Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya wanyambo na wahangaza ni wepi wenye muonekano mzuri? Na ni wepi kuna wife material wengi?Hakika Karagwe na Kyerwa Kuna wasichana warembo mno
Hii ni kutokana na kabila la wanyambo ambao wako huko kuwa mchanganyiko wa Wanyarwanda na Waganda
Me pia nimeona mnyambo
Kwahiyo kati yao ni wepi wengi wao ni wavumilivu kwenye ndoa?Wanyambo ni warembo mno
Wale wamechanganya uzuri wa Wanyarwanda na Uganda
Wanyambo juu
Hii ni kweli me mwenyewe MNYAMBO sio Muhaya.Nilipata hadithi kuwa wanyambo hawapendi kutambuliwa kama wahaya na pia kuna sifa za wahaya kuwa ni wasomi ila sio kihivyo wengi ni wanyambo ila wanatambulika kama wahaya kitu ambacho sio ni kweli ?
100%✓Hakika Wanyambo ni Kabila kubwa
Nadhani Kwa mkoa wetu ndo wanastahili sifa wanazopata wahaya
Wametia wasomi wengi maprofesa hadi cheo cha sir, ambapo ni Sir George Kahama ni mnyambo
Ebu eleza namna ya kupiga katereroMajibu yapo
Na we unakubali kwa hyo baada ya siku 14 hawezi kufufuliwa!?sijaongelea wachawi, nazungumza kabila kama kabila, kama mtu amekufa mkazika mkaondoka watakuja kufukua ndio maana kukawa na utaratibu wa kukaa kwenye kaburi kwa siku 14 hasa vijana wanakoka moto wanaletewa na msosi huko huko, hii ni kwa mujibu wa mama mmoja wa kihaya alipata kunihadithia
Mbona Mimi maji niliyapata kwa Mpare aiyekulia Dar.Sasa hi I amechoka sijui kwaniniFafanua maji gani
pia umbali bila shaka.Mtu hawezi kutoa mbao kagera akaja kuuza Dar atachoma sana bora aende hapo Iringa gharama ya semitrailer ni 3m,kwa Kagera hesabu kama 5m almostBidhaa ikishakuwa nyingi sokoni hata thamani hupungua. Ndo kinachotokea bukoba miti ya pine imezagaa Kila Kona ndo maana haina bei ukilinganisha na hizo sehemu ulizotaja.