wanne iv na mimi watano tulikuwa tunacheki game ya simba na yanga kwenye bar moja iv ya wanajeshi sasa mimi na crew yangu huwa tukikaa sehem tunapendelea kunywa sana spirits hasa k vant sio kwamba pesa hamna pesa ipo sana tu ila ni pombe ambayo tulitokea kuipenda sana! Sasa wakat tumekaa tunaendelea kucheki game maana crew yetu wote ni yanga na tulikuwa tunakunywa k vant kubwa tuna share wote watano mbele yetu kuna jamaa mmoja alikuwa anakunywa serengeti light yeye alikuwa ni mshabiki wa simba


Sasa kwenye utani na kushangilia jamaa akawa kama anatumind iv mixer dharau nyingi mara jamaa akaropoka “ nyie vipi nyie kwanza mnakujaje sehem kama hizi kundi alafu mnakunywa k vant moja watu 5 mnajaza nafasi tu pisheni watu wenye pesa zao wakae hapo” dah haya maneno tulivyoyasikia tukaangaliana kwanza alafu tukacheka mimi nikasema ngoja nimuoneshe huyu jamaa kwamba sio kila anae kaa sehem nzuri akanywa kitu cha bei ndogo sio kwamba hana hela ni maamuzi tu!


Basi nikamwita mhudumu nikaongea kwa nguvu nikamwambia mpe huyo jamaa shabiki wa simba creti la bia anayo kunywa alafu mwambie shabiki wa yanga anae kunywa k vant amekununulia! Kweli jamaa akapewa creti na akaambiwa kuwa limetoka pale jamaa akawaka hamna pesa ya kuninunulia bia nyie akamwambia mhudumu rudisha nitanunua kwa pesa yangu kweli akatoa pesa nikarudishiwa hela yangu ya creti moja mara jamaa yangu mwingine na yeye akasema mpelekee creti jingine mhudumu akapeleka jamaa wa simba akajifanya kuvimba aka punch tena akasema pesa ninayo na nunua mwenyewe tukarudishiwa tena pesa yetu kwaiyo jamaa wa simba akawa amenunua creti 2 za bia bila kupenda kisa sifa mbele za watu! Mpira ukaisha tukawa tunaanza kusepa tupo tunaelekea parking mara ghafla tunaona jamaa anakuja kwa upole eti tukamuombee kaunta wamrudishie japo pesa ya creti moja sabab creti mbili hawezi kunywa zote tukacheka sana tukamwambia we komaa tu mzee tukamuacha pale jamaa anatia huruma sana sifa zimemponza


Meneja wa bar alikuwa captain alimwambia bia tumeshauza pesa haiwezi kurudi [emoji28][emoji28]
.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Mhhh hata siku moja,2018 nikaja kununua ya mtu nimtumie mkoani nilinunua 850k.
Simu imetoka 2014 hiyo,isingewezekana miaka miwili iporomoke namna hiyo.
Iphone 12 pro max nayo ina miaka 3 leo,embu kaulize dukani kama utaipata chini ya 1.8mln.

My bad timeline yangu ndo haikua sawa, 2017 ndo nili purchase iphone 6 plus kwa 500k na kulikua na option ya kuisubiri kutoka china kwa 350k!! Iphone 6 plus haija wahi uzwa 1.6m mwaka 2016!!! Hakuna hiyo kitu
 
Acha uongoo mzee...!! Umuch know sana nao tatizo hilooo...

My bad timeline yangu ndo haikua sawa, 2017 ndo nili purchase iphone 6 plus kwa 500k na kulikua na option ya kuisubiri kutoka china kwa 350k!! Iphone 6 plus haija wahi uzwa 1.6m mwaka 2016!!! Hakuna hiyo kitu. Na by then iphone 7 ilikua available kwa price hiyo it means ilikua ina range kati ya 2-3m haya wewe mjanja wa mjini tuambie kama hili lina ukweli??! Mshajionaga jamii forums ya baba yenu pumbavu.
 
Ngojaa na mie niweke Kamkasa ila yangu ipo tofauti kdg

Kuna Manzi nilimkubali sana (Ktk WhatsApp status) nikaomba namba Nikapewa.

Nikaanza Urafiki nae tu huku nikijifanya sina kazi wala sina mishe yoyote town., Manzi ni mtu wa bata sana nikaw namchora tuu basi bhana

Mwezi wa 12 Siku ya Mkesha wa Mwaka mpya, nikamchek ile kumuuliza anasema yupo Wavuvi Camp.. Mie nikasema huko sipawezi nipo maeneo ya Kino kama utaweza njoo tuonane.

Basi.. Time ikasonga mishale ya saa 8usiku Manzi kanivutia waya upo wap? Nikatuma location dk 15 Manzi kafika na mwenzie mmoja.. Nikaona sio kesi nikawaambia agizeni (muda huo napiga zangu Krest ya buku) rafik yake akaagiza Jack daniels sijakaa saw ikaagizwa Absolute Vodka.. Sijakaa sawa ikapigwa simu Manzi anawapokea rafik zake wengine aliokuw nao kule..

Jumla wakaja kama 6 hivi na mie wa 7 nikaagiza Redblue wale wengine wakagoma kinywaji wakataka Shisha.. Nikavuta shisha mbili 20-20.. Kuchek saa naona saa 10 na bado wanaagiza tu vitu hovyo hovyo.

Basi.. Mie sikutaka mambo mengi nikamuita waiter aje na Bill na Mashine ya kulipa kwa card, nikalipa almost 350k within 2hrs.

Basi after kulipa nikaomba ruhusa niwahi home maana nina Mishe ya muhim asubuh sana., Manzi hakutegemea kama ningekuw na uwezo ule, hakutegemea physical appearance yangu, maana sikuwah mtumia picha. Hakutegemea the way nilivyo humble.. Mwisho nikatoka nje akanisindikiza akaona na Chuma nachosukuma ndio akawa hoi.

Tukaagana pale mie nikajipindua..

Mpk leo sijahangaika nae kuomba Papuchi san san analazimisha yeye nimle lkn mwamba walaaa sina time. Na mwendo ni ule Ule wa kujishusha..
Kwahiyo unawapa tu maisha hao mademu bila kuhitaji chochote sio mkuu???...Okay Okay
 
Back
Top Bottom