Uliza chochote kuhusu mkoa wa Kagera, nitajibu kila swali

Uliza chochote kuhusu mkoa wa Kagera, nitajibu kila swali

Sio kweli
Mhaya ni mziba, muyoza na watu wa bugabo
Wahamba na wanyaiyangiro ni makabila makubwa wana lugha na tamaduni zao wala sio wahaya
Wanyambo wa Karagwe ni kabila kubwa wala sio wahaya
Wasubi wa Biharamlo sio wahaya
Watu wa Misenyi sio wahaya

Hivi kwanini wahaya wa Bukoba Huwa mnalazimisha sisi watu wa Kagera wote tuwe wahaya na hatuhitaji
Kabila la wahaya ni dogo hapa kwetu Kagera
Hakuna anayewalazimsha muwe wahaya ila dunia na nchi nzima inajua bukoba kuna kabila moja tu wahaya. Japo ni kweli msubi na muhangaza hawa wanawakosea sabab hata ongea yao hatuwezi kuelewana ila wanyambo wanakuwaga wabishi bure sababu tafauti yao ni matamshi tu muhaya atasema Kya ila mnyambo atasema Cha mfn muhaya enasema ekyawe. Mnyambo atasema echawe.
 
Hakuna anayewalazimsha muwe wahaya ila dunia na nchi nzima inajua bukoba kuna kabila moja tu wahaya. Japo ni kweli msubi na muhangaza hawa wanawakosea sabab hata ongea yao hatuwezi kuelewana ila wanyambo wanakuwaga wabishi bure sababu tafauti yao ni matamshi tu muhaya atasema Kya ila mnyambo atasema Cha mfn muhaya enasema ekyawe. Mnyambo atasema echawe.
Wahaya ni bukoba tu
Muleba hakuna mhaya
Ngara hakuna mhaya
Karagwe hakuna mhaya
Misenyi hakuna mhaya
Biharamlo hakuna mhaya
 
Nimekwambia Muleba hakuna mhaya
Kuna wahamba na wanyaiyangiro
Ambao wa lugha Yao isiyokiwa kihaya wana tamaduni zao tofauti na wahaya
Wana miiko Yao tofauti na wahaya
Hayo sio makabila bro ni lahaja ambazo zimetokana na utengano wa kigeografia kutokana na tabaka za kiutawala. Hakuna kabila wanyaiyangilo iyongiro ni eneo lipo itongo karibu na hospital ya Rubya au unataka nikuletee na ramani, hacha ubishi kabila ni wahaya fanya tafiti muleba ni nyumbani bukoba ni nyumbani pia.
 
Nimekwambia Muleba hakuna mhaya
Kuna wahamba na wanyaiyangiro
Ambao wa lugha Yao isiyokiwa kihaya wana tamaduni zao tofauti na wahaya
Wana miiko Yao tofauti na wahaya
Unaweza kutupa mihiiko na tamaduni za wanyaiyangilo ambazo ni tofauti na waamba na wayoza pamoja na waziba bro?
 
Kule sehemu ya kuchunga ni Bure
Nenda Kyerwa Kuna sehemu ya kuchunga inaitwa Kaundwe Hapa hata kama una mifugo 1000
Utafuga Kwa amani
Malisho na maji ya asili yapo na Bure kabisa
Bila ulinzi wadrones na AK47 utarudi na mbolea, wahaya na wizi wa mifugo ni kama ujinga na mgonjwa,
 
Hayo sio makabila bro ni lahaja ambazo zimetokana na utengano wa kigeografia kutokana na tabaka za kiutawala. Hakuna kabila wanyaiyangilo iyongiro ni eneo lipo itongo karibu na hospital ya Rubya au unataka nikuletee na ramani, hacha ubishi kabila ni wahaya fanya tafiti muleba ni nyumbani bukoba ni nyumbani pia.
Wewe usilazimishe kuita watu wa muleba wahaya
Wenyewe Huwa hawapendi wana makabila Yao wanayajua ambayo ni Wanyaiyangiro na wahamba
 
Wewe usilazimishe kuita watu wa muleba wahaya
Wenyewe Huwa hawapendi wana makabila Yao wanayajua ambayo ni Wanyaiyangiro na wahamba
Mimi mwenyewe wa muleba hao unaowaongelea ni kina nani?. Kumbe hujafanya tafiti unaongea kwa kusikia wale walisema nini?.
 
