Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Hii Kila Kona nimekuwa nilikutana nayo. Hebu wajuvi watujuzeAlianza kushona viatu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Kila Kona nimekuwa nilikutana nayo. Hebu wajuvi watujuzeAlianza kushona viatu[emoji23][emoji23][emoji23]
Alianza kupika maandazi
Ni kwel,ukitaka aonekane kwenye picha ni mpaka iwe ijumaa asubuhBakheresa hata ukimpiga picha haionekani daah bongo bana eti anavifaa vya kuzuia kamera
Hivi wasema ukweli au watania!!??Ni school mate wake na member mwenzetu USM ALGER
Nshasikia ya kwamba ana wivu sana wa kibiashara na ni mbaguzi na mdini sanaStory gani ya mtaani/kijiweni uliwahi kusikia kuhusu Said Salim Awadh Bakhresa? Tushirikishe
View attachment 2627849
Alikuwa mshona viatu, mara oh alitajirika kutokana na fidia ya kulipwa mchele mbovu uliomwagwa na serikali vingunguti na mengine naya mute..Story gani ya mtaani/kijiweni uliwahi kusikia kuhusu Said Salim Awadh Bakhresa? Tushirikishe
View attachment 2627849
Na wale wakemia waliosema mchele mbovu mmoja baada mwingine...Na mi niliiskia hii
Ndo pale NMC
Hiko kiwanda cha kipawa mbona mpaka leo kipoNikijuacho Mimi,alikua na kiwanda kinatazamana na dar airport (kipawa),wakamtoa pale kama fidia wakamwamishia pale Buguruni zamani NMC
Ni school mate wake na member mwenzetu USM ALGER
Mitaa ya Bachu barabara ya kuenda kiloleni.[emoji16][emoji16][emoji16]Miaka ya 90!?..nimekula aiskrimu zake miaka ya 80 tabora!!
KWA soksi pistolAliyeona Pistol case na bullet proof window shields alike hapa[emoji23]