Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

What an ego trip
 
Jamani
 
Maana yake huu uzi haukuhusu. Pita hivi 👉 na Kingereza chako.
 
🤣🤣🤣Nilikaa ya elfu 90 kwa siku kumbe na mimi ni tajiri eeh
 
Nimecheka na niko kwenye daladala
 
Wow
 
Miss u
 
Si wewe tu ,kuna siku mimi nikaingia hoteli fulani nikaagiza chipsi kavu na juice,bili ikaja elfu 24,yani ile chipsi kavu ya 1500 na juisi ya 1000 nikauziwa elfu 24[emoji57]
 
Si wewe tu ,kuna siku mimi nikaingia hoteli fulani nikaagiza chipsi kavu na juice,bili ikaja elfu 24,yani ile chipsi kavu ya 1500 na juisi ya 1000 nikauziwa elfu 24[emoji57]
Kwamba hukusoma MENU?
 

The power of NOW.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…