HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ungerudi kwenu tuNakumbuka nilikuwa naosha vyombo na kupika, bila kusahau kwenda sokoni.
Nilifanya kazi zote za kike na wakati mwingine nachelewa darasani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungerudi kwenu tuNakumbuka nilikuwa naosha vyombo na kupika, bila kusahau kwenda sokoni.
Nilifanya kazi zote za kike na wakati mwingine nachelewa darasani.
Hilo ni pepo tulikemeesiwezi kukaa kwa ndugu kwasababu najijua sipendi kwenda kanisani, hua inaleta mzozo
Hapana jamaa NIMEMUELEWA huyo mama ni mtu mbaya elewa hivyoKwakuwa ni kwa ndugu yako ulitaka uwe unajifungulia tu friji unakula unachotaka sio?
Hutaki kuzoa mavi ya mbwa unataka azoe Nani?
Wameshazaliwa hatuna budi kuwasaidia. Na wazazi wao hawapo dunianiNyinyi ndo sababu watu kuzaa hovyo hovyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole. Mtu anabania hadi chakula daah ni hatari...kuna ambao hawapendi ndugu wa mume tu ila kuna hawa ambao hawapendi watu wote tu hata awe ndugu yakeHahahah tabia za kiwaki hizo huwa wanaona kama umekuja kufaidi mali za mme wake. Wanasahau kwamba wale watoto wake ni ndugu zako pia [emoji1787] ni mambo ya ajabu sana. Nimeishigi mazingira hayo toka mdogo hadi nafikia balehe.
Nilinyanyasika sana yani hadi siku naondoka ile nyumba nilihisi nimepewa uhuru toka Gwantanamo. Mama alikuwa mnafiq na mchoyo sijapata kuona.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hawa ndio wale wenzangu na mimi mafridge wameyakuta ukubwani kwa hiyo mle ndani ya fridge anapaona kama peponi hiviMshamba mwengine huyo[emoji3]
Anaona akilipiga kudu kawakomesha mno.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hawa ndio wale wenzangu na mimi mafridge wameyakuta ukubwani kwa hiyo mle ndani ya fridge anapaona kama peponi hivi
Aiseesiwezi kukaa kwa ndugu kwasababu najijua sipendi kwenda kanisani, hua inaleta mzozo
Nakujua,Mimi hata kulala tu kwa mtu siwezi
Una utoto mwingi sana.Mimi nilikuwa nakaa kwa shemeji yan mke alie muoa kaka yangu tulikuwa marafiki sana mpaka matatizo yake na kaka ananiambia sasa siku nilitakiwa kwenda kukaa uko kwa ajili ya field sasa sehemu napajua ila landmark ilinitoka nikawa nampigia simu hapokei piga simu hapokei af hapo yeye alikuwa amesafiri nikampigiq mama nikamwambia yeye akampiga kaka maana mimi nahasira nishaaza kutoa maneno ya hasira
Bro akanipigia umefika wapi nikamjibu kituoni hapa haya ulizia sehemu fulani nikafika nikaingia an begi langu tukawq tunakaa mimi na kaka kesho yake nikiwa field nikampigia tena simu shemeji piga simu kapokea anaongea kama ataki nikajiongeza hapa sitakiw
Sasa sikuio mimi sina hili wala lile niko home nimekaa kaka kachelewa kurudi siku iyo nashanga mlango unafunguliwa kumbe shemeji nikampokea pale na bashasha na nilivyo mcheshi kijana wa watu za kwenu ulikotoka mambo mengi mtu ananijibu shot mh nikauchuna
Tumekaa gala nashangaa mtu kachukua ngazi anasafisha feni na ni mjamzito ikabidi nimwambie shuka nipande nikasafisha usiku ule ule kaka alipo rudi katukuta tunasafisha ndani akauchuna tu basi wakati tunakula sisi tunakula ugali na dagaa yeye kumbe katoka kwao na kuku anakula peke yake kaka akakamuomba akamkatalia dah nikasema hapa cha kike
Basi siku iyo ikapita sasa nikiwa field nasema niwahi kurudi nikapige story na shemeji yangu ee nikifika ananikataa kabisa analala nikasema huyu anijui nikawa nabaki field mpaka saa mbili akawa anafoka siku nayo ondoka siku waambia nilikuja kuwaambia asubuhi maana niliona bro naye anamuonga mkon mkewe morning anaoga na mimi naoga najiandaa akaniuliza unaenda wapi nikamjibu naondoka leo narudi home mbona ujasema mapema huyo. Shemeji nikamuuliza ulikuwa unataka ufanyeje? Akaa kimya
Na alikuwa na tabia anaingia chumban atakama umelala anaingia tu bila hodi nilipotoka hapo sikumpigia simu kuwa nimefika wala nini alipiga simu mama kuwapa taarifa kak akapiga simu mbona ujasema kama umefika mimi majibu yangu short kwani ukupewa taarifa na mama? Mzozo ulikuwa mkubwa nikakata simu sikuja kuongea nao mpaka mkewe alipojifungua nikampa hongera ikapita hiyo
😂😂😂😂😂😂😂Wewe boya kweli, Sasa kushinda unelala ndo Nini? Hata minu nakufukuza siwezi kaa na mtu haamki.
