Ngojaa na mie niweke Kamkasa ila yangu ipo tofauti kdg
Kuna Manzi nilimkubali sana (Ktk WhatsApp status) nikaomba namba Nikapewa.
Nikaanza Urafiki nae tu huku nikijifanya sina kazi wala sina mishe yoyote town., Manzi ni mtu wa bata sana nikaw namchora tuu basi bhana
Mwezi wa 12 Siku ya Mkesha wa Mwaka mpya, nikamchek ile kumuuliza anasema yupo Wavuvi Camp.. Mie nikasema huko sipawezi nipo maeneo ya Kino kama utaweza njoo tuonane.
Basi.. Time ikasonga mishale ya saa 8usiku Manzi kanivutia waya upo wap? Nikatuma location dk 15 Manzi kafika na mwenzie mmoja.. Nikaona sio kesi nikawaambia agizeni (muda huo napiga zangu Krest ya buku) rafik yake akaagiza Jack daniels sijakaa saw ikaagizwa Absolute Vodka.. Sijakaa sawa ikapigwa simu Manzi anawapokea rafik zake wengine aliokuw nao kule..
Jumla wakaja kama 6 hivi na mie wa 7 nikaagiza Redblue wale wengine wakagoma kinywaji wakataka Shisha.. Nikavuta shisha mbili 20-20.. Kuchek saa naona saa 10 na bado wanaagiza tu vitu hovyo hovyo.
Basi.. Mie sikutaka mambo mengi nikamuita waiter aje na Bill na Mashine ya kulipa kwa card, nikalipa almost 350k within 2hrs.
Basi after kulipa nikaomba ruhusa niwahi home maana nina Mishe ya muhim asubuh sana., Manzi hakutegemea kama ningekuw na uwezo ule, hakutegemea physical appearance yangu, maana sikuwah mtumia picha. Hakutegemea the way nilivyo humble.. Mwisho nikatoka nje akanisindikiza akaona na Chuma nachosukuma ndio akawa hoi.
Tukaagana pale mie nikajipindua..
Mpk leo sijahangaika nae kuomba Papuchi san san analazimisha yeye nimle lkn mwamba walaaa sina time. Na mwendo ni ule Ule wa kujishusha..