Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Acha tu unakalea katoto kamtu kakikua tu kananyoosha mdomo ulikuwa umakatesa wakati umempa akili zakujitegemea, mie hufanya niwezayo shukrani nitaipata kwa Mungu.Kweli. Kuna wageni nao ni pasua kichwa hawana shukrani.