Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Mmmh hapana watu wengine ni wanyanyasaji in nature

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ni kweli, ila pia kuna wanaingia nyumba za watu wanataka wawe kama wenye nyumba.

Nitajisikia vibaya kama mtu anawanyima watu wa ndani kwake chakula, ila sheria nyingine ikiwa kama kazi za hapo, muda wa kurudi home(huwa sipendi kufungulia mtu mlango usiku wa manane) unless iwe ni kwa sababu maalumu kama kazi nk.
 
Ni kweli, ila pia kuna wanaingia nyumba za watu wanataka wawe kama wenye nyumba.

Nitajisikia vibaya kama mtu anawanyima watu wa ndani kwake chakula, ila sheria nyingine ikiwa kama kazi za hapo, muda wa kurudi home(huwa sipendi kufungulia mtu mlango usiku wa manane) unless iwe ni kwa sababu maalumu kama kazi nk.
Hayo mambo ni ya kawaida, mimi mwenyewe mtu akija kwangu ni lazima afuate utaratibu wa nyumbani kwangu. Tatizo ni pale sheria zinapoegemea upande mmoja....unaweka sheria kuwa kuamka saa kumi na mbili ila anayetakiwa kufanya hivyo ni yule tu ambaye sio mtoto wako halafu wanao wewe wanaamka saa mbili na umri wao ni sawa na mwenzao..haikubaliki. Watoto wako kila mwezi unawanunulia nguo ila yeye unamnunulia krismasi tu ni ufala ukiamua kukaa na mtu mtreat kama mwanao sio kufanya kama umelazimishwa

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Bora nyie mlinyanyaswa na mashemeji zenu...
Miaka fulani ya nyuma nilimtembelea ndugu yangu maana alikuwa analalamika sifiki kwake.

Nikapewa chumba nyumba ndogo ya nje ambayo alikuwa anakaa bro na mke wake ila chumb changu kinajitegemea tofauti kabisa na jamaa, hata choo nilikuwa namtumia cha nje ila jamaa kwake ilikuwa ni master bedroom.

Sasa huo usiku mkojo umenibana, ile natok nje tu nakutana na 2 grown Dobermanns with cropped ears na mwingine hadi mkia amekatwa[emoji15][emoji15]. I was like hee kumbe humu ndani kuna mbwa tena wakubwa hivi na hawaniambii hawa si wauwaji kabisa kwa kweli sikupenda[emoji1787][emoji1787]. Ikabidi nirud geto, nikampigia simu bro akaja akawashika mbwa nikaenda msalani.

Ilikuwa kero maana karibia kila siku nampigia jamaa anisindikize chooni kama mtoto mpaka jau, jamaa akanipanga hawana shida hao wakishakuzoea. Kesho yake nikawa nipo nao karibu tunacheza nao mixa wanapewa maelekezo wanizoee, yule mmoja alinirukia yani over nilitupiwa kakiroba cha kilo 50!! Nilipata ka upenyo nilijikuta nasepa ka upepo, yule mbwa anakuja nyuma ananikimbiza, anadhani tunacheza kumbe mwenzie ndio nasevu hivo[emoji1787][emoji1787]. Ilifika wakati ikifika kuanzia saa 9 au kumi sinywi maji mpaka kesho yake!

Sasa huo usiku nataka kwenda chooni kama kawaida, ile nafungua mlango tu yakanyanyuka masikio yamewasimama kama antenna yani kama washajiandaa kwa kitu fulani so alerted, nikasema hapana nikarud ndani pigia sana bro simu haipatikani. Mkojo unazidi kubana na ndani hakuna hata chupa. Nikachungulia tena nikawaona wako mbali kidogo nikachomoka kama mkuki mpaka chooni, yalikuja kwa kasi yakaanza kuparua mlango. Wakat nataka nirudi nkayaona yamesimama kwa mbali kidogo yapo serious sio mchezo, nikayachekiii nikaanza kuambaa ambaa na fence kuutafuta mlango wa geto, nayo yakaanza ku move kunifata. Nikajisemea hapana hii sio ishara nzuri nikarudi mbio mpaka chooni, majamaa yakaja speed mpaka pale mlangoni yanaunguruma mixa kuparua mlango.Nilienda na simu chooni, piga sana simu ya jamaa haipatikani nikajisemea leo nimeisha[emoji16]. Nikavuta ndoo ya chooni nikakaa kuanzia saa 9 hivi kuelekea 10mpaka 12 hadi nikapitiwa na usingizi na ile baridi sio poa. Nashukuru Mungu choo kilikuwa kisafi.

.......hapo sijaelezea tukio lengine la kukimbizwa na hao mbwa kidogo ning'atwe hawakuwa wamefungwa vizuri plus kukojoa mlangoni.....

