Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
makontena yake ya unga wa ngano yalikamatwa na serikali kimakosa na unga ukaenda kumwagwa hivyo akapewa yale majengo ya tazara kama fidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mi niliiskia hiimakontena yake ya unga wa ngano yalikamatwa na serikali kimakosa na unga ukaenda kumwagwa hivyo akapewa yale majengo ya tazara kama fidia
Umesahau maji ya pakti alikua anauza tsh.50/=Ila huyu mtu amekuwa tajiri mkubwa tanzania, mo akasome. Biashara zake zinaanzia mia, aliwahi kutengeneza maandazi na chapati kama mama lishe wa mitaani ikabidi alalamikiwe kwa nini tajiri mkubwa naye atengeneze bidhaa hizo? Miaka ya tisini alivuma sana mitaa ya kariakoo kwa aisikrimu zake maarufu kama kwa balesa
1 na 2 naunga mkono lazima uwe na dili chafu nje ya biashara lasivyo ukwepe kodi kadri unavyowezaHamtakaa kuujua ukweli.
Eti kushona Viatu, kuuza Maandazi.....!
Formula ya Utajiri ni 3 tu!
1. Deal chafu ambazo zipo nje ya mfumo wa Kibiashara.
2. Kwepo Kodi.
3. Kipaji, Music, Ngumi, Mpira etc.
Utatoboa!!
Nje ya hapo tutafute tu hela ya Kula.
Alikua na mgahawa mkubwa tu pale town akaona nyota ya jaaah! Ghafla kawa billionaire
Zilikua zinatwa lamba lamba.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila huyu mtu amekuwa tajiri mkubwa tanzania, mo akasome. Biashara zake zinaanzia mia, aliwahi kutengeneza maandazi na chapati kama mama lishe wa mitaani ikabidi alalamikiwe kwa nini tajiri mkubwa naye atengeneze bidhaa hizo? Miaka ya tisini alivuma sana mitaa ya kariakoo kwa aisikrimu zake maarufu kama kwa balesa
Nikijuacho Mimi,alikua na kiwanda kinatazamana na dar airport (kipawa),wakamtoa pale kama fidia wakamwamishia pale Buguruni zamani NMCmakontena yake ya unga wa ngano yalikamatwa na serikali kimakosa na unga ukaenda kumwagwa hivyo akapewa yale majengo ya tazara kama fidia