Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Chanzo Cha yote hayo ni njaa hukosefu wa chakula .

Mimi Nina kilo miatano za mchele na gunia mbili za maharage na Nina pesa za Mboga Sasa ukija kwangu kunitembelea huwezi kugombana na mtu .


Wanawake wana njaa Sana Mnabidi kulifahamu hilo Kama hauna chakula Cha kutosha usimlete ndugu ikiwa unakaa na Mwanamke ataishia kumnyanyasa Mimi nimejionea haya Mambo Nina ndugu yangu yeye anakaaga na vyakula magunia Mengi ya kutosha Sasa pale kwake ndugu wa mke na wa Mume wanakula na kusaza huwezi kuona ugomvi ukitokea Sasa njoo huku kwa Hawa sijui Mwalimu sijui nurse sijui nani huko pamoto Sana.
 
Kitambo niliwai pata safari ya mbali ilibid nifike kwa ndugu yetu niweke kituo siku kadhaa, ilikuwa sio poa huyo mama mwenye nyumba alikuwa na uvaaji wa kizungu kuanzia morning to everning kila muda ni kama yupo ufukweni hafungi mapaja akilala anajiachia unaona mashavu kiaina
 
Chanzo Cha yote hayo ni njaa hukosefu wa chakula .

Mimi Nina kilo miatano za mchele na gunia mbili za maharage na Nina pesa za Mboga Sasa ukija kwangu kunitembelea huwezi kugombana na mtu .


Wanawake wana njaa Sana Mnabidi kulifahamu hilo Kama hauna chakula Cha kutosha usimlete ndugu ikiwa unakaa na Mwanamke ataishia kumnyanyasa Mimi nimejionea haya Mambo Nina ndugu yangu yeye anakaaga na vyakula magunia Mengi ya kutosha Sasa pale kwake ndugu wa mke na wa Mume wanakula na kusaza huwezi kuona ugomvi ukitokea Sasa njoo huku kwa Hawa sijui Mwalimu sijui nurse sijui nani huko pamoto Sana.
Kikubwa ni umaskini Ila cha pili ni roho ya mtu. Kuna watu hata awe na kingi kiasi gani Ila asili ya uchoyo na ubinafsi havimuondoki

By the way kaka nilijua unakula ndizi tu kumbe hadi wali unao wa kutosha 😁😁
 
Kitambo niliwai pata safari ya mbali ilibid nifike kwa ndugu yetu niweke kituo siku kadhaa, ilikuwa sio poa huyo mama mwenye nyumba alikuwa na uvaaji wa kizungu kuanzia morning to everning kila muda ni kama yupo ufukweni hafungi mapaja akilala anajiachia unaona mashavu kiaina
mkuu hii stori haijakamilika, malizia basi!!
 
Hata kwenda tu kwake kama hakutak unakuwa tayari umemkera na ukishafka unaona muda wote kanuna unadhan ndo alivyo kumbe chanzo ni wewe na bila kujua unajikuta muda mwingne unajaribu hata kutabasamu ukiwa karbu nae uone kama nae atakuunga mkono kumbe ndo kabisaaaa unamchefua bila kujua kosa lako miongoni mwa mitihan mikubwa tuachane na darasan ni pamoja na kuishi kwa ndugu [emoji19]

Mtu unajisikia kulala huwez lala unaogopa
 
Mimi nilikuwa nakaa kwa shemeji yan mke alie muoa kaka yangu tulikuwa marafiki sana mpaka matatizo yake na kaka ananiambia sasa siku nilitakiwa kwenda kukaa uko kwa ajili ya field sasa sehemu napajua ila landmark ilinitoka nikawa nampigia simu hapokei piga simu hapokei af hapo yeye alikuwa amesafiri nikampigiq mama nikamwambia yeye akampiga kaka maana mimi nahasira nishaaza kutoa maneno ya hasira

Bro akanipigia umefika wapi nikamjibu kituoni hapa haya ulizia sehemu fulani nikafika nikaingia an begi langu tukawq tunakaa mimi na kaka kesho yake nikiwa field nikampigia tena simu shemeji piga simu kapokea anaongea kama ataki nikajiongeza hapa sitakiw

