Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha naimwagia maji 🤣🤣Hahaha..!
Kajisemeaga zake Madame B bora ategue sufuria limwagikie huko kuliko hiyo fedheha.! Sasa sijui nawe ungeigusa bahati mbaya iporomokee.!!
kutoka rosti maini mpaka ugali dagaa..?? this world is not fair walaqhi'..![/QUOTE
Acha tu
Unamwagia maji ukiwa wapi sweetie, wakati cake yenyewe unaikuta iko high table huko..!Hahaha naimwagia maji 🤣🤣
Sitaki stress mie , nichekwe ili iweje .
Mimi huwa naomba nisikoseee maana unaumbuka mtu mzima .
Nishatupa keki ,naongea nikiwa na experience 😂
tambi ni jepesi zaidi, usitie maji mengi ule urefu wake usikudanganye.! kwa kuongeza ladha unaweza tia tangawizi na kitunguu thomu kwa mbali baada ya kuvitwanga.!Duuh maisha ya getto haya jana tu mimi nimetoa boko la tambi nimepika tambi boko boko leo ndo nakuja huku nichukue ujuz leo napika tena tambi hadi nijue ila kuharibu pishi roho inauma kinoma yanii
Haahahahaa..Nilikuwa napika sambusa ila kwa kutumia manda za dukani (Azam). Basi siku moja katika kufunga sambusa nyama ikabaki nyingi manda zimeisha nikasema leo natengeneza manda mwenyewe. Nilikuwa sijawahi na sijui kabisa.
Basi nikachukua unga wa ngano nikakanda na kusukuma chapati then nikaikata nikafunga nyama. Wakati wa kupika naona sambusa zinaumuka kama maandazi nashangaa imekuwaje ndio nakuja kujua kwamba chapati inabidi zibabuliwe kabla hazijafungwa nyama.
Mimi nilifunga chapati mbichi. Ikabidi nizifiche sambusa maandazi zangu nile mwenyewe kisirisiri hakujua mtu.