Toka hapo nipo makini sana na nani namfungulia zipu yangu 🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole. Mtu anabania hadi chakula daah ni hatari...kuna ambao hawapendi ndugu wa mume tu ila kuna hawa ambao hawapendi watu wote tu hata awe ndugu yake
[emoji1787][emoji1787] kweli kuweni makini na hizo zipu zenu jamani mnatuletea wenzenu vitu vya ajabu sana. Haiwezekani kaka yangu tumekua wote leo hii nianze kuogopa kuja kwakoToka hapo nipo makini sana na nani namfungulia zipu yangu [emoji1787]
Junia kwenye 1 na 2View attachment 2687801
[emoji854][emoji854]
Kwa hiyo umeishia la Saba?My story, mazingira ni kijijini.
Nilihamia kwa uncle nikiwa 9yrs old baada ya home kutokuwa hapasomeki kutokana na uhohehahe wa home. Ilikuwa rahisi kwenda kwa uncle sababu nilikuwa naishi huko kwa bibi(kabla hajafariki, baada ya kufariki nilipelekwa nyumbani) ambapo mji ulikuwa mmoja kama tunavyojua vijijini kaya huwa zipo pamoja kwa asilimia kubwa.
Lengo la kwenda uncle ilikuwa ni kupata unafuu wa maisha, bila hiyana nilipokelewa vizuri ila nilipoulizwa jinsi nilivyoondoka home nilidanganya kuwa nimeondoka kwa ruhusa ila home nilitoroka, kule kwa uncle nilisema nimekuja nitakuwa nawasaidia kuchunga ng'ombe. Bila hiyana wakakubali maana walikuwa wananifahamu tangu nikiwa naishi kipindi bibi yupo hai. Wao pia walikuwa wanajua hali halisi ya nyumbani kwetu
Nature ya uncle na mkewe ni uonevu, kunyanyasa mtu yeyote asiyekuwa mtoto wao wa rika lolote anayeishi hapo, tabia hiyo inajulikana na watu wote mtaani.
Maisha yakaanza bana, kwa kuwa nilisingizia nimekuja kuwasaidia kuchunga nikaianza hiyo kazi. Nikawa napigishwa kazi nyingi sana hapo nyumbani mbali na kuchunga, nikawa kila kazi ikitokea nalazima niitwe nikaifanye hata kama ni kazi ndogo ambayo watoto wao wanaweza kuifanya, kama sipo(nimeenda kucheza kwa majirani lazima nitafutwe niinde nikaifanye, ilifikia kipindi nikawa natoka bila wao kujua ili nikacheze kwa majirani kukwepa kazi ndogo ndogo ila na wao wakawa wananiambia nisitoke maana nilikuwa natoka baada ya lunch, kumbuka hapo nikiwa sijaenda kuchunga).
Nikawa natumwa kwenda kusaga unga mashineni ila mzigo ninaoupewa ni mkubwa hadi nasota, nikiwa najikongoja nao kichwani nakutana na watu hadi wanashangaa na kusema mama fulani hafanyi vizuri anampa mtoto mzigo mkubwa, endapo ikitokea anaandaa mzigo halafu majirani wakawa pale kwenye kupiga story na akaambiwa mbona unamfungia mzigo mkubwa sana anasema sio mkubwa na huyu ni mtoto mkubwa. Watu wanabaki kumuangalia tu.
Mwaka mmoja baadae nikiwa pale nikafundishwa kuendesha baiskeli, hapa palikuwa nafuu nikawa napiga kazi nyingi kwa baiskeli. Kusaga ikawa jambo nafuu, kuchota maji ikawa kazi yangu(watoto wao wanafanya kwa hiari, jla mimi ni shurti na siwezi kukataa)
Baada ya wao kuona napiga kazi vizuri wakaamua kunipeleka/kuniandikisha shule nikiwa umri ushaenda (10yrs) ingawa kwa kijijini ilikuwa kawaida. Mimi pia nilikuwa nataka shule nikafurahi bila hiyana, kwa umri huo tulikuwa wanafunzi wengi tukaenda kuanzishwa darasa la pili. Hapa kwenye kunipeleka shule walicheza kama The late Pele maana kwa miaka kadhaa hadi nimalize la saba lazima wanifaidi katika kazi, na kweli walinifaidi maana nilikuwa mtiifu sana.
