Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania


Habari Mkuu dindilichuma , Naomba kujua:-
1. Ikiwa mtu anataka kusoma PhD hapo OUT entry qualification zipi anatakiwa kuwa nazo?
2. Ada kwa PhD ni shilingi ngapi?
3.Muda wa kozi katika PhD (Maximum) ni miaka mingapi?

Ahsante
 
Wana JF naomba mnisaidie kuhusu ili

Naomba mniambie qualification za kusoma koz hizi
>Business administration
>Procurement and supply
>Procurement and logistics

Na kozi nyingine za biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna shida sehemu inawezekana OUT kuna changamoto lakini nyingi ya changamoto huwa ni kwa mwanafunzi mwenyewe.
Shida inakuja nikwamba kwa OUT Lazima usome hauwezi kupata mtihani au kuonana na mwalimu muongee ufaulu ikiwa Hauna uwezo.

Wanafunzi hawawezi kufaulu wote hata iweje. Tatizo kubwa ni kutokua na commitment na mfumo wa ODL kutoeleweka vizuri na wengi huku dunia ya tatu.

Kwa mtu akiyeserious anamaliza shahada ndani ya Miaka miwili na wapo waliomaliza na kuna wanafunzi wanachelewa kumaliza huo ni uamuzi wa msomaji mwenyewe. Inawezekana uwezo wake kuelewa mambo ni mdogo, hana muda wa kusoma, uwezo wakulipa ada mdogo pia kuuelewa mfumo vizuri wa usomaji.

OUT ipo vizuri Sana kwa tuliosoma na kuwa serious na kumaliza kwa wakati huku shughuli zetu zikiendelea bila Athari.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliesoma OFP anaruhusiwa kuomba chuo chotechote??
 
Nipo nachukua public admnistration out ila mpka kuzoea mazingira na mfumo mzima wa kujisomea inachukua muda kidogo bila hvyo unawez jikuta degree unasoma miaka 9

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nmepiga LLB hapo miaka mitatu tu.Open pako poa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PHD ni kwa aliyemaliza masters
Gharama payable direct kwa university ni 6,500,000
Time ni 3-5 yrs
Habari Mkuu dindilichuma , Naomba kujua:-
1. Ikiwa mtu anataka kusoma PhD hapo OUT entry qualification zipi anatakiwa kuwa nazo?
2. Ada kwa PhD ni shilingi ngapi?
3.Muda wa kozi katika PhD (Maximum) ni miaka mingapi?

Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulipia mitihan ya mwez wa tano ya annual ya OFP mwisho lin????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…