Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

I have made a covenant with myself, never to spend money on impulse, just to prove a point to any human being. It's just absurd, crude, diabolical and bad economics....

What's there to prove, wakati najua mfuko u hali gani!!! Binafsi nafahamu even if you have all the money in the world, there will be some fools lurking somewhere ready to smack faeces on your good image.

Heri unione bahili, mchoyo au sina pesa, lakini binafsi nafurahia maisha yangu kinoma. Kuna umri ukifika baadhi ya mambo hayakuumizi sana kichwa....
 
Ni kweli na hapa nadhani ni visa vya ujanani kipindi akili inakomaa
 
🀣🀣🀣🀣
 
Mkuu unyonge si mzuri ila kwa hulka yangu ningeondoka.
Sihitaji kujiumiza ili nionekane niko vizuri kumbe uhalisia ni tofauti. Na sihitaji mtu aniappriciate kuwa nina hela.
Hata hivyo kwa situation yako si kwamba hukuwa na hela ila ulijaribu kuwa bahili.
 
Yule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .

Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.

Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu Magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange Sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikulipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.

Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nna wasiwasi naweza kukutana nae huko 😬😬😬
 
Teh teh πŸ˜‚πŸ˜‚ siwezi kujifilisi kwa heshima ya muda tu teh teh teh πŸ˜‚πŸ˜‚....
 
Yap, nilitaka kuishi kawaida ili nifanye saving
 
Tako ngapi? 🀣🀣🀣🀣
 
Kama ijakukuta hio basi hujaishi
 
Huyo manzi alikuwa na K taam asee, ukiweka tu mambo bum bum! Kama haikutokei kwa wanawake wengine tambua huyo manzi ni mtamu sana
 
Mimi na mshikaji wangu tulikuwa na tabia ya kuopoa totoz za chuo kila weekend tunaenda kula bata.

Siku moja tupo kiwanja, wakajipendekeza marafiki wa mademu zetu na wao walikuwa kiwanja hicho, na walikuwa pisi kali kwelikweli, tukaona ngoja tuweke heshima ili na wao tuwaburuze kimasihara...

Tulitumia sana.. tukachukua usafiri kuwarudisha, muda wa kulipa nauli ndio mshikaji wangu alipoharibu hali ya hewa..

Alijisachi akapata mshituko akasema kwa nguvu MUNGU wangu nimekula hela ya kodi sijui nitamueleza nini yule mzee, wale mademu wakabaki wanashangaa.

Heshima ikawa fedheha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…