Uliwahi kutamkiwa neno gani baya na Mwalimu wako?

Uliwahi kutamkiwa neno gani baya na Mwalimu wako?

Baadhi ya walimu kuanzia Shule ya Awali na Msingi,Sekondari na hadi Chuo wamekuwa na tabia ya kutamkia watoto maneno makali na yenye kukatisha tamaa.

Mojawapo ya Maneno hayo ni kama “Hutaweza kufanikiwa hata siku moja”.

Wakati mwingine maneno hayo huwafanya wanafunzi kujiona wanyonge na kukata tamaa katika masomo yao na kusababisha baadhi yao kushindwa kutimiza ndoto zao.

Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi wakimaliza masomo baadhi yao hufanikiwa na kuajiriwa katika Taasisi, idara, Mashirika na sehemu nyingine kama hizo.

Walimu hufika kuhitaji msaada na kuwakuta wanafunzi wao waliowatamkia maneno makali wakitoa huduma katika sehemu hizo.

Wakati mwingine husaidiwa lakini pia wakati mwingine hukutana na Vikwazo kutokana na yale waliyoyatenda nyuma.

Walimu tujifunze tuache kuwa wakatili na kutoa kauli kali kwa Mtoto ili kesho yenu iwe Bora zaidi.
Mwenye nia hata akiambiwa utakufa kesho asubuhi bado atatimiza ndoto yake
 
Mimi sijawahi tamkiwa chochote, shule ya msingi nilikua naenda kunywa chai kwa Mwl mkuu( I was a good boy), secondary(O-level) nilikuwa Monitor(form 1-3), Advance nilikuwa waziri wa msosi.

Kiufupi maisha yangu ya shule sikuwa msumbufu
Asiye elewa msingi wa andiko atakuwa hananhata D moja 🤣
 
Baadhi ya walimu kuanzia Shule ya Awali na Msingi,Sekondari na hadi Chuo wamekuwa na tabia ya kutamkia watoto maneno makali na yenye kukatisha tamaa.

Mojawapo ya Maneno hayo ni kama “Hutaweza kufanikiwa hata siku moja”.

Wakati mwingine maneno hayo huwafanya wanafunzi kujiona wanyonge na kukata tamaa katika masomo yao na kusababisha baadhi yao kushindwa kutimiza ndoto zao.

Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi wakimaliza masomo baadhi yao hufanikiwa na kuajiriwa katika Taasisi, idara, Mashirika na sehemu nyingine kama hizo.

Walimu hufika kuhitaji msaada na kuwakuta wanafunzi wao waliowatamkia maneno makali wakitoa huduma katika sehemu hizo.

Wakati mwingine husaidiwa lakini pia wakati mwingine hukutana na Vikwazo kutokana na yale waliyoyatenda nyuma.

Walimu tujifunze tuache kuwa wakatili na kutoa kauli kali kwa Mtoto ili kesho yenu iwe Bora zaidi.
Ukiona umetamkiwa maneno makali na mwalimu ni dhahiri kabisa wewe ulikuwa msumbufu na mkorofi si bure, si wengine hata walimu tu walikuwa hawatujui kama tupo au hatupo shule
 
Baadhi ya walimu kuanzia Shule ya Awali na Msingi,Sekondari na hadi Chuo wamekuwa na tabia ya kutamkia watoto maneno makali na yenye kukatisha tamaa.

Mojawapo ya Maneno hayo ni kama “Hutaweza kufanikiwa hata siku moja”.

Wakati mwingine maneno hayo huwafanya wanafunzi kujiona wanyonge na kukata tamaa katika masomo yao na kusababisha baadhi yao kushindwa kutimiza ndoto zao.

Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi wakimaliza masomo baadhi yao hufanikiwa na kuajiriwa katika Taasisi, idara, Mashirika na sehemu nyingine kama hizo.

Walimu hufika kuhitaji msaada na kuwakuta wanafunzi wao waliowatamkia maneno makali wakitoa huduma katika sehemu hizo.

Wakati mwingine husaidiwa lakini pia wakati mwingine hukutana na Vikwazo kutokana na yale waliyoyatenda nyuma.

