Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Ni kazi Sana hata madogo wanakuzarau inabid uvumilie.kuna ile system madogo wamekunywa either soda au juice wameshindwa kumaliza eti unaitiwa unakumepaka shombo ya michipsi soda au juice ety mmpe uncle nilikuwa sipend kinouma hizo piga

Hata wakibaisha msosi unaitiwa nilikuwa sipokei

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nilikuwa nakaa kwa shemeji yan mke alie muoa kaka yangu tulikuwa marafiki sana mpaka matatizo yake na kaka ananiambia sasa siku nilitakiwa kwenda kukaa uko kwa ajili ya field sasa sehemu napajua ila landmark ilinitoka nikawa nampigia simu hapokei piga simu hapokei af hapo yeye alikuwa amesafiri nikampigiq mama nikamwambia yeye akampiga kaka maana mimi nahasira nishaaza kutoa maneno ya hasira

Bro akanipigia umefika wapi nikamjibu kituoni hapa haya ulizia sehemu fulani nikafika nikaingia an begi langu tukawq tunakaa mimi na kaka kesho yake nikiwa field nikampigia tena simu shemeji piga simu kapokea anaongea kama ataki nikajiongeza hapa sitakiw

Sasa sikuio mimi sina hili wala lile niko home nimekaa kaka kachelewa kurudi siku iyo nashanga mlango unafunguliwa kumbe shemeji nikampokea pale na bashasha na nilivyo mcheshi kijana wa watu za kwenu ulikotoka mambo mengi mtu ananijibu shot mh nikauchuna

Tumekaa gala nashangaa mtu kachukua ngazi anasafisha feni na ni mjamzito ikabidi nimwambie shuka nipande nikasafisha usiku ule ule kaka alipo rudi katukuta tunasafisha ndani akauchuna tu basi wakati tunakula sisi tunakula ugali na dagaa yeye kumbe katoka kwao na kuku anakula peke yake kaka akakamuomba akamkatalia dah nikasema hapa cha kike

Basi siku iyo ikapita sasa nikiwa field nasema niwahi kurudi nikapige story na shemeji yangu ee nikifika ananikataa kabisa analala nikasema huyu anijui nikawa nabaki field mpaka saa mbili akawa anafoka siku nayo ondoka siku waambia nilikuja kuwaambia asubuhi maana niliona bro naye anamuonga mkon mkewe morning anaoga na mimi naoga najiandaa akaniuliza unaenda wapi nikamjibu naondoka leo narudi home mbona ujasema mapema huyo. Shemeji nikamuuliza ulikuwa unataka ufanyeje? Akaa kimya

Na alikuwa na tabia anaingia chumban atakama umelala anaingia tu bila hodi nilipotoka hapo sikumpigia simu kuwa nimefika wala nini alipiga simu mama kuwapa taarifa kak akapiga simu mbona ujasema kama umefika mimi majibu yangu short kwani ukupewa taarifa na mama? Mzozo ulikuwa mkubwa nikakata simu sikuja kuongea nao mpaka mkewe alipojifungua nikampa hongera ikapita hiyo
Huyo anaweza kujitetea mimba ilikuwa inamaumbua
 
IMG_3876.jpg

[emoji854][emoji854]
 
Nilisingiziwa Nimemchapa beki tatu Mimba alafu demu mwenyewe mbovu kmmk, yule shemeji yangu sitomsamehe mpaka nakufa, alipiga simu kwa mtu ananisema, na demu sikuwai kumla ila nkasigiziwa mimba, mwisho wa picha ilijulikana msela aliempachika mimba na shemu akaumbuka, mpaka leo hatusalimiani mbwa yule.
 
Wamama wa kipare shikamoo.
Kuna jamaa walikuja Dar kwa baba Yao mdogo ambaye ameoa mpare. Sasa huyo mama alikua hapiki mpaka mume wake arudi jioni kabisa. Vijana wakajiongeza wakamwambia baba mdogo kwamba wanashinda njaa, kula Ni mpaka baba arudi.
Baba mdogo akawaambia, hapa Ni kwenu, sio msubiri mpaka mama apike. Ukiona mama Yuko bize, ingia jikoni pika, kula OSHA vyombo.
Dogo wakawa wanatanya Kama walivyoagizwa. Siku mbili nyingi, mpare akawa anahifadhi vitu muhimu vya kupika chumbani kwake akijua kabisa Mila haimruhusu kijana wa kiume kuingia chumba Cha mzazi.
 
Nilisingiziwa Nimemchapa beki tatu Mimba alafu demu mwenyewe mbovu kmmk, yule shemeji yangu sitomsamehe mpaka nakufa, alipiga simu kwa mtu ananisema, na demu sikuwai kumla ila nkasigiziwa mimba, mwisho wa picha ilijulikana msela aliempachika mimba na shemu akaumbuka, mpaka leo hatusalimiani mbwa yule.
😂😂😂😂ulimnyimavuterezi ww itakua
 
Back
Top Bottom