Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Mimi ndo nipo nasumbua ndugu hapa wanikopeshe walau alfu kumi.

Hii ni baada ya kulipia bili za watu wote niliowakuta mgahawani jana
Kwa tsh 86500.

Ni stori ndefu kidogo lakini tu kiufupi dharau zinaumiza sana.
Lakini tunaanza kukwita Brother😁😁
 
subiri kidogo

Nakumbuka kuna mchizi wangu aliambia kuna demu kamtongoza halafu siku hiyo amempa mwaliko wa Birthday party viwanja flani town so mchizi wangu aliomba scot yangu.

kilichotokea niliondoka na huyo demu wake baada birthday kuisha na urafiki ukaisha hadi leo

ilikuwa hivi baada ya kufika pale mimi nilikuwa pembeni pembeni tu kwasababu sina ninaemjua ukiacha nilivyotambulishwa kwa shem mwenye party yake tu basi so, mchizi wangu akawa yupo bize na demu wake tu

Ghafla kukawa kuna vikao vya dharula huku sura za waalikwa Azi-relate na tukio husika kumbe bwana yule demu mwenye ile party kuna rafiki yake alimpa pesa kwa ajili ya lile eneo la shughuli kakimbia na hela na party imeanza mwenye ukumbi anasema siwajuhi ondokeni kabla sijaita polisi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wapuuzi wakumbwa

ghafla tukajikuta tupo watatu mimi na jamaa wangu na shem sasa ikapelekea niulize swali maana yule jamaa wangu ni ROFAA tu watu wa vijiweni vijiweni wale ... NI KIASI GANI CHA PESA YA UKUMBI KINAHITAJIKA HAPA ? shemu akajibu ni laki na 80 tu na hapa mimi nina elfu 50 tu.

Mwanaume nikaona mbona ni hela chumvi tu nikamwabia JAMES [ mwanangu ] mimi nalipia unasemaje ? daah mwanangu we lipia tutajua cha kufanya. nikatoa wallet nikatoa mia hamsini cash nikampa james huku demu Anaona Si-unajua sisi watoto wa mjini atutembei kama MAITI.... kimoyomoyo hapo nasema..[emoji3061][emoji3063][emoji3063]

itaendelea

kiukweli yule demu alikuwa ni mtamu sana sijapata kuona alikuwa analia vilio vyote halafu ni mdogo mdogo nilijilia vyangu usiku ule siwezi kusahau
Na ndiyo maana mimi sitaki mashkaji mavi kama wewe.! Ni bora uwe alone tu kuliko uswahili uswahili wa kitu inaitwa ushkaji.
 
Kuna restaurant moja katikati ya mji Dar huwa mara kadhaa napenda kunywa chai jioni,sasa baadhi ya wahudumu wakawa wamenizoea na kunichukulia poa, yaani nakaa muda kusubiri mtu wa kunihudumia.

Sasa kukawa na meneja mpya anayewasimamia hao wahudumu akawa anamuelekeza muhudumu aje anisikilize.Kwa mbali nilinote yule muhudumu alichomwambia yule meneja wake kwamba yule ataagiza chai ya rangi tu (siko vibaya ktk kuisoma non verbals),hivyo alivyokuja nikambadililkia nikamwambia nahitaji wali samaki ambao bei yake ni 10,000. Muhudumu akaanza kujichekesha Kwa aibu akiuliza"kwani Leo hunywi chai" ,nikamwambia sihitaji chai.

Kifupi aliabika mbele ya yule aliyemuaminisha kuwa nitaagiza chai tu ,pia nilipoondoka niliacha tip nzuri tu ili kumfunza awe na heshima.
 
Yule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .

Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.

Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikukipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.

Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nawasiwasi naweza kukutana nae huko [emoji51][emoji51][emoji51]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mpaka sasa hii imenichekesha mpaka sana. Ngoja niendelee kusoma watu wana matukio asee
 
Nlinunua mkungu wa ndizi kwenye harambee baada ya kuona madem pale chapo nmenyoosha mkono wananiangalia kwa macho ya wewe shusha huo mkono uwezi panda hapo nikapandishana na wazee wale wa benki nikaishia laki mbili nilijua wangepanda zaidi ili niachie pale
Watu si wakauchuna laki mbili yangu ikanitoka nililia hadi kamasi
Nkaenda kuuza kwa mama ntilie kwa arubaini alfu
😂️ 😂️ bora ungeenda kuula tu lakin kwenye harambee kawaida unaweza nunua hata trey ya mayai kwa 50,000
 
Ngojaa na mie niweke Kamkasa ila yangu ipo tofauti kdg

Kuna Manzi nilimkubali sana (Ktk WhatsApp status) nikaomba namba Nikapewa.

Nikaanza Urafiki nae tu huku nikijifanya sina kazi wala sina mishe yoyote town., Manzi ni mtu wa bata sana nikaw namchora tuu basi bhana

Mwezi wa 12 Siku ya Mkesha wa Mwaka mpya, nikamchek ile kumuuliza anasema yupo Wavuvi Camp.. Mie nikasema huko sipawezi nipo maeneo ya Kino kama utaweza njoo tuonane.

