Uliwahi kupata mikasa gani kwa kuishi kwa ndugu?

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo anaweza kujitetea mimba ilikuwa inamaumbua
 
Nilisingiziwa Nimemchapa beki tatu Mimba alafu demu mwenyewe mbovu kmmk, yule shemeji yangu sitomsamehe mpaka nakufa, alipiga simu kwa mtu ananisema, na demu sikuwai kumla ila nkasigiziwa mimba, mwisho wa picha ilijulikana msela aliempachika mimba na shemu akaumbuka, mpaka leo hatusalimiani mbwa yule.
 
Wamama wa kipare shikamoo.
Kuna jamaa walikuja Dar kwa baba Yao mdogo ambaye ameoa mpare. Sasa huyo mama alikua hapiki mpaka mume wake arudi jioni kabisa. Vijana wakajiongeza wakamwambia baba mdogo kwamba wanashinda njaa, kula Ni mpaka baba arudi.
Baba mdogo akawaambia, hapa Ni kwenu, sio msubiri mpaka mama apike. Ukiona mama Yuko bize, ingia jikoni pika, kula OSHA vyombo.
Dogo wakawa wanatanya Kama walivyoagizwa. Siku mbili nyingi, mpare akawa anahifadhi vitu muhimu vya kupika chumbani kwake akijua kabisa Mila haimruhusu kijana wa kiume kuingia chumba Cha mzazi.
 
😂😂😂😂ulimnyimavuterezi ww itakua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…