Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,576
- 3,094
Wengi wanaopost picha za UCHI ni mapepo.Wamejaa Instagram, TikTok, Telegram, Twitter, Facebook na wengi wao ni Pepo wanawake.Wanapost picha za kuonesha matiti yakiwa wazi,mapaja wazi,magauni yanayochora matako haswa, wanavaa suruali zenye kuonesa k*ma live live BIla chenga .Ukikutana na picha zao mtandaoni usidhubutu kuangalia mara mbili maana utajikuta umeanza kujichua .Wanavaa mavazi ya kuamsha hamasa ya ngono.Wanatumia mafuta ya kiushawishi yaliyonenewa maneno ya laana na kuyapaka matitini Kisha kuacha hayo matiti wazi Kinachofuata ukiwaona hizo picha zao za kuwaonesha matiti huchomoki salama utajikuta umeenda kuchukua mafuta au sabuni na kujikanda sehemu za Siri Kwa kutumia hizo picha.Ikiwezekana tuache kutumia mitandao ya Jamii ni mitego ya shetani .
Code: