dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,736
- 2,699
- Thread starter
-
- #61
Anaweza kusoma Diploma in Primary Teacher Education au akasoma Diploma in Early Childhood EducationMwalimu ngazi ya cheti anaweza kusoma diploma IPI?
Ada inalipwa kwa units Za kila kozimsc finance and accountancy ni shs ngapi kwa kozi
Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna shida sehemu inawezekana OUT kuna changamoto lakini nyingi ya changamoto huwa ni kwa mwanafunzi mwenyewe.Open elimu yao ngumu sana. Na ugumu unaletwa na wao wenyewe kujifanya wajuaji. Kama hutaki usumbufu na kurudiarudia mara 100 kusoma convertional university kuliko Chuo Kikuu Huria. Conversion (kama mzumbe au Udom au UDSM) una uhakika wa kusoma degree miaka mitatu na kumaliza chuo na degree yako mkononi, Open unaweza kusoma miaka 7 na ukaambulia patupu( Ninaweza kusema kumaliza open university ni kama bahati) Kati ya wanafunzi 10. 8 wamekata tamaa kabisa na hawana hamu ya kumshawishi au kumshauri mtu kujiunga na chuo kikuu hiki.
Mbovu zaidi inayowakatisha tamaa wanafunzi wake ni kwamba wanasoma kama vipofu na kwa kubahatisha sana.
Toka alipotoka Mkuu wa chuo msaidizi Prof. Mwete. Huyu wa sasa kakiharibu sana chuo.
HAWAJUI kwamba lengo la mwanachuo ni kujifunza, kuelewa na kufafaulu mitihani.
Wanachuo wakifeli haiwasumbui wala haiwapi shida.
Mfumo wa kupima wanafunzi katika mitihani ni wa kikatili sana, mfano mtihani wote wa kumaliza end semester unaweza kutoka katika topic/lecture moja tena inaweza kuwa kipengele kimoja au viwili. tofauti kabisa na vyuo vingine tulivyosoma.
Hawafundishi kitu chochote kwa mfumo wao. Kila kitu unajitafutia mwenyewe.
Maswali katika mitihani yao mpaka uki gooole ndiyo unapata majibu yake. Ni migumu kupindukia.
Open wajirekebishe wanafunzi wanaosoma sasa wamekata tamaa kabisa.
Open ni moja ya vyuo vyenye wanafunzi wengi kabisa labda zaid ya 30,000. lakini idadi imeporomoka kwa kasi sana kutokana na kupandisha gharama zao na karibia zinafanana na vyuo vya kawaida.
Walimu wao ni majeuri kweli!
Open isipo badirika kwa maana ya kumfanya Mwanachuo kupata elimu bora, Ujuzi na kufaulu masomo yao ipo siku watabaki na wanachuo 200.
Ndio mkuuAliesoma OFP anaruhusiwa kuomba chuo chotechote??
.... Tatizo kubwa ni kutokua na commitment na mfumo wa ODL kutoeleweka vizuri na wengi huku dunia ya tatu.
...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nmepiga LLB hapo miaka mitatu tu.Open pako poa tu.Open elimu yao ngumu sana. Na ugumu unaletwa na wao wenyewe kujifanya wajuaji. Kama hutaki usumbufu na kurudiarudia mara 100 kusoma convertional university kuliko Chuo Kikuu Huria. Conversion (kama mzumbe au Udom au UDSM) una uhakika wa kusoma degree miaka mitatu na kumaliza chuo na degree yako mkononi, Open unaweza kusoma miaka 7 na ukaambulia patupu( Ninaweza kusema kumaliza open university ni kama bahati) Kati ya wanafunzi 10. 8 wamekata tamaa kabisa na hawana hamu ya kumshawishi au kumshauri mtu kujiunga na chuo kikuu hiki.
Mbovu zaidi inayowakatisha tamaa wanafunzi wake ni kwamba wanasoma kama vipofu na kwa kubahatisha sana.
Toka alipotoka Mkuu wa chuo msaidizi Prof. Mwete. Huyu wa sasa kakiharibu sana chuo.
HAWAJUI kwamba lengo la mwanachuo ni kujifunza, kuelewa na kufafaulu mitihani.
Wanachuo wakifeli haiwasumbui wala haiwapi shida.
Mfumo wa kupima wanafunzi katika mitihani ni wa kikatili sana, mfano mtihani wote wa kumaliza end semester unaweza kutoka katika topic/lecture moja tena inaweza kuwa kipengele kimoja au viwili. tofauti kabisa na vyuo vingine tulivyosoma.
Hawafundishi kitu chochote kwa mfumo wao. Kila kitu unajitafutia mwenyewe.
Maswali katika mitihani yao mpaka uki gooole ndiyo unapata majibu yake. Ni migumu kupindukia.
Open wajirekebishe wanafunzi wanaosoma sasa wamekata tamaa kabisa.
Open ni moja ya vyuo vyenye wanafunzi wengi kabisa labda zaid ya 30,000. lakini idadi imeporomoka kwa kasi sana kutokana na kupandisha gharama zao na karibia zinafanana na vyuo vya kawaida.
Walimu wao ni majeuri kweli!
Open isipo badirika kwa maana ya kumfanya Mwanachuo kupata elimu bora, Ujuzi na kufaulu masomo yao ipo siku watabaki na wanachuo 200.
Kwa level Gani?Wana JF naomba mnisaidie kuhusu ili
Naomba mniambie qualification za kusoma koz hizi
>Business administration
>Procurement and supply
>Procurement and logistics
Na kozi nyingine za biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio anaruhusiwaAliesoma OFP anaruhusiwa kuomba chuo chotechote??
Habari Mkuu dindilichuma , Naomba kujua:-
1. Ikiwa mtu anataka kusoma PhD hapo OUT entry qualification zipi anatakiwa kuwa nazo?
2. Ada kwa PhD ni shilingi ngapi?
3.Muda wa kozi katika PhD (Maximum) ni miaka mingapi?
Ahsante
Kwa kids to cha nne unapaswa kuwa na pass kunzia nne(D na kuendelea nne) au credit tatu (C nakuendllelea)
Kwa kids to cha nne unapaswa kuwa na pass kunzia nne(D na kuendelea nne) au credit tatu (C nakuendllelea)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kitu ni kukomaaNatamani sana kusoma OuT hila nasikia hadi uje umalize umekesha sana
Sent using Jamii Forums mobile app