Mimi mwenyewe wa muleba hao unaowaongelea ni kina nani?. Kumbe hujafanya tafiti unaongea kwa kusikia wale walisema nini?.
Me nimekaa Kagera
Nimefanya utafiti sikurupuki
 
Wahaya ni bukoba tu
Muleba hakuna mhaya
Ngara hakuna mhaya
Karagwe hakuna mhaya
Misenyi hakuna mhaya
Biharamlo hakuna mhaya
Unaona Sasa usivyojua kabisa kwamba bukoba ni wahaya tu? Bukoba mjini wenyeji ni wayoza ila pale ni kama Dar wengi ni watu wa kuja kwa sababu za kibiashara maana ndio kitovu Cha biashara kimkoa, utakuta wanyambo, wahangaza na wasubi nk ila bukoba vijijini ni wahaya nayo ni kwenda mpaka izimbya huko.
 
Me nimekaa Kagera
Nimefanya utafiti sikurupuki
Utafiti wako una ulakini, fanya tafiti tena kabisa hasa kwenye mambo yahusuyo wilaya gani zina wahaya na makabila mengine ila pia kuhusu historia ya kagera.

Na makabila mangapi yako mkoa ule ila nakuapia hakuna utakapo kuta kabila linaloitwa waamba, waziba au wanyiyangiro.
Hii ni sawa na kwenda Kwa wachaga alafu useme ili ni kabila la wamachame au wamarangu au warombo.
 
Pole sana labda walikuwa wanakuonyesha kuwa sio kama wanavyowasema kuwa ni wepesi sana.
 
Mbona mazao ya miti hasa pine haina bei kulinganisha na mikoa ya nyanda za juu kusini? Nini tatizo la miti ya Kagera?
Alafu kweli aisee nimenunua Heka 10 za mi pine kwa sh mil 5 ina umri wa miaka 5 ikiwa pamoja na ardhi yake
 
Kwa nini wahaya wengi ambao ni waislam wengi wanatokea mjini pia ni waislam ambao wana itikadi sana na dini yaani swala 5 na kufuga ndevu. Je Mwarabu alifika hapo Bukoba mjini?
 
Sio kweli
Mhaya ni mziba, muyoza na watu wa bugabo
Wahamba na wanyaiyangiro ni makabila makubwa wana lugha na tamaduni zao wala sio wahaya
Wanyambo wa Karagwe ni kabila kubwa wala sio wahaya
Wasubi wa Biharamlo sio wahaya
Watu wa Misenyi sio wahaya

Hivi kwanini wahaya wa Bukoba Huwa mnalazimisha sisi watu wa Kagera wote tuwe wahaya na hatuhitaji
Kabila la wahaya ni dogo hapa kwetu Kagera
Mkuu hata wewe unatakiwa urudi ufanye utafiti maana wahamba na wanyaiyangilo tangu lini yamekuwa makabila?
 
Kwa nini wahaya wengi ambao ni waislam wengi wanatokea mjini pia ni waislam ambao wana itikadi sana na dini yaani swala 5 na kufuga ndevu. Je Mwarabu alifika hapo Bukoba mjini?
Mwarabu alifika bukoba mjini, Bunazi, Muleba, na Kabanga Ngara
 
Mkuu hata wewe unatakiwa urudi ufanye utafiti maana wahamba na wanyaiyangilo tangu lini yamekuwa makabila?
[/QUOT
Utafiti wako una ulakini, fanya tafiti tena kabisa hasa kwenye mambo yahusuyo wilaya gani zina wahaya na makabila mengine ila pia kuhusu historia ya kagera.

Na makabila mangapi yako mkoa ule ila nakuapia hakuna utakapo kuta kabila linaloitwa waamba, waziba au wanyiyangiro.
Hii ni sawa na kwenda Kwa wachaga alafu useme ili ni kabila la wamachame au wamarangu au warombo.
Mnyambo sio mhaya acha ubishi
 
Back
Top Bottom