Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo unahisi kama umeingiza kwene shimo la ardhini tu maana mikwaruzo ya mchanga kama yooteNi hatari mkuu, raha yote ya sex inakata kabisa Kwa Yale maumivu
Kwani mnataka kuoana? Kama hamna malengo ya kuoana si mmeshafanya tayari muachane sasa🙄🤒Unawaza au upigie chini mahusiano Kimya kimya, siku ya kwanza TU baada ya kusex nae. Na nisimwambie kisa Ni Nini. Ila naona kiubinadami atajiskia vby Sana, Na haijakaa sawa kabisa.
Si ndio maana kuna mafuta mkuu, ili ku-rubricate the so called dry pussymwanamke kuwa na tatizo la uke mkavu.
Nilijua nimesikia Vyote, mchanga? Mshangazi dot com nieleweshe mimi SijaelewaWakuu,
Mjue hamna kitu kigumu sn Kama kukatisha penzi jipya, Kwa mtu uliemuelewa Sana, eti kisa TU changamoto za maumbile yake.
Kiukweli inaumiza mno,
Unakutana na Binti umempenda, Ila ukisex nae TU mood yote juu yake inakatika Kwa Sababu ya ya mchanga ukeni.
Unatamani labda umwambie laivu, "Una mchanga ukeni, twende ukatibiwe" , Ila nafasi inasita, Ntaanzaje kumtakia Binti WA watu maneno magumu hivyo.
Unawaza au upigie chini mahusiano Kimya kimya, siku ya kwanza TU baada ya kusex nae. Na nisimwambie kisa Ni Nini. Ila naona kiubinadami atajiskia vby Sana, Na haijakaa sawa kabisa.
Unawaza, labda utafte madawa mitandaoni au hospitalini umletee anywe tu, Ila unawaza Ntamnywesha vipi madawa na nisimwambie anakunywa ili kutibu Nini.
HEBU WAKUU MLIOFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII.
NAMBIENI MLIWEZAJE KUSHAURIANA NA WENZI WENU KTK KULITATUA HILI
NAMBIENI pia MAPOKEO na MATOKEO yalikuwaje Kwa pande zote mbili.
Nawasilisha🙏🙏
😀😀😀😀😀 akiii hadi ukajitukana huo muda bora ungeutumia na mam G wako hata kwa style moja hiyo hiyoNa bahat mbyBinti mwnyw anayajua mauno, anayakata akwoneshee ufundi wake, asijue kumbe ndo anazd kukuumiza
Rafiki wa kweli ni yule ambaye hakufumbii macho wala kukupaka mafuta. Umeshajua pisi inachangamoto yenyewe yawezekana haitambui hio changamoto sasa ni wajibu wako kumsaidia achukie asichukie ila wewe utakuwa umeshamsaidia kiroho safi.Hapo namwandaaje ili asijihisj namnyanyapaa
Mkuu hakikisha unamwandaa vizuri before, ila ya kupump tu bila maandalizi inaweza kuwa sababuNa bahat mbyBinti mwnyw anayajua mauno, anayakata akwoneshee ufundi wake, asijue kumbe ndo anazd kukuumiza
Hata sisi mashangazi hili hatujawahi kukutana nalo wala kulisikia, mchanga tena 😳Wakuu,
Mjue hamna kitu kigumu sn Kama kukatisha penzi jipya, Kwa mtu uliemuelewa Sana, eti kisa TU changamoto za maumbile yake.
Kiukweli inaumiza mno,
Unakutana na Binti umempenda, Ila ukisex nae TU mood yote juu yake inakatika Kwa Sababu ya ya mchanga ukeni.
Unatamani labda umwambie laivu, "Una mchanga ukeni, twende ukatibiwe" , Ila nafasi inasita, Ntaanzaje kumtakia Binti WA watu maneno magumu hivyo.
Unawaza au upigie chini mahusiano Kimya kimya, siku ya kwanza TU baada ya kusex nae. Na nisimwambie kisa Ni Nini. Ila naona kiubinadami atajiskia vby Sana, Na haijakaa sawa kabisa.
Unawaza, labda utafte madawa mitandaoni au hospitalini umletee anywe tu, Ila unawaza Ntamnywesha vipi madawa na nisimwambie anakunywa ili kutibu Nini.
HEBU WAKUU MLIOFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII.
NAMBIENI MLIWEZAJE KUSHAURIANA NA WENZI WENU KTK KULITATUA HILI
NAMBIENI pia MAPOKEO na MATOKEO yalikuwaje Kwa pande zote mbili.
Nawasilisha🙏🙏
Mwanamke anayetumia hivyo vilaini fangasi yake na PID huwa ni ya moto sana,hasa ukizingatia Udhibiti wa bidhaa feki ni hafifu mno kwa bara letu la Africa.Si ndio maana kuna mafuta mkuu, ili ku-rubricate the so called dry pussy
Wewe utakutana nalo ukiwa unafanya nini?Hata sisi mashangazi hili hatujawahi kukutana na hili, mchanga tena 😳
View attachment 3246710
Mimi nakutanaga tu na golori na sio mchanga na sioni kama ni tatizoMim niliwah kusikia mchanga ila nazan ukihis mchanga ujue umechubuka kwenye ubo 0,
Mimi kitu ambacho niliwah kukihis kwenye k za baadhi ya wadada ni kuhis kama kuna kijiti humo ndan kuna muda ukipeleka ndan sana unakigusa