Uliwezaje kutatua tatizo la mchanga ukeni na mwenza wako?

Uliwezaje kutatua tatizo la mchanga ukeni na mwenza wako?

Wakuu,
Mjue hamna kitu kigumu sn Kama kukatisha penzi jipya, Kwa mtu uliemuelewa Sana, eti kisa TU changamoto za maumbile yake.

Kiukweli inaumiza mno,
Unakutana na Binti umempenda, Ila ukisex nae TU mood yote juu yake inakatika Kwa Sababu ya ya mchanga ukeni.

Unatamani labda umwambie laivu, "Una mchanga ukeni, twende ukatibiwe" , Ila nafasi inasita, Ntaanzaje kumtakia Binti WA watu maneno magumu hivyo.

Unawaza au upigie chini mahusiano Kimya kimya, siku ya kwanza TU baada ya kusex nae. Na nisimwambie kisa Ni Nini. Ila naona kiubinadami atajiskia vby Sana, Na haijakaa sawa kabisa.

Unawaza, labda utafte madawa mitandaoni au hospitalini umletee anywe tu, Ila unawaza Ntamnywesha vipi madawa na nisimwambie anakunywa ili kutibu Nini.

HEBU WAKUU MLIOFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII.

NAMBIENI MLIWEZAJE KUSHAURIANA NA WENZI WENU KTK KULITATUA HILI

NAMBIENI pia MAPOKEO na MATOKEO yalikuwaje Kwa pande zote mbili.

Nawasilisha🙏🙏
Acha uzinifu mkuu. Wewe tayari una mke. Kuna magonjwa ya zinaa utaambukizwa
 
That's VAGINAL DRYNESS. Mkuu mfanyie ratiba ya kula zaidi mboga kama BAMIA, mrenda, nyanya chungu, biringanya, avocado's, banana something like this after two or three weeks kitu itakuwa very smooth 😂
Mkuu,Hamna tiba ya Moja Kwa Moja Kama vidonge, sindano n.k?
 
Wakuu,
Mjue hamna kitu kigumu sn Kama kukatisha penzi jipya, Kwa mtu uliemuelewa Sana, eti kisa TU changamoto za maumbile yake.

Kiukweli inaumiza mno,
Unakutana na Binti umempenda, Ila ukisex nae TU mood yote juu yake inakatika Kwa Sababu ya ya mchanga ukeni.

Unatamani labda umwambie laivu, "Una mchanga ukeni, twende ukatibiwe" , Ila nafasi inasita, Ntaanzaje kumtakia Binti WA watu maneno magumu hivyo.

Unawaza au upigie chini mahusiano Kimya kimya, siku ya kwanza TU baada ya kusex nae. Na nisimwambie kisa Ni Nini. Ila naona kiubinadami atajiskia vby Sana, Na haijakaa sawa kabisa.

Unawaza, labda utafte madawa mitandaoni au hospitalini umletee anywe tu, Ila unawaza Ntamnywesha vipi madawa na nisimwambie anakunywa ili kutibu Nini.

HEBU WAKUU MLIOFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII.

NAMBIENI MLIWEZAJE KUSHAURIANA NA WENZI WENU KTK KULITATUA HILI

NAMBIENI pia MAPOKEO na MATOKEO yalikuwaje Kwa pande zote mbili.

Nawasilisha🙏🙏
Watu mnaishi na vifaa vya ujenzi na hamsemi ,
 
Back
Top Bottom