Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Haya ndo madhara ya kuacha kupiga punyetonajichekea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndo madhara ya kuacha kupiga punyetonajichekea
Kwisha habari yako last time I fap ilikua 14/2/2013 one more day to goIla Mimi nko vibaya sidhan Kama leo itaisha
Tumia formula hii inaitwa 30-DHC yaani 30 Days habit challenge. Jiwekee lengo la kutopiga nyeto kwa mwezi. huku ukiwa unarekodi mara ngapi umeweza na mara ngapi umeteleza na muda gani. Ila kumbuka cha muhimu sana,kuacha kujichua ni kuacha tabia ya zamani ili uweze kuacha unatakiwa uanze mpya ambayo ita-replace tabia ya zamaniBado naendelea na mtihani wa kutoka kwenye hiki kifungo Cha kujichua kinatesa Sana kwa kweli nimejipa saikolijia moja kila likija wazo la kujichua najichekea mwenyewe moyon na kujiambia hv unakili kweli yanI unataka ufanye ujinga huo Basi wazo linatoka
demi we hupigi nyeto??
DuhKijana bila ya kuokoka na kuwa mtu mpya ni kupoteza muda,
Utaruka kila aina ya sarakasi but utarudi pale pale
Napigademi we hupigi nyeto??
Kirahisi na namna hiyo , kama unazima switch?Mi jana nilipiga ila after kujikaza kama 2 weeks. Nataka nivuke July nisipige tena.
Hiii imeenda arif🤣Kirahisi na namna hiyo , kama unazima switch?
Na sisi tulisemaga hivyo hivyo
mwaka huu sipigi na hata wiki haikuisha
Oa mwanamke mzuri ..kwisha kazi.Hatua ya kubalehe ni mbaya kama usipokuwa na mshauri au uangalizi wa mzazi na kupitia ndoto nyevu na zile nyege za kubalehe wengi wamezama humo kwenye NYETO na mpk leo hii wengine wameshindwa kuoa wanajiridhisha wenyewe mwingine hana habari na madem yeye na sabuni.
Wapo pia madem ndo kitulizo Chao NYETO hawaoni haja ya kuwa na mwanaume anaona akijikojoza mambo yanakaa mwake.
Oya sio poa NYETO ni mbaya hebu tuambiane angalau kwa uchache tu Mana wapo watakaopona na wapo watakao acha kuingia huko, mawazo chanya yatamuokoa na hilo janga.
Leo nimefikisha cku ya nne bila kupiga punyeto najitaidi Sana nitoke kwenye huu mchezo japo imenitesa kwa miaka mingi Sana Mara kadhaa huwa najarbu kuacha nashindwa nikijitaid wiki 2 narudi Tena.
Mniombee ndugu zangu huu mchezo imeniharibu Sana na safar bado Sana hapa nlipo hz cku nne tu naona Kama mwaka huu mchezo haufai Yan umenifanya nimewahi kuzeeka adi naona aibu ata kutembea na watu wa umr wangu Yan madhara n mengi adi apa naandika kwa kujikaza tu moyo umejaa machungu makali Sana kwa ninayopitia naishi maisha ya hofu hofu tu