Uliwezaje kuacha punyeto? Wasaidie na wengine kuacha tabia hiyo chafu

Uliwezaje kuacha punyeto? Wasaidie na wengine kuacha tabia hiyo chafu

hot boy

Member
Joined
Jan 17, 2023
Posts
85
Reaction score
169
Hatua ya kubalehe ni mbaya kama usipokuwa na mshauri au uangalizi wa mzazi na kupitia ndoto nyevu na zile nyege za kubalehe wengi wamezama humo kwenye NYETO na mpk leo hii wengine wameshindwa kuoa wanajiridhisha wenyewe mwingine hana habari na madem yeye na sabuni.

Wapo pia madem ndo kitulizo Chao NYETO hawaoni haja ya kuwa na mwanaume anaona akijikojoza mambo yanakaa mwake.

Oya sio poa NYETO ni mbaya hebu tuambiane angalau kwa uchache tu Mana wapo watakaopona na wapo watakao acha kuingia huko, mawazo chanya yatamuokoa na hilo janga.
 
Hatua ya kubalehe ni mbaya kama usipokuwa na mshauri au uangalizi wa mzazi na kupitia ndoto nyevu na zile nyege za kubalehe wengi wamezama humo kwenye NYETO na mpk leo hii wengine wameshindwa kuoa wanajiridhisha wenyewe mwingine hana habari na madem yeye na sabuni, wapo pia madem ndo kitulizo Chao NYETO hawaoni haja ya kuwa na mwanaume anaona akijikojoza mambo yanakaa mwake. Oya sio poa NYETO ni mbaya hebu tuambiane angalau kwa uchache tu Mana wapo watakaopona na wapo watakao acha kuingia huko, mawazo chanya yatamuokoa na hilo janga.
Wape dada yako waache kupiga nyeto
 
Nilishaacha kabisa ,nilishaapa siwezi piga tena,nibora nile demu mwenye sura mbovu kwa kondomu kuliko kupiga nyeto.Kuna kipindi nilikuwa nikipiga nyeto hadi mkuyenge una vimba nikaona huu ni ujinga bora niache haya mambo ya kujichukulia sheria mkononi.
Safi kijana maisha bila nyeto inawezekana kutafuta dem pia ni nyenzo ya kuacha NYETO kama ulivyosema.
 
Hii ndo tabia ya mbongo, nakuuliza swali na we unaniuliza tena mimi kabla ya kujibu swali

Nani mwenye swali kati yangu mimi na wewe .jibu weka ndoa ujipigie unataka jibu gani utumie mafuta break ndio uwache au !
 
Nani mwenye swali kati yangu mimi na wewe .jibu weka ndoa ujipigie unataka jibu gani utumie mafuta break ndio uwache au !
Unamjibu uyo mwenye usonji utakesha umu kaka [emoji1787]
 
Back
Top Bottom