Uliza chochote kuhusu mkoa wa Kagera, nitajibu kila swali

Uliza chochote kuhusu mkoa wa Kagera, nitajibu kila swali

Mkoa wetu umasikini sana ingawa vyakula ni bwelele,shida mzunguko wa pesa.Kagera ni kama mikoa ya nyanda ya juu kusini ,mazao yanayolimwa huko hata kagera yanastawi pia.
Shida logistics hazitupi favour kabisa ,nilienda likizo na mama watoto nyumbani tukaenda sokoni akashangaa 10k tumejaza mazaga ya kutosha ,wakati mjini hyo pesa ni 1kg ya nyama tu
 
Duh umenikumbusha nimesoma bk duh bukoba is beautiful

Hali ya hewa maji upatikanaji wa huduma zote muhimu

Bukoba, musoma, kilimanjaro,mbeya, lushoto rukwa beautiful Sana
 
Kila mwanamke wa Kagera niliyetoka nae anatoa chemchemi. Hivi wanafundishwa jandoni au Ni vipi? Mbona wa huku kaskazini hata usugue na dole au ulimi hupati hata kijiko kimoja?
 
Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
  • Uchumi
  • Wakazi na Makazi
  • Historia
  • Makabila
  • Fursa za Uchumi
  • Hali ya hewa
  • Mahusiano n.k
Nitajibu kila swali leo

Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
  • Bukoba manispaa
  • Karagwe
  • Ngara
  • Biharamlo
  • Muleba
  • Kyerwa
  • Misenyi
  • Bukoba vijijini

Wakati mv bukoba inazama, nani alikuwa nahodha wa meli hiyo?
 
Bukoba_ hapa panafaa na biashara ya uvuvi na usafirishaji
Bukoba imepakana na ziwa Victoria
Bukoba hapafai Kwa kilimo wana ardhi m
baya mno, usiwekeze ktk kilimo bukoba

Karagwe na Kyerwa_ hizi ndo wilaya Mungu alizibariki wana ardhi yenye rutuba, vyakula vipo, zao la kahawa, madini,utalii, uvuvi n.k

Ngara, huku tuna border mbili ya Rusumo kuingia Rwanda na Kabanga kuingia Burundi
Kuna ardhi yenye rutuba, tuna mazao hadi hayana wanunuzi
Kuna madini ya nikel
Ngara ina umasikini mkubwa Kwa mtu mmoja

Biharamlo
Sio sehemu nzuri Kwa kilimo, labda ufugaji
Biharamlo ni Moja ya sehemu duni sana
Sikushauri kuishi Biharamlo
Labda uwindaji ambao ni haramu na kurina asali

Misenyi
Sio sehemu nzuri pia ya kuishi
Kilimo cha migoba Kwa kiasi
Kuna njaa
Kuna border ya Mtukula kuingia Uganda ndo fursa pekee iliyopo labda na kilimo cha miwa

Muleba
Hii ni sehemu iliyo barikiwa sana
Shughuli za uvuvi zipo
Kilimo wana ardhi nzuri
Uchumi uku vizuri
Tatizo la muleba ni miundo mbinu hasa barabara Kuna sehemu unaweza kutumia hata 40,000 kufika mjini
Wilaya ya Misenyi uifahamu vuzuri maana inazo fursa kibao ikiwemo mabonde yanayofaa kwa kilimo cha miwa na mpunga, miwa bustani kama matunda na mboga mboga. Pia wilaya hii imepana na ziwa Victoria hivyo kuna fursa ya shughuli za uvuvi na ufugaji wa samaki katika vizimba.

Pia wilaya hii inapakana na nchi ya Uganda kupitia mipaka ya Mutukula na Kanyigo ambapo fursa za kufanya biashara zitapatikana. Pia kuna mashamba ya kilimo cha miti ya mbao na nguzo na hata madini ya chokaa nk.

Tatizo kubwa la jamii ya wilaya ya Misenyi na hata wilaya nyingine za mkoa wa Kagera ni kutokupenda mabadiliko. Wenyeji wa kule wanahitaji sana kuelimishwa juu ya matumizi ya fursa zilizopo na manufaa yatokanayo na fursa hizo ili waachane na kuishi kwa mazoea.
 
Wilaya ya Misenyi uifahamu vuzuri maana inazo fursa kibao ikiwemo mabonde yanayofaa kwa kilimo cha miwa na mpunga, miwa bustani kama matunda na mboga mboga. Pia wilaya hii imepana na ziwa Victoria hivyo kuna fursa ya shughuli za uvuvi na ufugaji wa samaki katika vizimba.

Pia wilaya hii inapakana na nchi ya Uganda kupitia mipaka ya Mutukula na Kanyigo ambapo fursa za kufanya biashara zitapatikana. Pia kuna mashamba ya kilimo cha miti ya mbao na nguzo na hata madini ya chokaa nk.

Tatizo kubwa la jamii ya wilaya ya Misenyi na hata wilaya nyingine za mkoa wa Kagera ni kutokupenda mabadiliko. Wenyeji wa kule wanahitaji sana kuelimishwa juu ya matumizi ya fursa zilizopo na manufaa yatokanayo na fursa hizo ili waachane na kuishi kwa mazoea.
Naheshimu mawazo yako mkuu
 
Back
Top Bottom