babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Nilibondwa vibao sana tu kisa gari,mungu anajuaTusimulie basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilibondwa vibao sana tu kisa gari,mungu anajuaTusimulie basi
Inategemea, kuna wanawake hawana njaa wana chakula cha kutosha, ila ni wachoyo hatari DR HAYA LANDChanzo Cha yote hayo ni njaa hukosefu wa chakula .
Mimi Nina kilo miatano za mchele na gunia mbili za maharage na Nina pesa za Mboga Sasa ukija kwangu kunitembelea huwezi kugombana na mtu .
Wanawake wana njaa Sana Mnabidi kulifahamu hilo Kama hauna chakula Cha kutosha usimlete ndugu ikiwa unakaa na Mwanamke ataishia kumnyanyasa Mimi nimejionea haya Mambo Nina ndugu yangu yeye anakaaga na vyakula magunia Mengi ya kutosha Sasa pale kwake ndugu wa mke na wa Mume wanakula na kusaza huwezi kuona ugomvi ukitokea Sasa njoo huku kwa Hawa sijui Mwalimu sijui nurse sijui nani huko pamoto Sana.
Huo unaitwa umasikini wa fikraInategemea, kuna wanawake hawana njaa wana chakula cha kutosha, ila ni wachoyo hatari DR HAYA LAND
WANAWAKE NI MASHETANI!
Sana mbaya zaidi maeneo ulipo uwe ni mgeni uje kuzoea uwe unaenda hata kutembea mtaani ni kazi nae akiona umeanza kuzurula anaanza domoMtu unajisikia kulala huwez lala unaogopa
Tangu lin wanawake wakaelewana ndiyo mlivyoDuh ila ndugu wa mume jamani kuishi nao yataka moyo.nimekuja kugundua kwanini watu wengi wanaishi na ndugu zao kuliko ndugu wa mume.nikiishi na mdogo wangu namtuma nitakavyo hata nguo zangu nampa anifulie hutomsikia kunung'unika, ndugu wa mume mtume hata mara moja ukoo wao mzima watajua . Nako hapa naishi na wifi yangu kaachika kwa mume wake yaani ni kero jamani nyumba imekuwa kama na wanawake wawili mimi napanga kipikwe hiki yeye anapika kile mavyakula anapika mengi anaishia kumwaga yaani ilimradi fujo.hapa napanga na mimi niondoke niende kuishi kwa kakaangu
Hata kutoka ilikuwa uncle hatak maana utaskia kila kitu kipo hapa unataka uende uishi wapi bas natulia ila yalinizid nkalazimisha kutoka kimagumashi sema doh yule mwanamke bas tu ngj nisiongee vby maana hata sjajua nan ntamuoa atakuwaje kwa ndugu zanguKumbe ulikua na kazi sasa ulikua na sababu gani kuendelea kukaa hapo?
Hongera kwenu nyote .Nimeishi kwa ndugu kanijali kama mtoto wake wa kumzaa, kanisomesha sekondari mpaka chuo kikuu, sema tu ni vile sibebeki na sijui kujitafuta.,mke wake ni kama mama yangu wa kunizaa.
Sina cha kuwalaumu.
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Kuna watu wengine wapo hivyo, kwanza mimi eti kuna watoto nyumbani wakulingana na wanao akija mtu unaanza utambulisho huwa sibarikiwi kabisa, mambo yakubagua misosi mmm.
Wanakuongezea kwenye bakuri au vipi mbona makubwa sasa haya jamaniNikitengewa ugali, mboga yangu wanaongeza maji. Nikatambua kuwa akufukuzae hakuambii toka, Ila niliondoka pasipo kuaga.
Hapana sio chakula roho tu ya mtu, mbona kuna watu wana pesa lakini hawasaidii wenye shida! Kutoa huwa ni moyo wa mtu, hujawahi ona ndugu mwenye maisha ya kawaida lakini kwake wageni hawapungui lakini mwenye uwezo wake watu wanamkwepa!Chanzo Cha yote hayo ni njaa hukosefu wa chakula .
Mimi Nina kilo miatano za mchele na gunia mbili za maharage na Nina pesa za Mboga Sasa ukija kwangu kunitembelea huwezi kugombana na mtu .
Wanawake wana njaa Sana Mnabidi kulifahamu hilo Kama hauna chakula Cha kutosha usimlete ndugu ikiwa unakaa na Mwanamke ataishia kumnyanyasa Mimi nimejionea haya Mambo Nina ndugu yangu yeye anakaaga na vyakula magunia Mengi ya kutosha Sasa pale kwake ndugu wa mke na wa Mume wanakula na kusaza huwezi kuona ugomvi ukitokea Sasa njoo huku kwa Hawa sijui Mwalimu sijui nurse sijui nani huko pamoto Sana.
Alikuwa anafanya vibaya wala sio vizuri ni ujinga wa moyo wakeNikikumbuka nabaki kujicheka mwenyewe duh[emoji38]