Kuhusu sare za shule na daftari nilikuwa najinunulia mwenyewe kupitia kufanga vibarua vya kulima hasa msimu wa kulima, mara nyingine wao wananipa kibarua kwenye shamba lao napiga kazi wananipa hela naenda kununulia daftari, nikiwa shule endapo daftari ikiisha labda ya somo la hisabati nikiomba hela nitaambiwa kachanganye kuandika, yaani nikaandikie kwenye daftari ama la kiswahili au sayansi. Kwa hali hii nikawa nikipata hela naitunza ili ije inisaidie kununua daftari. Wakati mimi napambana na hali hii ila watoto wao hela zao wakipata kwenye vibarua wanaenda kununulia soda, biskuti, pipi hadi zinaisha maana madaftari yakiisha tu wananunuliwa mengine.
Kwenye msosi ikawa ni mwendo wa kupunjwa kama ni maziwa mimi nitaambulia nusu kikombe wengine wanapata kikombe full halafu mimi ndio kinara wa kwenda kuchunga, watoto wao wanaona hiyo hali ila hawasemi, mara nyingine uncle anajishtukia ananiongezea kutoka kwenye maziwa yake na endapo mkewe akiwa karibu na akiona anachukia kiaina. kitendo cha kupunjwa kila mtu aliyewahi kuishi pale asiye mtoto wao alikipitia. Pia unaweza kupewa mboga zilizoisha muda wa matumizi yaani mboga ya juzi unaweza kuipewa leo uitumie na usiweze kusema kitu, unaishia kugusa na kula tonge kavu kavu.
Ikiwa sijaenda kuchunga halafu ni weekend huwa tunafua nguo za shule, mimi nitaambiwa fua nguo zote hadi za wanawe hata kama wapo na hawana kazi maana suala la kufua wanamuachia mama yao na yeye ananipa huo msala. mara nyingine nilikuwa napewa nguo za mume wake naambiwa zifue, kama hamna maji hapo nyumbani naambiwa nenda kafulie mtoni.
Wakati wa kulima mimi nitaaamshwa alfajiri saa kumi na moja ila watoto wao wanaamka muda wowote wakipenda na mara nyingine wakisema hawaendi kulima waachwa, mimi siwezi kufanya hivyo maana mziki wake si wa kitoto nitakaoupata kuanzia kuchezea stick hadi kunyimwa msosi(binafsi sikufikia level ya kunyimwa msosi ila wapo waliowahi kunyimwa), stick ndio nimezichezea sana pamoja na kutukanwa kwa kosa dogo tu.
Life langu la primary likawa hivyo hadi nikamaliza la saba na sasa nishasahau hizo tabu zote na kupitia wao ndio inekuwa chachu ya kubadili maisha ya kwetu niliyoyakimbia enzi hizo ingali ni mdogo na endapo nisingekimbia sijui kama ningekuwa hapa nilipo sasa, hata kama ningekuwa hapa sasa labda sijui ningepitia njia gani maana mlango wa kutokea ulikuwa mgumu sana.
Jambo zuri walilokuwa nao hawa walezi walikuwa na exposure ya elimu japo kunipigisha kwata za kazi ila walikuwa wanafurahia maendeleo yangu mazuri kwenye masomo na walikuwa wanajidai mtaani kuhusu hasa wakiwa wanaambiwa sifa zangu na juhudi shuleni.
Nawapa MAUA yao hawa walezi walinitoa jalalani kama yule Prof wa awamu iliyopita.
Chai.Hahahah tabia za kiwaki hizo huwa wanaona kama umekuja kufaidi mali za mme wake. Wanasahau kwamba wale watoto wake ni ndugu zako pia 🤣 ni mambo ya ajabu sana. Nimeishigi mazingira hayo toka mdogo hadi nafikia balehe.
Nilinyanyasika sana yani hadi siku naondoka ile nyumba nilihisi nimepewa uhuru toka Gwantanamo. Mama alikuwa mnafiq na mchoyo sijapata kuona.
Huwezi elewa mkuu maisha yana siri nyingiChai.
Nakumbuka sana uliwahi kutusimulia humu ulisoma international schools kuanzia shule ya msingi na ulisoma na Zawadi Mdoe ,leo vipi?
Una miaka mingapi?K.u.m.am.a.m.ak.e.keeeee
ndugu wakibongo ni wase.nge tu ku.m.a.ni.na zao
1. Ukipata pesa kuzidi yeye utaambiwa unaiba.
2. Ukipata deal ya pesa utaambiwa unauza unga au jambazi.
3. Ukiwa na demu au msela kitaani utaambiwa malaya.
4. Ukijiongeza uka move ukaishi kitaani ukaacha kuishi na ndugu utaambiwa mjeuri ku.ma.ma.ma.keeee
5. Ukinunua gari ukajenga mjengo utaambiwa FREEMASONRY.
6. ukivuta sigara, kunywa pombe, unaambiwa unatumia pesa vibaya kana kwamba wao wanakulipa mshahara was.enge hao.
7. basi ukivuta bangi utaambiwa umejiunga na makundi ya hovyo. 😀😀😀😀😀😀😀😀😀