Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Hapo sawaa..Ipo hewani tu ila alinunua mtu mwingine, Kagasheki aliuza....sijuhi wanasiasa hela huwa wanapeleka wapi, speed yao ya kuiba huwa ni Sawa na speed ya hela kuwaishia!
Kwanini vitanda kwenye guest house lodgings na mahoteli vimewekewa waterproof sheetsLeo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Nitajibu kila swali leo
- Uchumi
- Wakazi na Makazi
- Historia
- Makabila
- Fursa za Uchumi
- Hali ya hewa
- Mahusiano n.k
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
- Bukoba manispaa
- Karagwe
- Ngara
- Biharamlo
- Muleba
- Kyerwa
- Misenyi
- Bukoba vijijini
Akikujibu ni TAG 🏃🏃Kwanini vitanda kwenye guest house lodgings na mahotelo vimewekewa waterproof sheets
Hizo habari zipo
Ila sijawi kuthibitisha
Nasikia ukienda visiwa vya Goziba ovyo umekwish
Mh. Ndo niliko mpaka sasa. Hizo habari huwa nazisikia kuwa ni bugabo maeneo ya buzi ila nishawahi fika kule nikaona ni uzushi tuHizo habari zipo
Ila sijawi kuthibitisha
Nasikia ukienda visiwa vya Goziba ovyo umekwisha
Vipi kaka kabalima na kablangeti yana patikana ukoMaharage yapo mengi
Sijakuelewa vizurHayo yapon
Sijakuelewa vizuriHayo yapon
Wahaya mkuu.. delicious n' cheap, hata buku unapata, kukesha 2000 ila usubiri ale vichwa kwanzaWe ubandani unafataga nini?
Uliahidi kujibu maswali ya kwenu Kagera, vipi unani entetrogate tena? Mhaya hana mteja maalum, ukimpa rubisi tu imo!Wewe mteja wao kabila gani?
Nenda kayanywe sasa,pumbavu!Ila wa huko wana maji mengi mpaka yanatirirrika au nimepigwa kamba?
Nenda ukayanywe,upate majibu!Kwa nini wanawake wenu wanarusha sana maji?
Nenda kayanywe sasa