Uliwezaje kutatua tatizo la mchanga ukeni na mwenza wako?

Uliwezaje kutatua tatizo la mchanga ukeni na mwenza wako?

Kama umempenda kweli kama unavosema mwambie kiupole na kiustaraabu then muende hospital akatibiwe
 
Wakuu,
Mjue hamna kitu kigumu sn Kama kukatisha penzi jipya, Kwa mtu uliemuelewa Sana, eti kisa TU changamoto za maumbile yake.

Kiukweli inaumiza mno,
Unakutana na Binti umempenda, Ila ukisex nae TU mood yote juu yake inakatika Kwa Sababu ya ya mchanga ukeni.

Unatamani labda umwambie laivu, "Una mchanga ukeni, twende ukatibiwe" , Ila nafasi inasita, Ntaanzaje kumtakia Binti WA watu maneno magumu hivyo.

Unawaza au upigie chini mahusiano Kimya kimya, siku ya kwanza TU baada ya kusex nae. Na nisimwambie kisa Ni Nini. Ila naona kiubinadami atajiskia vby Sana, Na haijakaa sawa kabisa.

Unawaza, labda utafte madawa mitandaoni au hospitalini umletee anywe tu, Ila unawaza Ntamnywesha vipi madawa na nisimwambie anakunywa ili kutibu Nini.

HEBU WAKUU MLIOFANIKIWA KUTATUA CHANGAMOTO HII.

NAMBIENI MLIWEZAJE KUSHAURIANA NA WENZI WENU KTK KULITATUA HILI

NAMBIENI pia MAPOKEO na MATOKEO yalikuwaje Kwa pande zote mbili.

Nawasilisha🙏🙏
Mchanga hupi? Tipa moja huku kwetu la ujazo 2.5meter za ujazo ni 60,000/= piga pesa mkuu
 
Huo ni ukavu ukeni, nishakutana na baadhi ya mbunye ambazo ni kaukau sema nyingi huwa zinakuwa na fungus infection ndio hupelekea **** kuwa kama msasa.
Assumption Ni nyingi Sana mkuu, Kuna wanaosema
1. Inasababishwa na vipipi utamu wanavyopachika uko chini.

2. Inasababishwa na kujiswafi Kwa kutumia maji chumvi pamoja na sabuni za magadi uko chini

3. Matumizi ya energy drinks uliopita kiasi kwa wanawake, hasa wanapokaribia Menstruation period.

4. Magonjwa ya zinaa kutotibiwa Kwa MDA mrefu

5. Kuweka manukato chini Yale ya vipunje punje.

N.k
 
Mtawa wa mchongo😅👇
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaofanya ngono wanakutana na magumu mengi, na bado hawakomi.

Bora niendelee kuwa mtawa.
 

Attachments

  • IMG_20250216_204257.jpg
    IMG_20250216_204257.jpg
    98.1 KB · Views: 1
Just when I thought I have heard it all, kumbe kuna mpaka mchanga wa papuchi🤣🤣
 
Back
Top Bottom