Basi.. Time ikasonga mishale ya saa 8usiku Manzi kanivutia waya upo wap? Nikatuma location dk 15 Manzi kafika na mwenzie mmoja.. Nikaona sio kesi nikawaambia agizeni (muda huo napiga zangu Krest ya buku) rafik yake akaagiza Jack daniels sijakaa saw ikaagizwa Absolute Vodka.. Sijakaa sawa ikapigwa simu Manzi anawapokea rafik zake wengine aliokuw nao kule..

Jumla wakaja kama 6 hivi na mie wa 7 nikaagiza Redblue wale wengine wakagoma kinywaji wakataka Shisha.. Nikavuta shisha mbili 20-20.. Kuchek saa naona saa 10 na bado wanaagiza tu vitu hovyo hovyo.

Basi.. Mie sikutaka mambo mengi nikamuita waiter aje na Bill na Mashine ya kulipa kwa card, nikalipa almost 350k within 2hrs.

Basi after kulipa nikaomba ruhusa niwahi home maana nina Mishe ya muhim asubuh sana., Manzi hakutegemea kama ningekuw na uwezo ule, hakutegemea physical appearance yangu, maana sikuwah mtumia picha. Hakutegemea the way nilivyo humble.. Mwisho nikatoka nje akanisindikiza akaona na Chuma nachosukuma ndio akawa hoi.

Tukaagana pale mie nikajipindua..

Mpk leo sijahangaika nae kuomba Papuchi san san analazimisha yeye nimle lkn mwamba walaaa sina time. Na mwendo ni ule Ule wa kujishusha..
unamfanyia emotional damage
 
Umenikumbusha mwaka jana hv , nimejipanga vyema kbsa kwaajili ya kujitoa ushamba kdogo na kumfurisha mtoto wa chuo

Cmu moja nkiwa dada hello (phin) salamu mengine hv nakuhtaj Tuwe wote kwa siku 2 hadi tatu maan ninaruhus kidogo napend tutumie wote


Tuanza vijiwanja wa (Dar ) tukala tukanywa na kutembea masaaa yanavyosogea kwakuw yeye anasoma chuo x morogoro nikasema isiwe tabu saa4 hv washa ndinga moro hii hapa mishale ya 6hv nikatafuta sehemu ya kula tukala akili yangu ikaniambia nichukue [emoji545] kwakuw ni majira saa7 kwenda saa8 usiku nikilipa nitatoka siku inayofata saa4 budget imesoma 50,000/- hotels sio mbaya maan nikama siku 2 kwa 1 asee mapokez wakazingua wanadai ukiingia saa8 hiyo kutok ni asubuhi saa4-5 hiv nikaanz kuvurugwa *****

Nikaona nisijichoshe acha nitafuta lodge kudadake ubishi uliishia pale ila nimejifunz tuu.
 
Mimi ndo nipo nasumbua ndugu hapa wanikopeshe walau alfu kumi.

Hii ni baada ya kulipia bili za watu wote niliowakuta mgahawani jana
Kwa tsh 86500.

Ni stori ndefu kidogo lakini tu kiufupi dharau zinaumiza sana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni ngumu sana kujua binadamu mwengine anafikiria nini, iwe kwake au juu yako. Kitu ambacho kila mtu anasahau ni kwamba kila mtu anajifikiria yeye mwenyewe na anafikiria jinsi gani wewe unamfikiria yeye. Na wala hakuna anayejali kuhusu wewe au unachopitia wakati huo. Ego ni ile hali ya umimi, kila kitu kinahusu mimi, kila mtu anafikiria kuhusu mimi, mimi ndio main character nk. Lakini kila mtu ana ego na ego ndio ime take over kila akili ya binadamu. Expectations za juu na kujipa thamani kubwa kwa watu yote ni sababu ya Ego.

Hivyo ulichofanya sio kwamba umebadilisha mawazo yao juu yako, bali umebadilisha mawazo yako juu ya unachodhani wao wanachofikiria juu yako, umeiridhisha Ego yako. Kwenye maisha wewe sio main character wa movie na kila mtu anakuangalia wewe bali kila mtu ni main character wa maisha yake, wewe ni side character tu ambaye yupo kwenye background, mpita njia tu kwenye movie zao. Kugundua WEWE SIO MUHIMU kwenye maisha ya wengine ni zawadi kubwa sana na level kubwa ya kujitambua itakayokufanya kuwa free maishani.

Ndio kitu kitatokea kila mtu atakiona lakini baada ya sekunde 30 kila mtu anarudi kwenye movie ya maisha yake na anaendelea kujifikiria yeye. Hivyo ni kupoteza muda na resources kujali na kujaribu kubadilisha mitazamo ya wengine.

Irony ni kwamba hata mimi nasumbuliwa na hili tatizo la ego vilevile, and its huge than usual but I'm working on it.
 
Back
Top Bottom