Uliwahi kusikia story gani kuhusu Said Salim Awadh Bakhresa?

Uliwahi kusikia story gani kuhusu Said Salim Awadh Bakhresa?

Ila huyu mtu amekuwa tajiri mkubwa tanzania, mo akasome. Biashara zake zinaanzia mia, aliwahi kutengeneza maandazi na chapati kama mama lishe wa mitaani ikabidi alalamikiwe kwa nini tajiri mkubwa naye atengeneze bidhaa hizo? Miaka ya tisini alivuma sana mitaa ya kariakoo kwa aisikrimu zake maarufu kama kwa balesa
Umesahau maji ya pakti alikua anauza tsh.50/=
 
Hamtakaa kuujua ukweli.

Eti kushona Viatu, kuuza Maandazi.....!

Formula ya Utajiri ni 3 tu!
1. Deal chafu ambazo zipo nje ya mfumo wa Kibiashara.
2. Kwepo Kodi.
3. Kipaji, Music, Ngumi, Mpira etc.

Utatoboa!!
Nje ya hapo tutafute tu hela ya Kula.
1 na 2 naunga mkono lazima uwe na dili chafu nje ya biashara lasivyo ukwepe kodi kadri unavyoweza
 
Ila huyu mtu amekuwa tajiri mkubwa tanzania, mo akasome. Biashara zake zinaanzia mia, aliwahi kutengeneza maandazi na chapati kama mama lishe wa mitaani ikabidi alalamikiwe kwa nini tajiri mkubwa naye atengeneze bidhaa hizo? Miaka ya tisini alivuma sana mitaa ya kariakoo kwa aisikrimu zake maarufu kama kwa balesa
Zilikua zinatwa lamba lamba.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nilianza kujua kipindi kile shughuli zake akifanyia karibu na soko la kariakoo.
IMG-20230212-WA0004_023615.jpg
 
Back
Top Bottom