Kitandu Nkoru
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 885
- 973
@dindilichuma,mkuu naomba kujua kama kuna kozi BSc general na content zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma dipoma ya mining engineer naweza soma bachelors ya nini apo kwenu?Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.
Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)
Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.
Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).
Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
IT ipo mkuuNimesoma dipoma ya mining engineer naweza soma bachelors ya nini apo kwenu?
Je mna IT
Ipo BSC general@dindilichuma,mkuu naomba kujua kama kuna kozi BSc general na content zake
Ikiwa diploma nimesoma mining naweza ruhusiwaa?
Hapana IT hautaweza kusoma kutoka Mining Engineering.Ikiwa diploma nimesoma mining naweza ruhusiwaa?
GPA ya 2.6 inakuaje
sidhan kama huo mziki wa degree mbili utauweza kwa sabab mziki wa degree moja wenyewe sio mchezoInawezekana kusoma degree mbili kwa wakati mmoja
Sio rahisi kama unavyodhaniNikipiga mzinga form six (wa bahati mbaya) naruhusiwa kujiunga na chuo kikuu huria?
Huwezi kusoma degree mbili kwa wakati mmoja kwani TCU hawawezi kukuadmit more than one programme.Inawezekana kusoma degree mbili kwa wakati mmoja
Kujiunga OUT Lazima uwe na sifa zinazotakiwa na TCU.Nikipiga mzinga form six (wa bahati mbaya) naruhusiwa kujiunga na chuo kikuu huria?
Hautaweza kupata nafasi kuendelea na Degree chuo chochote Kama hujafikia minimum qualifications zinazotolewa na TCU.Nikiwa na G.P.A ndogo ya Diploma kutoka moja chuo kinachotambulika na T.C.U nawezaje kupata nafasi ya kusoma kuendelea na Degree , Msaada tafadhali....
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Application za Masters zinaendelea, Unaweza kuomba kwa kujaza fomu kisha unascan na vyeti unatuma au unaipeleka kituo chochote cha OUT kilicho Karibu.Muda wa kufanya udahili kwa level ya Masters ni mwezi gani?
Nimetuma maombi kutumia SARIS sasa kuna haja ya kujaza tena hiyo form manual na kuscan na kuituma na vyeti?Application za Masters zinaendelea, Unaweza kuomba kwa kujaza fomu kisha unascan na vyeti unatuma au unaipeleka kituo chochote cha OUT kilicho Karibu.
Maana maelezo yote yaliyokupo kwenye form ndy niliyoyajaza kwenye system ya SARIS mkuu.Application za Masters zinaendelea, Unaweza kuomba kwa kujaza fomu kisha unascan na vyeti unatuma au unaipeleka kituo chochote cha OUT kilicho Karibu.