benjamin kayombo
Member
- May 29, 2020
- 31
- 23
Nna 2.8 diploma vipi nawaza kujiunga au altenative yakufika huko vp
piga foundation miez 6 utaruhusiwa soma degree chuo chchte kile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nna 2.8 diploma vipi nawaza kujiunga au altenative yakufika huko vp
Naona Tatizo hilo lilishashughulikiwa
Malipo kwa masters ni kiasi gani???Application za Masters zinaendelea, Unaweza kuomba kwa kujaza fomu kisha unascan na vyeti unatuma au unaipeleka kituo chochote cha OUT kilicho Karibu.
Kwa uhakika nakushauri ujaze fomu ya maombiNimetuma maombi kutumia SARIS sasa kuna haja ya kujaza tena hiyo form manual na kuscan na kuituma na vyeti?
180,000 kwa unitMalipo kwa masters ni kiasi gani???
Haipo physical EducationHapo mnatia course ya physical education kwa level ya barchalor
Daaaah yaan wee bhana khaaah lol, hebu mpe moyo mwenziodah 0.2 imekufanya unahaha elimu ya bongo pasua kichwa sana...
Nimetumiwa Email kuwa nimechaguliwa kwa Masters nisubiri majina yatoke kwenye website ya chuo then nikareport kwa usajili na orientation. Je mkuu kuna haja ya kujaza hiyo form maually?Kwa uhakika nakushauri ujaze fomu ya maombi
Mkuu nimekupm kitambo naomba uchekiKwa uhakika nakushauri ujaze fomu ya maombi
Hakuna haja ya kujaza tena application form,utapaswa kujaza form ya usajili tu na kuipeleka ofisi husika.Nimetumiwa Email kuwa nimechaguliwa kwa Masters nisubiri majina yatoke kwenye website ya chuo then nikareport kwa usajili na orientation. Je mkuu kuna haja ya kujaza hiyo form maually?
Elimu ya OUT ni kama elimu ya chuo kingine chochote kinachotambuliwa na TCU. tofauti ni mifumo ya usomaji tu na huku dunia ya tatu hatujazoea kusoma mpaka kuwe na vipindi vya face to face.natamani kusoma masters OUT sababu ya kazi yangu kunibana na kozi ninayotaka kusoma huku mkoa nilipo ni lazima nisome full time,sasa swali langu hapa je nikisoma OUT,kweli waajiri wanairespect elimu ya huko ?
Ijaze fomu uattach na picha uende kituo cha Karibu cha OUT utapewa maelekezo nini kinafuataNimetumiwa Email kuwa nimechaguliwa kwa Masters nisubiri majina yatoke kwenye website ya chuo then nikareport kwa usajili na orientation. Je mkuu kuna haja ya kujaza hiyo form maually?
Nimerespond mkuuMkuu nimekupm kitambo naomba ucheki
Foundation programme mwanafunzi anasoma kozi 6Mbona nimeambiwa foundation course out ni 80,000 kwa somo 1? Wakat wengine mnasema 60?
Njoo PM tushauriane zaidi nipate wasaa wakukuuliza baadhi ya maswali muhimu wakati wa kuchagua kozi ya kusoma.CBG na English naweza soma coz gan nzur out ya diploma?