Asubuhi baada ya kuyafungia namimi ndio nikajifanya natoka chooni, yule mzee akaniuliza umeingia chooni saa ngap sijakuona?! I was pissed off sikutaka hata kumwambia yaliyonikuta maana mjadala ungekuwa mrefu na sikuwa n huo mda wa kuanza kuoneana huruma, kwanza nausingiz/kichwa kinauma na hapo nafikiria kama naweza pata bus la saa mbili au la[emoji1787]. Jioni yake nikaaga kesho narud kwetu, mzee akamaind sana akapiga simu nyumbani sikubadili maamuzi. Kesho yake asubuhi nikasepa!

Zile siku chache nilizokaa pale ndani zilikuwa ni mateso, wale mbwa walinikosesha raha kabisa hasa usiku. Maana mda wote ilibidi niangalie huku na huku nijue wako wapi kabla sijafanya movement kama vile navuka barabara maana wana eneo kubwa. Na hadi leo sijawahi kwenda tena!
Japo niliwapendea ile tough and aggressive looking yao lakini haiondoi ukweli kwamba mimi na mbwa bado haziivi kivileee.

View attachment 2693982
We jamaa umenichekesha sana [emoji16][emoji16][emoji16]

Ila we ndie ulikuwa na tatizo wala sio hao mbwa, kwa kifupi mbwa ni mnyama mwenye akili ukiwa unabehave km una hatia lazima wakushambulie.

Mbwa ukiwa unamuogopa kwa kawaida huwa ana sense na kujua kwamba huyu sio mtu mzuri kwa hyo anakuwa anajihami.

Ulichopaswa kufanya kuanzia mwanzo ni kufanya juu chini wakuzoee na hili lingewezekana km ungekuwa una act upo cool mbele yaani huna wasiwasi, hili la kuwa na wasiwasi kila mara unapowaona ndio lilifanya muwe maadui wa kudumu.
 
We jamaa umenichekesha sana [emoji16][emoji16][emoji16]

Ila we ndie ulikuwa na tatizo wala sio hao mbwa, kwa kifupi mbwa ni mnyama mwenye akili ukiwa unabehave km una hatia lazima wakushambulie.

Mbwa ukiwa unamuogopa kwa kawaida huwa ana sense na kujua kwamba huyu sio mtu mzuri kwa hyo anakuwa anajihami.

Ulichopaswa kufanya kuanzia mwanzo ni kufanya juu chini wakuzoee na hili lingewezekana km ungekuwa una act upo cool mbele yaani huna wasiwasi, hili la kuwa na wasiwasi kila mara unapowaona ndio lilifanya muwe maadui wa kudumu.
Hata mimi nimefikiria hivyo...eti anaenda chooni anatoka spidi lazima mbwa wakufuate

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Bora nyie mlinyanyaswa na mashemeji zenu...
Miaka fulani ya nyuma nilimtembelea ndugu yangu maana alikuwa analalamika sifiki kwake.

Nikapewa chumba nyumba ndogo ya nje ambayo alikuwa anakaa bro na mke wake ila chumb changu kinajitegemea tofauti kabisa na jamaa, hata choo nilikuwa namtumia cha nje ila jamaa kwake ilikuwa ni master bedroom.

Sasa huo usiku mkojo umenibana, ile natok nje tu nakutana na 2 grown Dobermanns with cropped ears na mwingine hadi mkia amekatwa[emoji15][emoji15]. I was like hee kumbe humu ndani kuna mbwa tena wakubwa hivi na hawaniambii hawa si wauwaji kabisa kwa kweli sikupenda[emoji1787][emoji1787]. Ikabidi nirud geto, nikampigia simu bro akaja akawashika mbwa nikaenda msalani.

Ilikuwa kero maana karibia kila siku nampigia jamaa anisindikize chooni kama mtoto mpaka jau, jamaa akanipanga hawana shida hao wakishakuzoea. Kesho yake nikawa nipo nao karibu tunacheza nao mixa wanapewa maelekezo wanizoee, yule mmoja alinirukia yani over nilitupiwa kakiroba cha kilo 50!! Nilipata ka upenyo nilijikuta nasepa ka upepo, yule mbwa anakuja nyuma ananikimbiza, anadhani tunacheza kumbe mwenzie ndio nasevu hivo[emoji1787][emoji1787]. Ilifika wakati ikifika kuanzia saa 9 au kumi sinywi maji mpaka kesho yake!

