Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na dem wa watu hadi ukutane na tofali ndo uelewe???Hata sijui unafananaje mkuu,
Ila nikiingiza ndo nauskia unavoscratch balaa
Mwenyewe huwa nasemaga hivyo ila kibubu kikijaa akili haifanyi kazi kabisa😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaofanya ngono wanakutana na magumu mengi, na bado hawakomi.
Bora niendelee kuwa mtawa.
Kama anakupenda ana nia atakusikilizaMiaka hiyo ya ujanani, Kuna mmoja WA kisamaki, nilimweleza Kwa upole, Ila uligeuka ugomvi tukaachana
Wee em sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtawa wa mchongo[emoji28][emoji116]
Aiseee...sijapata kuona, nilikuwa napata maumivu hadi najiuliza kwenye kibox manyoya ya huyu ndugu yangu ameweka vitu gani?Ni hivyo hivyo ulivoelezea, uume unauma Balaa utadhani ulkua unapigwa msasa
Aaaah wapiii! Unajiendekeza wee! LOLMwenyewe huwa nasemaga hivyo ila kibubu kikijaa akili haifanyi kazi kabisa[emoji16]
Dunia ina mengi, hakika hatuwezi kujua yote.Singida na Dodoma nadhn wanapatikana sana kule,
Kuna Uzi flan nmeusahau jina humu mmu, wengi sana wametoa shuhuda zao tokea pande hizo
Utaugundua chap maana Ile rababendi yake itatepeta mapema sn, na inakua inavutika Mara Kwa Mara ili kubakia Ndani, ukizubaa unajikuta ishavuka na iko Ndani ya K.Ukivaa ndomu au ukatumia KY hua mchanga utaufeel?
Unajitahidi sana kupotezea muda mabinti za watu na kuwaanika jf ..sadKuna kinamna flan hivi nmemwelewa for long term use
Kwahiyo wanaosema nyama ni ileile bado hawajatembea.Zipo naungana na mtoa mada kabisa,zipo taste za tofauti tofauti kuna nyingine zinaleta mudi na nyingine zinakata mudi kabisa😆😆