The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Alianza kwa kuuza Ice cream za ukwaju,hela ilipochanganya akaanza kuuza Ice cream za maziwa,
Source kijiwe cha kahawa Nzega.
Source kijiwe cha kahawa Nzega.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah,nasikia kapauza paleMitaa ya Bachu barabara ya kuenda kiloleni.[emoji16][emoji16][emoji16]
Ilimtokea nyota ya Jaa akomba utajiri ndio maana mpaka leo tajiri.
Source : Kijiwe cha porojo Yombo Vituka.
Bakheresa hata ukimpiga picha haionekani daah bongo bana eti anavifaa vya kuzuia kamera
.Aliyeona Pistol case na bullet proof window shields alike hapa[emoji23]
Ah kile kijiwe ple moro kiogope kila mtu wana stori yke ple hhhhhhhShoe shiner wa mchongo, nyuma ya pazia alikua anapiga dili za hatari (Pembe za ndovu).
Credit: Kijiwe cha kahawa roundabout ya stendi ya zamani Morogoro Mjini.
Hapo umedanganya kiufupi wewe ni muongoHamtakaa kuujua ukweli.
Eti kushona Viatu, kuuza Maandazi.....!
Formula ya Utajiri ni 3 tu!
1. Deal chafu ambazo zipo nje ya mfumo wa Kibiashara.
2. Kwepo Kodi.
3. Kipaji, Music, Ngumi, Mpira etc.
Utatoboa!!
Nje ya hapo tutafute tu hela ya Kula.
Sasa hv ana kanda kwa mashine tani kwa tani 😄Alianza na unga nusu kilo kukanda maandazi Tz bhna😅😅
Usiseme Muongo, sema naamini tofauti na unavyoamini..!Hapo umedanganya kiufupi wewe ni muongo
Ni kwamba wewe umehitimisha kuwa usipofanya biashara za magendo na kukwepa kodi hauwezi kutoboa ndio maana nakuambia wewe ni muongoUsiseme Muongo, sema naamini tofauti na unavyoamini..!
Weka uthibitisho wako Mezani na mimi ntaweka wangu Ubaoni.
Itakuwa hivyo.Yeah,nasikia kapauza pale
Ndo nikasema hivyo ndo ninaamini, na ninao Uthibitisho wa Watu wengi tu waliofanikiwa kwa njia hizo 3 nilizozitaja!Ni kwamba wewe umehitimisha kuwa usipofanya biashara za magendo na kukwepa kodi hauwezi kutoboa ndio maana nakuambia wewe ni muongo