CRDB unaweza kutoa hata 2m(sio mara moja lakini) na hiyo ni kwa kadi ya chini..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii ni JF kaka ....
Lakini tunaanza kukwita Brother😁😁Mimi ndo nipo nasumbua ndugu hapa wanikopeshe walau alfu kumi.
Hii ni baada ya kulipia bili za watu wote niliowakuta mgahawani jana
Kwa tsh 86500.
Ni stori ndefu kidogo lakini tu kiufupi dharau zinaumiza sana.
Akiba haiozi, kuna muda unaweka Akiba.. Anytime nikitaka kuchakata navuta waya.. Sometimes unatakiw usioneshe una njaa sana ya K.Kwahiyo unawapa tu maisha hao mademu bila kuhitaji chochote sio mkuu???...Okay Okay
3000 duh na wewe ni wale wale, hio ni pocket money ya mwezi mzimaDuu bro punguza ubahili angalau 3k
Na ndiyo maana mimi sitaki mashkaji mavi kama wewe.! Ni bora uwe alone tu kuliko uswahili uswahili wa kitu inaitwa ushkaji.subiri kidogo
Nakumbuka kuna mchizi wangu aliambia kuna demu kamtongoza halafu siku hiyo amempa mwaliko wa Birthday party viwanja flani town so mchizi wangu aliomba scot yangu.
kilichotokea niliondoka na huyo demu wake baada birthday kuisha na urafiki ukaisha hadi leo
ilikuwa hivi baada ya kufika pale mimi nilikuwa pembeni pembeni tu kwasababu sina ninaemjua ukiacha nilivyotambulishwa kwa shem mwenye party yake tu basi so, mchizi wangu akawa yupo bize na demu wake tu
Ghafla kukawa kuna vikao vya dharula huku sura za waalikwa Azi-relate na tukio husika kumbe bwana yule demu mwenye ile party kuna rafiki yake alimpa pesa kwa ajili ya lile eneo la shughuli kakimbia na hela na party imeanza mwenye ukumbi anasema siwajuhi ondokeni kabla sijaita polisi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wapuuzi wakumbwa
ghafla tukajikuta tupo watatu mimi na jamaa wangu na shem sasa ikapelekea niulize swali maana yule jamaa wangu ni ROFAA tu watu wa vijiweni vijiweni wale ... NI KIASI GANI CHA PESA YA UKUMBI KINAHITAJIKA HAPA ? shemu akajibu ni laki na 80 tu na hapa mimi nina elfu 50 tu.
Mwanaume nikaona mbona ni hela chumvi tu nikamwabia JAMES [ mwanangu ] mimi nalipia unasemaje ? daah mwanangu we lipia tutajua cha kufanya. nikatoa wallet nikatoa mia hamsini cash nikampa james huku demu Anaona Si-unajua sisi watoto wa mjini atutembei kama MAITI.... kimoyomoyo hapo nasema..[emoji3061][emoji3063][emoji3063]
itaendelea
kiukweli yule demu alikuwa ni mtamu sana sijapata kuona alikuwa analia vilio vyote halafu ni mdogo mdogo nilijilia vyangu usiku ule siwezi kusahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .
Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.
Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikukipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.
Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nawasiwasi naweza kukutana nae huko [emoji51][emoji51][emoji51]
😂️ 😂️ bora ungeenda kuula tu lakin kwenye harambee kawaida unaweza nunua hata trey ya mayai kwa 50,000Nlinunua mkungu wa ndizi kwenye harambee baada ya kuona madem pale chapo nmenyoosha mkono wananiangalia kwa macho ya wewe shusha huo mkono uwezi panda hapo nikapandishana na wazee wale wa benki nikaishia laki mbili nilijua wangepanda zaidi ili niachie pale
Watu si wakauchuna laki mbili yangu ikanitoka nililia hadi kamasi
Nkaenda kuuza kwa mama ntilie kwa arubaini alfu
Hiyo post imefunika mpaka uzi. Amechekesha sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka sasa hii imenichekesha mpaka nimetoa machozi. Ngoja niendelee kusoma
huo wembe na hayo mapele hayakukutoka3000 duh na wewe ni wale wale, hio ni pocket money ya mwezi mzima
ATM za CRDB mwisho m2Kwenye ATM ukatoa 1.5m. ATM ya bank gani hiyo?
unamfanyia emotional damageNgojaa na mie niweke Kamkasa ila yangu ipo tofauti kdg
Kuna Manzi nilimkubali sana (Ktk WhatsApp status) nikaomba namba Nikapewa.
Nikaanza Urafiki nae tu huku nikijifanya sina kazi wala sina mishe yoyote town., Manzi ni mtu wa bata sana nikaw namchora tuu basi bhana
Mwezi wa 12 Siku ya Mkesha wa Mwaka mpya, nikamchek ile kumuuliza anasema yupo Wavuvi Camp.. Mie nikasema huko sipawezi nipo maeneo ya Kino kama utaweza njoo tuonane.
Basi.. Time ikasonga mishale ya saa 8usiku Manzi kanivutia waya upo wap? Nikatuma location dk 15 Manzi kafika na mwenzie mmoja.. Nikaona sio kesi nikawaambia agizeni (muda huo napiga zangu Krest ya buku) rafik yake akaagiza Jack daniels sijakaa saw ikaagizwa Absolute Vodka.. Sijakaa sawa ikapigwa simu Manzi anawapokea rafik zake wengine aliokuw nao kule..
Jumla wakaja kama 6 hivi na mie wa 7 nikaagiza Redblue wale wengine wakagoma kinywaji wakataka Shisha.. Nikavuta shisha mbili 20-20.. Kuchek saa naona saa 10 na bado wanaagiza tu vitu hovyo hovyo.
Basi.. Mie sikutaka mambo mengi nikamuita waiter aje na Bill na Mashine ya kulipa kwa card, nikalipa almost 350k within 2hrs.
Basi after kulipa nikaomba ruhusa niwahi home maana nina Mishe ya muhim asubuh sana., Manzi hakutegemea kama ningekuw na uwezo ule, hakutegemea physical appearance yangu, maana sikuwah mtumia picha. Hakutegemea the way nilivyo humble.. Mwisho nikatoka nje akanisindikiza akaona na Chuma nachosukuma ndio akawa hoi.
Tukaagana pale mie nikajipindua..
Mpk leo sijahangaika nae kuomba Papuchi san san analazimisha yeye nimle lkn mwamba walaaa sina time. Na mwendo ni ule Ule wa kujishusha..
Mimi ndo nipo nasumbua ndugu hapa wanikopeshe walau alfu kumi.
Hii ni baada ya kulipia bili za watu wote niliowakuta mgahawani jana
Kwa tsh 86500.
Ni stori ndefu kidogo lakini tu kiufupi dharau zinaumiza sana.
The goal is to be rich not to look rich.
Kuna watoto wana k za moto ni ngumu kuzuia wazungu
Inategemea na Kadi yako,mi Nina Kadi ya Nmb platinum/Titanium natoa 5M kwa ATMKwenye ATM ukatoa 1.5m. ATM ya bank gani hiyo?
Before sijaonana nae live nilikuw mie ndio naanzisha chats.. Kama sijamtafuta hanitafuti.unamfanyia emotional damage