Hatua ya kubalehe ni mbaya kama usipokuwa na mshauri au uangalizi wa mzazi na kupitia ndoto nyevu na zile nyege za kubalehe wengi wamezama humo kwenye NYETO na mpk leo hii wengine wameshindwa kuoa wanajiridhisha wenyewe mwingine hana habari na madem yeye na sabuni.
Wapo pia madem ndo kitulizo Chao NYETO hawaoni haja ya kuwa na mwanaume anaona akijikojoza mambo yanakaa mwake.
Oya sio poa NYETO ni mbaya hebu tuambiane angalau kwa uchache tu Mana wapo watakaopona na wapo watakao acha kuingia huko, mawazo chanya yatamuokoa na hilo janga.
Wapo pia madem ndo kitulizo Chao NYETO hawaoni haja ya kuwa na mwanaume anaona akijikojoza mambo yanakaa mwake.
Oya sio poa NYETO ni mbaya hebu tuambiane angalau kwa uchache tu Mana wapo watakaopona na wapo watakao acha kuingia huko, mawazo chanya yatamuokoa na hilo janga.