Walimu tujifunze tuache kuwa wakatili na kutoa kauli kali kwa Mtoto ili kesho yenu iwe Bora zaidi.
Alikua anachapa watu fimbo za mgongo ilipo fika zamu yangu nikamwaambia Mimi na matatizo ya mgongo either anichape matakoni au mikononi😊

Kakatokea kaubishani kidogo akasema sawa shika hapo nikuchape matakoni aisee akanishapa bonge la fimbo mgongoni
Nivile umechapwa fimbo ya nguvu mgongoni darasa Zima likaduwaa nilipatwa na ghadhabu MWALIMU aliliona Hilo na ningekua muhuni angechezea ngumi nikatoka zangu nje maana tungeweza kupigana na MWALIMU mule darasani..

Mwalimu akawa akija darasani anasema nitoke kwenye kipindi chake Kuna rafiki yangu mmoja akaenda kwa mwalimu kuniombea msamaha mwalimu akasema niende mwenyewe kumuomba msamaha nikajiuliza NIMWOMBE MSAMAHA KWA KOSA GANI?

Akasema sitofaulu na sitofika popote naulizia hapa ni wapi😊

Anaandika ✍️ Dr am 4 real PhD
 
Alikua anachapa watu fimbo za mgongo ilipo fika zamu yangu nikamwaambia Mimi na matatizo ya mgongo either anichape matakoni au mikononi😊

Kakatokea kaubishani kidogo akasema sawa shika hapo nikuchape matakoni aisee akanishapa bonge la fimbo mgongoni
Nivile umechapwa fimbo ya nguvu mgongoni darasa Zima likaduwaa nilipatwa na ghadhabu MWALIMU aliliona Hilo na ningekua muhuni angechezea ngumi nikatoka zangu nje maana tungeweza kupigana na MWALIMU mule darasani..

Mwalimu akawa akija darasani anasema nitoke kwenye kipindi chake Kuna rafiki yangu mmoja akaenda kwa mwalimu kuniombea msamaha mwalimu akasema niende mwenyewe kumuomba msamaha nikajiuliza NIMWOMBE MSAMAHA KWA KOSA GANI?

Akasema sitofaulu na sitofika popote naulizia hapa ni wapi😊

Anaandika ✍️ Dr am 4 real PhD
😅😅😅😅 kamsalimie please
 
Ndo maana wamedumaa kimaisha sababu ya midomo yao, mtoto wa miaka 11-15 unampaje adhabu ya kuita mvua nyakati za kiangazi! Au kuchimba kisiki akishindwa unaanza kujifanya nabii eti jambazi wewe, umeshindikana, acha waendelee kudoda
Acha kulaani walimu,ubapaswa kuwashukuru kwa kazi ngumu wanayoifanya licha ya malipo yao kuwa kidogo
 
Nilikua form 1 nikamuuliza mwalimu wa science damu ya hedhi inatoka kwa muda gani? Akanijibu kwani mimi inanitoka kwa muda gani.

Aliona nimemdhihaki kumbe mwenzake nilikua sijui kitu kweli🥲
Form 1 huwa wanasoma science?
 
Wanaotamkiwa maneno mabaya mara nyingi hufanikiwa..wakikumbuka yale maneno wanazidi kupambana.
Nakubalianaa nawee Dada!! [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mengi sana ila kwa uchache.

Mwalimu wa fizikia kidato cha 2-4
Baada ya matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha pili aliniponda mbele ya walimu wenzake kuwa.
"amebahatisha tu huyo hana akili ya kupata distinction"

Ashukuriwe Mungu aliye juu, miaka miwili iliyopita nimefanikiwa kumaliza shahada yangu bila ya supplimentary ya kozi yoyote ile enzi za ujana wangu, sa hivi nipo zangu mtaani naokota chupa za maji!
4m 2 wa 2014. Huhuhuh
 
Wakati nipo f4 madam wa civics aliniambia
“Hutafanikiwa kumaliza f4 na kufaulu”

Tulikua tunasoma na mtoto wake wa kiume na alikua mpenzi wangu na alifahamu baada ya kumaliza f4[emoji1]

