Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

Udahili umeanza, Chuo Kikuu Huria Tanzania na vyuo vingine hapa nchini.

Tuna chuo kimoja hapa nchini na Afrika Mashariki kwa ujumla kinachotoa elimu wazi na Masafa(Open and distance learning)

Serikali ilianzisha chuo hiki kwa sheria ya bunge namba 17 ya mwaka 1992. Hii ilikua kuwapa fursa wafanyakazi na watu wenye majukumu yanayowafanya washindwe kwenda conventional university, hivyo kujikuta mahitaji yao ya kujiendeleza kielimu yakishindwa kufikiwa.

Kwa mwaka huu wa masomo udahili utakua ni bure.
Ingia tovuti ya chuo www.out.ac.tz na ufanye online application. Unahitaji kuwa na soft copy ya vyeti na picha(passport size moja).

Kwa tuliosoma na kufanikiwa tujitahidi wenzetu pia ambao wanauhitaji, kuwatangazia waweze kuitumia fursa hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma dipoma ya mining engineer naweza soma bachelors ya nini apo kwenu?
Je mna IT
 
Nikipiga mzinga form six (wa bahati mbaya) naruhusiwa kujiunga na chuo kikuu huria?
 
Nikiwa na G.P.A ndogo ya Diploma kutoka moja chuo kinachotambulika na T.C.U nawezaje kupata nafasi ya kusoma kuendelea na Degree , Msaada tafadhali....

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Hautaweza kupata nafasi kuendelea na Degree chuo chochote Kama hujafikia minimum qualifications zinazotolewa na TCU.
Labda Utaweza kuomba OUT usome foundation programme Kwanza ndipo uendelee na Degree.
 
Muda wa kufanya udahili kwa level ya Masters ni mwezi gani?
Application za Masters zinaendelea, Unaweza kuomba kwa kujaza fomu kisha unascan na vyeti unatuma au unaipeleka kituo chochote cha OUT kilicho Karibu.
 
Application za Masters zinaendelea, Unaweza kuomba kwa kujaza fomu kisha unascan na vyeti unatuma au unaipeleka kituo chochote cha OUT kilicho Karibu.
Nimetuma maombi kutumia SARIS sasa kuna haja ya kujaza tena hiyo form manual na kuscan na kuituma na vyeti?
 
Application za Masters zinaendelea, Unaweza kuomba kwa kujaza fomu kisha unascan na vyeti unatuma au unaipeleka kituo chochote cha OUT kilicho Karibu.
Maana maelezo yote yaliyokupo kwenye form ndy niliyoyajaza kwenye system ya SARIS mkuu.
 
Back
Top Bottom