Uliwahi kusikia story gani kuhusu Said Salim Awadh Bakhresa?


Mkuu bongo kwenye sekta ya mikate bado sana tupo nyuma
 
Hamtakaa kuujua ukweli.

Eti kushona Viatu, kuuza Maandazi.....!

Formula ya Utajiri ni 3 tu!
1. Deal chafu ambazo zipo nje ya mfumo wa Kibiashara.
2. Kwepo Kodi.
3. Kipaji, Music, Ngumi, Mpira etc.

Utatoboa!!
Nje ya hapo tutafute tu hela ya Kula.
Ila kweli mkuu,hua nawazavsana nakutafakari kwa ajira yangu hii ya tamisemi kweli???!!!!nadhani dili chafu hua nikiboko ya yote,ila kipaji napo niukweli mtupu.
 
Ila kweli mkuu,hua nawazavsana nakutafakari kwa ajira yangu hii ya tamisemi kweli???!!!!nadhani dili chafu hua nikiboko ya yote,ila kipaji napo niukweli mtupu.
Ni kweli Mkuu, Watu wengi wametoboa kwa Mishe ambazo zipo nje ya Mfumo rasmi wa Biashara!

Ila kwa nje Watasema alianza kuuza Sigara Mtaani, alikua anauza Kahawa, uza Kahawa wewe uone kama utatoboa!

Soon ukipata deals zilizo nje ya Mifumo ya kawaida ya Biashara, utashangaa pesa inakua sio tatizo, then ndo wanaanza kuwekeza kwenye Biashara Rasmi.
 
Hakika mwana wa adamu,mamayangu mzazi aliwahi kuniambia kua mwanangu,kama unandoto zakua tajiri ningumu lazima utashiriki ktk nguvu zagiza tu,ngumu kutoka huko.
 
Afadhali ya wewe umeeleza .....na mgahawa wake wa kwanza ulikuwa unaitwa Nawaz aliununua mtu mwingine na pale ulipokuwa ndo kwa sasa amejenga ghorofa kuubwa pale mtaa wa mkunguni,Sikukuu na hiki kimtaa kinachounganisha mkunguni na mafia

Na wengine wameshindwa kujua kuwa Bakhresa hakuwai kupika maandazi ila kulikuwa na bakery moja pale ilala pembeni ya masjid mwinyi inaitwa best taste ndo walikuwa wanapika na kwenda kuyauza pale opposite na Azam center hivyo watu wakahisi ni product ya azam
 
Hakika mwana wa adamu,mamayangu mzazi aliwahi kuniambia kua mwanangu,kama unandoto zakua tajiri ningumu lazima utashiriki ktk nguvu zagiza tu,ngumu kutoka huko.
Ni sahihi, kwenye ulimwengu wa roho, fahari na utajiri wa Dunia hii ni kutoka kwa Shetani!!!

Ndo maana short cut nyingi za kupata Utajiri ni kupitia huko.
 
Wanasema alianza na U'shoe Shiner akaja na mgahawa wa Azam baadae kuna stage n hapa kati nimesahau, lakin after hio akainunua (NMC) National milling company kutok kwa serikali then booom gurudumu ndio hili mnaloliona sahivi.
NMC ina stori yake na serikali walibugi wenyewe wakampa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…