Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli na hapa nadhani ni visa vya ujanani kipindi akili inakomaaI have made a covenant with myself, never to spend money on impulse, just to prove a point any human being. It's just absurd, crude, diabolical and bad economics....
What's there to prove, wakati najua mfuko u hali gani!!! Binafsi nafahamu even if you have all the money in the world, there will be some fools lurking somewhere to smack faeces on your good image.
Heri unione bahili, mchoyo au sina pesa, lakini binafsi nafurahia maisha yangu kinoma. Kuna umri ukifika baadhi ya mambo hayakuumizi sana kichwa....
🤣🤣🤣🤣Asallee miaka hyo ndo kwanzaa nmepata kazi ofisi ya wazungu inayosimamiwa na ngozi nyeusi kavu zaidi ya goti.
Kamshahara ka kienyeji lakini sishindwi kununua kadeti.
Bwan bwana, nmeingia mkoa mapumziko mafupi ya kusalimia wazee, si nkapata pisi ya chuo. Manka flani rangi ya mtume kingledha kingi, punde si punde ni birthday yake.
MSela wangu akaniambia haitakua poa usipotimba, bora twende tukatie baraka.
Mwamba bila hiyana, gari la kuazima, nkatia na wese haooo na mwanangu kwenda kuchukua watoto twende tukaenjoy maskukuuu.
Picha linaanza nmefka hostel kwao najua wanatoka wawili (yaan pisi yangu na ya msela), ghafla zkatoka toto 6 jumla na zimetupia mapaja njenje kama matikiti kipindi cha msimu.
Maini yakacheza tumboni, nkasema ya nini kuaibika wakat ndo kwaanza nasororea hata sijamkaza? Nkawaambia panda twende, pesa iko.
Kaa ukijua manka anaamini mimi n mfanyakazi Nairobi huko kwaio nko mboga hatari.
In short shangwe lilikua jingi sana, hela natoa tu maana nshaubeba msalaba kama hamonenga. Mpka saa tisa kamili nshachoma kama laki 4 na nmeambulia mabusu mengi. Kuna mda nlishusha bucket za bia ile nataka kufungua naskia kijastibikozi mmoja anasema "subiri tupige snapu". Nkamwambia snapu ya nyoko? Bia nilipie na nizingoje? Mi nkaanza kugida. Nliona bora nifidie tu hela yangu.
Kumi na moja asubuh nkiwa nmechoka sana, nkamwambia, oi, chukua fego hapo maana nna umeme, yule manzi hakuona soo kuniambia, "si imebaki hyo kaki hapo mfukoni, leta tuichukulie fegi".
Siku ikaisha nkarudi na stressi. Huo mwezi kazininwatu waliteseka sana maana ilikua kichaa kapewa rungu.
All in all baadae nlikuja kukula sana ile pisi. Hela yangu nilifidia yoooote kwakweli.
Mwandiko si jeuri yangu! Wahed!
Fake it until it's permanent. Big big up mnokujitabiria mambo makubwa mbeleni kwamba ipo siku nitakaa meza moja na wakuu, nitakula na wakuu na nitalala lodge moja na wakuu
Teh teh 😂😂 siwezi kujifilisi kwa heshima ya muda tu teh teh teh 😂😂....Wakati fulani mwaka juzi nikawa na safari ya kikazi Musoma. Sikuwahi kufika Musoma kabla kwa hiyo sikuwa mwenyeji wa maeneo nilitegemea boda.
Nikashuka stend nikamwambia boda nipeleke lodge nzuri nzuri. Baadae nikaona nisichemke ngoja nimshirikishe mwenyeji wangu. Mwenyeji wangu sikuwa nafahamiana naye wala kuonana. Kwa vile alijua ile kazi ni ya kibosi sana akaamini natakiwa kulala hotel yenye hadhi. Akamwelekeza boda pa kunipeleka.
Kufika daaah, nakuta hotel kali ghorofq kadhaa nje napokelewa na mabendera ya nchi mbalimbali.
Nikamwambia bodaboda mmenileta cha kike. Muhudumu mrembo kabisa akaja kunipokea nikiwa mchavu vumbi na kabegi mgongoni kama nimetoka kuchimba mitaro.
Nikamwambia boda usiondoke lolote linaweza kutokea. Tayari muhudumu akawa amenihukumu kwamba sina uwezo wa kulala pale. Akaniambia lakini kaka hata chumba ni kuanzia elfu 50!
Nikamwambia mimi sijauliza bei nimeuliza chumba. Kufika reception kila mtu anaonyesha wasiwasi huyu mteja kapotea. Basi nikamwambia nataka chumba cha juu.
Akanijibu tuangalie tu vya chini kule juu ni kuanzia elfu 70. Nikaona aaaahhhh japo nilitaka chumba cha 20 ila hapa inabidi niweke heshima tu bila kujali chochote.
