Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

Wamama wa kipare shikamoo.
Kuna jamaa walikuja Dar kwa baba Yao mdogo ambaye ameoa mpare. Sasa huyo mama alikua hapiki mpaka mume wake arudi jioni kabisa. Vijana wakajiongeza wakamwambia baba mdogo kwamba wanashinda njaa, kula Ni mpaka baba arudi.
Baba mdogo akawaambia, hapa Ni kwenu, sio msubiri mpaka mama apike. Ukiona mama Yuko bize, ingia jikoni pika, kula OSHA vyombo.
Dogo wakawa wanatanya Kama walivyoagizwa. Siku mbili nyingi, mpare akawa anahifadhi vitu muhimu vya kupika chumbani kwake akijua kabisa Mila haimruhusu kijana wa kiume kuingia chumba Cha mzazi.
WANAWAKE NI MASHETANI! tusisingizie udini... nyumba yoyote ugomvi huletwa na Chakula 😔
 
Kuishi kwa ndugu jau sana nakumbuka nilikuwa kwa uncle maisha yalikuwa mazuri skatai ila kuishi na mkewe ndo kazi picha linaanza asubuhi kuoga sabuni anakuwa kaifungia chumban kwake ili kuhepusha usumbufu muda mwingne unanunua yakwako unaoga akijua una yakwako kelele zinakuwa nyingi

Bas kwakuwa ofcn na hm sio mbali sana anasema kamavp ukiwa unafka muda wa msos unakuja unakula then unarud muda ukifika ukienda anasema mbn mapema sana hata hatujapka hapo ni saa 9 kumbe washakula na watoto wake na ndugu zake siku ukisema nisiende anamwambia uncle mbn siendi kula mchana dooh kazi kweli

Wakija wageni wa nyumbani anajifanya malaika hapo ndo utaona ana-care sana mara hv mara vile kujionesha ni mwema wakiondoka mwendo ni ule ule

Siku zingne unatoka ofcn usiku unakuta wanakula let say ugal utasikia mke wa mjomba anasema dah umechelewa kdg tulikuwa tunamalizia kula msos wako uko kwenye sahan hapo yale mabaki yake na watoto wake ndo nile had now nilitoka [emoji19]!!
We mwanamke popote ulipo asante ntakuletea zawadi
WANAWAKE NI MASHETANI! 😂😂😂🙌🏾

hawakuagi kiakili hawa viumbe. Labda wanakua kingono tu na ujuzi wa kufanya ngono. Always! Ugomvi kwenye nyumba na kupelekea manyanyaso sababu huwa ni vitu vidogo sana na vya hovyohovyo! Ikiwemo CHAKULA!
 
Kitambo niliwai pata safari ya mbali ilibid nifike kwa ndugu yetu niweke kituo siku kadhaa, ilikuwa sio poa huyo mama mwenye nyumba alikuwa na uvaaji wa kizungu kuanzia morning to everning kila muda ni kama yupo ufukweni hafungi mapaja akilala anajiachia unaona mashavu kiaina
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Daaah nyumba hizi
 
Women are the source of all problems ,Wanaume huwa tuko busy na kazi Mambo mengi ya kinyumbani hatuyajui ,WANAWAKE ndio husumbua Sana ndugu zetu hasa pale unapokuta WANAWAKE wa Nyumbani wanaotegemea pesa za mume ndio wasumbufu zaidi.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Women are the source of all problems

Hii ni quote ya mwaka na huwa sielewi kwanini wanawake wanaletaga majanga mengi sana kwenye jamii.
 
Women are the source of all problems

Hii ni quote ya mwaka na huwa sielewi kwanini wanawake wanaletaga majanga mengi sana kwenye jamii.
Wanawake waone hivi ni watu wabaya sana that's why hata wao hawapendani,ukimkuta ametokea maisha ya shida akaja kukutana mwanaume mwenye nazo ,ubinafsi ,roho mbaya,chuki hata visa utaona, matatzo mengi source ni women

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Muonekano wako unaonekano ni HATARI FIRE! mtoto... hata mie ningekuwa mumewe ningekutongoza tuwe tunakulana kisirisiri. Na gari ningekununulia na ningekupangia mbali na hapo na kazi juu! Ila tu heshima kwa mke wangu iwe palepale na asijue!

Vipi jamaa angekutupia jiwe ungekataa?! Au alikukula?! 🤔🤔🤔😋🤤
Hapana jamaa hakuwahi hata kunitongoza maskini
Na nilikuwa nipo field mkoa huo mwanamke akanambia nisipange nikakae kwake kwa muda wote wa field
Sasa nadhani hakuwa mwenye kujiamini akaanza kunihisi ndivyo sivyo
 
Back
Top Bottom