Sasa huo usiku nataka kwenda chooni kama kawaida, ile nafungua mlango tu yakanyanyuka masikio yamewasimama kama antenna yani kama washajiandaa kwa kitu fulani so alerted, nikasema hapana nikarud ndani pigia sana bro simu haipatikani. Mkojo unazidi kubana na ndani hakuna hata chupa. Nikachungulia tena nikawaona wako mbali kidogo nikachomoka kama mkuki mpaka chooni, yalikuja kwa kasi yakaanza kuparua mlango. Wakat nataka nirudi nkayaona yamesimama kwa mbali kidogo yapo serious sio mchezo, nikayachekiii nikaanza kuambaa ambaa na fence kuutafuta mlango wa geto, nayo yakaanza ku move kunifata. Nikajisemea hapana hii sio ishara nzuri nikarudi mbio mpaka chooni, majamaa yakaja speed mpaka pale mlangoni yanaunguruma mixa kuparua mlango.Nilienda na simu chooni, piga sana simu ya jamaa haipatikani nikajisemea leo nimeisha[emoji16]. Nikavuta ndoo ya chooni nikakaa kuanzia saa 9 hivi kuelekea 10mpaka 12 hadi nikapitiwa na usingizi na ile baridi sio poa. Nashukuru Mungu choo kilikuwa kisafi.

.......hapo sijaelezea tukio lengine la kukimbizwa na hao mbwa kidogo ning'atwe hawakuwa wamefungwa vizuri plus kukojoa mlangoni.....

Asubuhi baada ya kuyafungia namimi ndio nikajifanya natoka chooni, yule mzee akaniuliza umeingia chooni saa ngap sijakuona?! I was pissed off sikutaka hata kumwambia yaliyonikuta maana mjadala ungekuwa mrefu na sikuwa n huo mda wa kuanza kuoneana huruma, kwanza nausingiz/kichwa kinauma na hapo nafikiria kama naweza pata bus la saa mbili au la[emoji1787]. Jioni yake nikaaga kesho narud kwetu, mzee akamaind sana akapiga simu nyumbani sikubadili maamuzi. Kesho yake asubuhi nikasepa!

Zile siku chache nilizokaa pale ndani zilikuwa ni mateso, wale mbwa walinikosesha raha kabisa hasa usiku. Maana mda wote ilibidi niangalie huku na huku nijue wako wapi kabla sijafanya movement kama vile navuka barabara maana wana eneo kubwa. Na hadi leo sijawahi kwenda tena!
Japo niliwapendea ile tough and aggressive looking yao lakini haiondoi ukweli kwamba mimi na mbwa bado haziivi kivileee.

View attachment 2693982

Hata mim sipendi kuishi nyumba ambayo kuna mbwa
 
Siku ukiishiwa au kupata shida unabaki na mkeo uliyekuwa unampuuza na kuwaona ndugu ndiyo namba moja mke namba 3.
Sifanyi huo u.s.e.n.g.e. 😀😀😀😀 ndugu zangu nimewakataa kitambo k.u.ma.ni.na. zaoooo 😀😀😀😀
 
Sasa mkuu ulishindwa nn hata kutayarisha chupa Usiku kabla yakulala napo ulikua unazembea

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka hilo nilifikiria pia lakini kuna siku niliaibika, wakt naenda kumwaga chooni nakutana na dem wa bro karibia na toilet, japo nilikuwa nimezungushia karatasi vizuri lakini alielewa. Ni msichana rika langu tu, ile pisi iliniona hovyo kweli. Tangu siku hiyo nikawa naibia sana kutoka na kopo sometimes naacha kabisa!
 
We jamaa umenichekesha sana [emoji16][emoji16][emoji16]

Ila we ndie ulikuwa na tatizo wala sio hao mbwa, kwa kifupi mbwa ni mnyama mwenye akili ukiwa unabehave km una hatia lazima wakushambulie.

Mbwa ukiwa unamuogopa kwa kawaida huwa ana sense na kujua kwamba huyu sio mtu mzuri kwa hyo anakuwa anajihami.

Ulichopaswa kufanya kuanzia mwanzo ni kufanya juu chini wakuzoee na hili lingewezekana km ungekuwa una act upo cool mbele yaani huna wasiwasi, hili la kuwa na wasiwasi kila mara unapowaona ndio lilifanya muwe maadui wa kudumu.
Hii nilikuja kujua baadae. Lakini mkuu sio rahisi kihivyo inategemea na mbwa. Wale hawakuwa kama hawa wa barabarani.
 
Duh ila ndugu wa mume jamani kuishi nao yataka moyo.nimekuja kugundua kwanini watu wengi wanaishi na ndugu zao kuliko ndugu wa mume.nikiishi na mdogo wangu namtuma nitakavyo hata nguo zangu nampa anifulie hutomsikia kunung'unika, ndugu wa mume mtume hata mara moja ukoo wao mzima watajua . Nako hapa naishi na wifi yangu kaachika kwa mume wake yaani ni kero jamani nyumba imekuwa kama na wanawake wawili mimi napanga kipikwe hiki yeye anapika kile mavyakula anapika mengi anaishia kumwaga yaani ilimradi fujo.hapa napanga na mimi niondoke niende kuishi kwa kakaangu
Chai
 
Back
Top Bottom