Sasa sikuio mimi sina hili wala lile niko home nimekaa kaka kachelewa kurudi siku iyo nashanga mlango unafunguliwa kumbe shemeji nikampokea pale na bashasha na nilivyo mcheshi kijana wa watu za kwenu ulikotoka mambo mengi mtu ananijibu shot mh nikauchuna

Tumekaa gala nashangaa mtu kachukua ngazi anasafisha feni na ni mjamzito ikabidi nimwambie shuka nipande nikasafisha usiku ule ule kaka alipo rudi katukuta tunasafisha ndani akauchuna tu basi wakati tunakula sisi tunakula ugali na dagaa yeye kumbe katoka kwao na kuku anakula peke yake kaka akakamuomba akamkatalia dah nikasema hapa cha kike

Basi siku iyo ikapita sasa nikiwa field nasema niwahi kurudi nikapige story na shemeji yangu ee nikifika ananikataa kabisa analala nikasema huyu anijui nikawa nabaki field mpaka saa mbili akawa anafoka siku nayo ondoka siku waambia nilikuja kuwaambia asubuhi maana niliona bro naye anamuonga mkon mkewe morning anaoga na mimi naoga najiandaa akaniuliza unaenda wapi nikamjibu naondoka leo narudi home mbona ujasema mapema huyo. Shemeji nikamuuliza ulikuwa unataka ufanyeje? Akaa kimya

Na alikuwa na tabia anaingia chumban atakama umelala anaingia tu bila hodi nilipotoka hapo sikumpigia simu kuwa nimefika wala nini alipiga simu mama kuwapa taarifa kak akapiga simu mbona ujasema kama umefika mimi majibu yangu short kwani ukupewa taarifa na mama? Mzozo ulikuwa mkubwa nikakata simu sikuja kuongea nao mpaka mkewe alipojifungua nikampa hongera ikapita hiyo
Duh! Kuna watu mna vipaji vya kuandika
 
Chanzo Cha yote hayo ni njaa hukosefu wa chakula .

Mimi Nina kilo miatano za mchele na gunia mbili za maharage na Nina pesa za Mboga Sasa ukija kwangu kunitembelea huwezi kugombana na mtu .


Wanawake wana njaa Sana Mnabidi kulifahamu hilo Kama hauna chakula Cha kutosha usimlete ndugu ikiwa unakaa na Mwanamke ataishia kumnyanyasa Mimi nimejionea haya Mambo Nina ndugu yangu yeye anakaaga na vyakula magunia Mengi ya kutosha Sasa pale kwake ndugu wa mke na wa Mume wanakula na kusaza huwezi kuona ugomvi ukitokea Sasa njoo huku kwa Hawa sijui Mwalimu sijui nurse sijui nani huko pamoto Sana.
Why mwalimu? Why nurse?
 
Kibaya zaidi ni huyo mke wake alikuwa na visa na maneno ya shombo, mara hataki watu watoke nje ya geti anafunga, mara hataki watu wakae sebuleni, hata kunywa maji ya kwenye friji jau, akinunua matunda mpaka akupe yeye na atakupa wakati linaanza kuharibika ukila atakuja kuongea mpaka ujute.

Kwa kipindi kile ilikuwa ni mateso sana, sabuni ya kuogea unajinunilia, mafuta ya kujipaka pia, tulikuwa tunajitegemea kama tumepanga hata kipindi tunaenda K/Koo ilikuwa ni taabu sana.
Dar watu wanaishi kwa bajeti finyu, wewe unataka ufungue mafriji na kuanza kula matunda au vyakula bila mpangilio, kwa hilo hata mimi sikusupport.

Halafu vyengine lazima ujiongeze mwenyewe, mfano sabuni, toothpaste na vile vidogo vidogo vya matumizi yako. Kumbuka hapo haupo wewe peke yako, umepewa pa kulala pengine ongezea maisha yaende mbele.
 
Back
Top Bottom