Nikachukue chumba cha 70. Nikarudi mapokezi kwenye watu wengi walionitilia mashaka. Nikaanza kulipa bills kwa sauti.
Nikawaambia sikilizeni, ninakaa siku 2 nitalipa 140,000 yote, halafu dada chukua buku 10, mlipe boda buku ya nauli na buku 4 ya kunisubiri. Halafu elfu 5 baki nayo umenipokea vizuri, lakini mwambie boda naomba namba yake.
Ndugu msomaji yote hayo niliyafanya kulinda heshima dhidi ya wajinga wachache ambao walinihukumu kwa mwonekano.
Lakini pia kujitabiria mambo makubwa mbeleni kwamba ipo siku nitakaa meza moja na wakuu, nitakula na wakuu na nitalala lodge moja na wakuu.
Je, ulishawahi kufanya jeuri ya pesa hata kama huna kingi, ili kulinda heshima yako au kujitabiria ukuu?!!
Yap, nilitaka kuishi kawaida ili nifanye savingMkuu unyonge si mzuri ila kwa hulka yangu ningeondoka.
Sihitaji kujiumiza ili nionekane niko vizuri kumbe uhalisia ni tofauti. Na sihitaji mtu aniappriciate kuwa nina hela.
Hata hivyo kw situation yako si kwamba hukuwa na hela ila ulijaribu kuwa bahili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukaingia kwenye chumba chako cha af 70 na kuanza kulia[emoji1787]
Tako ngapi? 🤣🤣🤣🤣Yule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .
Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.
Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikukipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.
Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nawasiwasi naweza kukutana nae huko 😬😬😬
Inaitwa lee grand blood ipo mtaa wa Kennedy ki hom boySio, ile inaitwa Grand nini nini sijui. Baada ya kulinda heshima ndio nikahamia Mkendo room 35
Laki na nusuMaana yake Ulinunua sifa kwa laki.
Kama ijakukuta hio basi hujaishiWakati fulani mwaka juzi nikawa na safari ya kikazi Musoma. Sikuwahi kufika Musoma kabla kwa hiyo sikuwa mwenyeji wa maeneo nilitegemea boda.
Nikashuka stend nikamwambia boda nipeleke lodge nzuri nzuri. Baadae nikaona nisichemke ngoja nimshirikishe mwenyeji wangu. Mwenyeji wangu sikuwa nafahamiana naye wala kuonana. Kwa vile alijua ile kazi ni ya kibosi sana akaamini natakiwa kulala hotel yenye hadhi. Akamwelekeza boda pa kunipeleka.
Kufika daaah, nakuta hotel kali ghorofq kadhaa nje napokelewa na mabendera ya nchi mbalimbali.
Nikamwambia bodaboda mmenileta cha kike. Muhudumu mrembo kabisa akaja kunipokea nikiwa mchavu vumbi na kabegi mgongoni kama nimetoka kuchimba mitaro.
Nikamwambia boda usiondoke lolote linaweza kutokea. Tayari muhudumu akawa amenihukumu kwamba sina uwezo wa kulala pale. Akaniambia lakini kaka hata chumba ni kuanzia elfu 50!
Nikamwambia mimi sijauliza bei nimeuliza chumba. Kufika reception kila mtu anaonyesha wasiwasi huyu mteja kapotea. Basi nikamwambia nataka chumba cha juu.
Akanijibu tuangalie tu vya chini kule juu ni kuanzia elfu 70. Nikaona aaaahhhh japo nilitaka chumba cha 20 ila hapa inabidi niweke heshima tu bila kujali chochote.
Nikachukue chumba cha 70. Nikarudi mapokezi kwenye watu wengi walionitilia mashaka. Nikaanza kulipa bills kwa sauti.
Nikawaambia sikilizeni, ninakaa siku 2 nitalipa 140,000 yote, halafu dada chukua buku 10, mlipe boda buku ya nauli na buku 4 ya kunisubiri. Halafu elfu 5 baki nayo umenipokea vizuri, lakini mwambie boda naomba namba yake.
Ndugu msomaji yote hayo niliyafanya kulinda heshima dhidi ya wajinga wachache ambao walinihukumu kwa mwonekano.
Lakini pia kujitabiria mambo makubwa mbeleni kwamba ipo siku nitakaa meza moja na wakuu, nitakula na wakuu na nitalala lodge moja na wakuu.
Je, ulishawahi kufanya jeuri ya pesa hata kama huna kingi, ili kulinda heshima yako au kujitabiria ukuu?!!
Huyo manzi alikuwa na K taam asee, ukiweka tu mambo bum bum! Kama haikutokei kwa wanawake wengine tambua huyo manzi ni mtamu sanaYule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .
Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.
Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikukipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.
Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nawasiwasi naweza kukutana nae huko 😬😬😬