Matokeo yalitoka nikafaulu mtoto wake alifeli, kasoma kwa kuunga unga lakini hajafika chuo kikuu, na nipo na mwanae mpaka leo. Mama yule wa kichagga ananionea aibu tu.[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nimechekaaa sanaaaa, Lol
 
Alituambia darasa zima kwamba ada zetu ni kama baba zetu wamechukua pesa na kuflash chooni [emoji52][emoji52][emoji52]
Darasa zima likapiga makelele na mayowe Madam akaamsha zake nje [emoji16][emoji16][emoji16] na kesi ikakuzwa mnooo
Hakutufundisha tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwalimu mmojaja alimtongoza mwanafunzi ila Kwa sababu mwanafunzi alikuwa na mtu wake aliyempenda alinkataa ticha. Ticha akaanza kumwita yule mwananafunzi ARV akimaanisha ana waya duh! maticha wa bongo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina matukio mengii ya kukumbanaa na visaa kwa Walimu.
Ila hii ndo kila nikiikumbukaa naliaaa, siwezagi kuvumilia.

Niko 4m 3, mwalimu wa Chem, alitupatia Text, sasa kwenye Alama ambazo alitupangia tufikishee, ktk kundi langu, mie pekee angu sikufikishaa.

Aliniita ofisini, akaanza kunisemaa, "umeanza kushukaa eeh, na hapo bado hawajakuharibu vizuri unaanza kupoteaa, ngoja umalize 4m 4 ukakae home kwa muda, utaharibikaa zaidi nawee nakuambiaa hutamaliza 4m 6 utaacha mwenyewee, najua akili za kwenda advance unazo, ila wee hutamaliza 4m 6, utakujaa kuniuliza siku yake"

Nilitokaa ofisinii kijasho chembamba kinatiririka kwenye shati, machozi yanalengaa, Jah sio Jonas, nikamaliza o level salama, tokeo limetoka nimepasua well, selection za advance zikatokaa na kupelekwa shule nzuri na boraa.

Miaka 2 ilienda vyedii, siku ya graduation, nililia nyie had watu wote waliokua maeneo ya tukio walikua wanashangaaa, sasa kuna somo niliitwa kwenda kupewa zawadi, km waliamsha majini, kilio nililia hicho, napokea zawadi shati limeloa chozii, had kuna maadam kajaa kunitulizaa.

Nilikua nalia na mengii jamaniii, hatimaye nikahitimu salama, nkaenda chuo na degree nkaipata, bila Sup wala carry.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Nina matukio mengii ya kukumbanaa na visaa kwa Walimu.
Ila hii ndo kila nikiikumbukaa naliaaa, siwezagi kuvumilia.

Niko 4m 3, mwalimu wa Chem, alitupatia Text, sasa kwenye Alama ambazo alitupangia tufikishee, ktk kundi langu, mie pekee angu sikufikishaa.

Aliniita ofisini, akaanza kunisemaa, "umeanza kushukaa eeh, na hapo bado hawajakuharibu vizuri unaanza kupoteaa, ngoja umalize 4m 4 ukakae home kwa muda, utaharibikaa zaidi nawee nakuambiaa hutamaliza 4m 6 utaacha mwenyewee, najua akili za kwenda advance unazo, ila wee hutamaliza 4m 6, utakujaa kuniuliza siku yake"

Nilitokaa ofisinii kijasho chembamba kinatiririka kwenye shati, machozi yanalengaa, Jah sio Jonas, nikamaliza o level salama, tokeo limetoka nimepasua well, selection za advance zikatokaa na kupelekwa shule nzuri na boraa.

Miaka 2 ilienda vyedii, siku ya graduation, nililia nyie had watu wote waliokua maeneo ya tukio walikua wanashangaaa, sasa kuna somo niliitwa kwenda kupewa zawadi, km waliamsha majini, kilio nililia hicho, napokea zawadi shati limeloa chozii, had kuna maadam kajaa kunitulizaa.

Nilikua nalia na mengii jamaniii, hatimaye nikahitimu salama, nkaenda chuo na degree nkaipata, bila Sup wala carry.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
A very touching story… pole darling

walimu wapunguze midomo asee
 
Back
Top Bottom