Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana mtoto wa kiume kazaa na dada mmoja hivi KampalaStory gani ya mtaani/kijiweni uliwahi kusikia kuhusu Said Salim Awadh Bakhresa? Tushirikishe
View attachment 2627849
Miaka ya 90!?..nimekula aiskrimu zake miaka ya 80 tabora!!Ila huyu mtu amekuwa tajiri mkubwa tanzania, mo akasome. Biashara zake zinaanzia mia, aliwahi kutengeneza maandazi na chapati kama mama lishe wa mitaani ikabidi alalamikiwe kwa nini tajiri mkubwa naye atengeneze bidhaa hizo? Miaka ya tisini alivuma sana mitaa ya kariakoo kwa aisikrimu zake maarufu kama kwa balesa
Mgahawa wa Azam aliununua toka kwa mhindi kitambo, Azam ni jina la kihindiHuyu jamaa naskia alikuwa na biz ya mgahawa
Ule mgahawa wake pale posta roundabout toka niko mtoto mpaka leo nimekuwa mtu mzima bado upo utajiri wake pamoja na kona kona nyingine nadhani ana nidhamu ya biashara
kama umeshtukaShoe shiner wa mchongo, nyuma ya pazia alikua anapiga dili za hatari (Pembe za ndovu).
Credit: Kijiwe cha kahawa roundabout ya stendi ya zamani Morogoro Mjini.
kweli auKila mwaka anachinja n'gombe baharini ili boti zake zisizame
What??Ni Mchaga wa Modio Masama Kilimanjaro
Sikuwahi kujua hiliMgahawa wa Azam aliununua toka kwa mhindi kitambo, Azam ni jina la kihindi
SI KWELIIla huyu mtu amekuwa tajiri mkubwa tanzania, mo akasome
SI KWELIaliwahi kutengeneza maandazi
Story gani ya mtaani/kijiweni uliwahi kusikia kuhusu Said Salim Awadh Bakhresa? Tushirikishe
View attachment 2627849
hahahahahahahaha, kwamba?
Aliwahi kufukuzwa benki Uswizi na mlinzi kwa kuwa alionekana kavaa kama mtu masikini, wakati ile benki ilikuwa ya mamilionea.Story gani ya mtaani/kijiweni uliwahi kusikia kuhusu Said Salim Awadh Bakhresa? Tushirikishe
View attachment 2627849
sio kutengeneza maandazi kwa kiwango cha mama lishe, alitengeneza mikate na azamu akiwa tayari ni tajiriSI KWELI
Hajawahi kutengeneza maandazi hata sasa akiwa na Azam Bakeries Company Limited (ABCL)sio kutengeneza maandazi kwa kiwango cha mama lishe, alitengeneza mikate na azamu akiwa tayari ni tajiri